Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

nyinyi hamuumiz wananchi bei ni tsh ngap ?
 
mwambie Putin aingie mzigon apigwe Threesome , ww upo buza unakenua tu ila Putin ashastuka
 
au mvaa vipendo
Yesu ni Mvaa makobazi na Vipedo.


Hili ndio Vazi la Yesu.

Kesho Yesu Akirudi Duniani Wakristo Mtamtukana Na Kumdhihaki anavaa makobazi na Vipedo?

Verse za Bible zinazoelezea Yesu alivaa sandal
Matthew 3:11; Mark 1:7, 6:9; John 1:27

Pia Soma hapa Vazi la Yesu
 
Sasa bro mbona unajichanganya? Nyerere kumpiga amini ni sawa na anachofanya mrusi kwa Ukraine. Mrusi anatetea territory integrity, hawezi ruhusu adui yake asogee mlangoni kwake, hawa superpowers wanaishi kimkakati sio kindezindezi Kama Sisi huku waafrica.,
 
Kwa kitendo Chao cha kupeleka maombi kutaka kujiunga na nato ,mzee Putin amefunga koki za kupeleka gesi na tayari amewakatia umeme Sasa ngoma inogire raia wa finland
Kwani Putin hana BP. Si afe tu kama risasi inashindikana.
 
Logically anayepinga US kuvamia nchi nyengine kibabe, hawezi kuunga mkono uvamizi wa Ukraine.
 
Hoja ya Idd Amin ilikuwa kama ya Russia....Uwepo wa Milton Obote tz...
 
Huyu mwamba ni hatari Kadyrov
 
Iraq ulikuwa mkoa ndani ya Marekani si ndio?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Basi sawa, tusubiri tuone
 
Ni emotion tu za wanasiasa kiuharisia wanaumia mbona EU wamebadiri gia angani wanaendelea kununua na walitaka waisuse wameshindwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na saivi kashika bandari ya Mauripol haya msosi hauindi na mbolea watasalimu Amri tu
 
Kwa hiyo Putin ataivamia na Finland ?
 
Uongo mtupu.

UK alikuwa ananunua chini ya 4% ya gesi toka Urusi hata kabla ya vita, US hanunui gesi ya Russia kabisa hayo malipo ya ruble labda ya kununua vodka
Hata UK na US walisemwa hivi hivi ila now malipo ya ruble yanazidi kushamiri hapo Gazoprambank huku ruble ikiichua vizuri USD sokoni.
 
Kwa hiyo sasa hivi Finland ilipotangaza inajiunga NATO Putin ataivamia?
 
Wajinga wapo wengi duniani
Iddi Amini aliivamia Tanzania kwa sababu ya ujinga.
Sadam aliivamia Kuwait kwa sababu ya Ujinga.
Russia chini ya Stalin iliwahi kuivamia Finland.
Hivi Russia ni wajinga kiasi hicho kwamba wana vamia tu kijeshi nchi kama Ukraine bila sababu za msingi?

Au kuna mjinga mmoja yupo kati yao anatekeleza malengo yake binafsi?
 
Kitakachotokea ni gesi ya waarabu iliyokuwa inauzwa huko ambako Russia anapeleka gesi yake kwa sasa itashuka bei na hivyo waarabu watahitaji kuongeza mauzo yao Ulaya kuliko kuuza kwa bei rahisi.
Kwani European countries hawana mbadala wa gas ya Russia? Mbadala upo tatzo ni gharama kubwa hzo gas nyingine zinatoka mbali mpk zikifika kwenye nchi zao pamoja na cost za usafirishaji bei ina kuwa juu zaidi inasababisha mfumuko wa bei
 
Marekani ndiye ameivamia Ukraine??
Kama unazo akili angalau za kuvukia barabara ungekuwa unajua aliyeanzisha vita ni Urusi na Putin alipoivamia Ukraine akidai taifa linaloongozwa na mtu mwenye asili ya Uyahudi lina wanazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…