Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laiti ungelijua yale yaletao amani kwa maana yamejificha hili usiyaone.Nani amewapofusha maustadhi, Urusi kuiba ardhi ya nchi huru jirani unaona ni sifa?
Laiti ungelijua yale yaletao amani kwa maana yamejificha hili usiyaone.
Hata iyo Ukraine unayoiona ilikuwa ndani ya Urusi kabla ya Marekani na washirika wake kuja kuivunja vunja Urusi kwa dhumuni la kumdhoofisha.
Ok.ilikua ndani ya USSR kisha kila mmoja akachukua hamsini zake akajipange mbele, hapakua na ulazima wa kufuatana tena na kupangiana.
Urusi ilibaki na lieneo kubwa na raslimali kama zote, leo kwa tamaa za kijinga wanaiba ardhi ya nchi ndogo, mnapaswa kuingiwa na aibu mnapounga mkono huu udhalimu.
![]()
MAREKANI na NATO wamepigana miaka kumi NATO na MAREKANI wakakimbia Kwa hiyo hana nguvu USA VS IRAQ 1990 -1991 MAREKANI ALICHAPIKA MPAKA AKAKIMBIA
Hivi huu ujinga najua kwa Wakenya wenzako hakuna mtu anakusikiliza, usha soma akili za Wabongo ukaona ni wajinga ndio unawalera huu ujingaHehehe operation iliyopaswa kuchukua siku tatu, imechukua mwaka, mko frustrated mpaka mnahesabu likes kwenye nyuzi.
Huyu ana mahaba ya kijinga sanaMkuu, hakuna chanzo kipya cha gesi kinachoweza kujaza nafasi ya Urusi kamwe kwa miaka mitano ijayo.
Kinachofanyika kwa sasa ni kununua gasi ya Urusi kupitia wakala au nchi zingine. Mfano China, india Turkiye na hata US wananunua gasi ni kuiuza kwa bei ya Juu kwa umoja ulaya.
Na mrusi anafurahia, maana anaendelea kuuza yena anawapa discount kubwa ili wapate faida kubwa.
Hii price cap ya juzi ni kufanya brokers wanunue kwa bei ndogo ili bei ipungue lakini bado
Hivi huu ujinga najua kwa Wakenya wenzako hakuna mtu anakusikiliza, usha soma akili za Wabongo ukaona ni wajinga ndio unawalera huu ujinga
Hamna kizuri uja kwenye kupoteza biashara, hata ujipige kifua mara ngapi, ukipoteza mteja hata mmoja ni hasara sana. Bara Uropa lote linakimbia gesi ya Mrusi.
Like many countries in Europe, Finland is looking to liquified natural gas (LNG), to replace the mainly pipeline-transported gas it used to receive from Russia.
The Nordic country's first floating liquefied natural gas terminal was moored on Wednesday at the southern port of Inkoo.
The massive 291-metre-long and 43-metre-wide offshore support vessel Exemplar, which sailed to the Baltic Sea from Gibraltar earlier in December, has a capacity of 68,000 tons of LNG. It is scheduled to be in operation from next year.
![]()
Wakati Ulaya wanazidi kuongeza uagizaji
Hii ina uhusiano gani na ulaya kuongeza kiasi cha utegemezi wa gesi ya Russia?Hela ya Urusi yadondoka kiasi ambacho hakijawahi kushuhudiwa, Putin aliingiza nchi kwenye hiki
Vikwazo vimeanza kukaza balaa, Warusi watazidi kupokea haya mapigo kisa kumuachia mtu mmoja aiharibu mother Russia..... The value of the ruble tumbled sharply against the U.S. dollar Wednesday on signs that the latest wave of sanctions by Western countries are beginning to impact Russia’s...www.jamiiforums.com
Ila hao wazungu wanampigia magoti wanunue wa bei ya UKOMO kasema kuanzia feb1 -July hauzi mafuta wakanunue US 🤣🤣🤣🤣🤣Urusi inaendelea kuangukia pua....takbirr
eurasiantimes.com
Mkuu, hakuna chanzo kipya cha gesi kinachoweza kujaza nafasi ya Urusi kamwe kwa miaka mitano ijayo.
Kinachofanyika kwa sasa ni kununua gasi ya Urusi kupitia wakala au nchi zingine. Mfano China, india Turkiye na hata US wananunua gasi ni kuiuza kwa bei ya Juu kwa umoja ulaya.
Na mrusi anafurahia, maana anaendelea kuuza yena anawapa discount kubwa ili wapate faida kubwa.
Hii price cap ya juzi ni kufanya brokers wanunue kwa bei ndogo ili bei ipungue lakini bado
We ndio mjinga maana hata hufahamu kiasi cha mafuta/gas kinauzwa EU na Urusi ni kiasi gani. Huwezi kukipata pasipo Urusi kutoa.Huyu ana mahaba ya kijinga sana
A chana na mahaba ukweli ndio huo. Kama hujui usilazimishe. Soma takwimu za uzalishaji mafuta na gas duniani. Kisha soma mahitaji ya ulaya. Namalizia kiasi anauza Urusi kwaulaya kisha fanya ulinganifu. Kama akili yako inaakili utajua nani anamahabaUnawazungumzia hivi wazungu waliokutawala wewe mwenye akili ndogo na wanaoendelea kukupa misaada kila siku?!
Ila hao wazungu wanampigia magoti wanunue wa bei ya UKOMO kasema kuanzia feb1 -July hauzi mafuta wakanunue US 🤣🤣🤣🤣🤣