Finland waanza mbinu za kuepuka gesi ya Urusi, jameni Putin anazidi kuzika nchi yake kiuchumi na kijeshi

Finland waanza mbinu za kuepuka gesi ya Urusi, jameni Putin anazidi kuzika nchi yake kiuchumi na kijeshi

F35 nimekupa CNN naa BBC acha ukanjanja😎

Ahhha wapi!! Hamna siku F35 hata moja imehusika kwenye hivi vita, aisei moja ikienda pale vita vinaisha mchana....ndio maana mwarabu anaziogopa...
 
Ahhha wapi!! Hamna siku F35 hata moja imehusika kwenye hivi vita, aisei moja ikienda pale vita vinaisha mchana....ndio maana mwarabu anaziogopa...
Si bora haikuhusika maana ingekuwa vitani tusingesama ila madude yanaanguka yenyewe hata Lockheed Martin wenyewe hawaelewi wameamua kuzi-ground 😅😅😅😅😅

Rejea makubaliano ya USAF & IAF

👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻

 
Si bora haikuhusika maana ingekuwa vitani tusingesama ila madude yanaanguka yenyewe hata Lockheed Martin wenyewe hawaelewi wameamua kuzi-ground 😅😅😅😅😅

Rejea makubaliano ya USAF & IAF

👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻


Hiyo Urusi imeteswa na HIMRAS pekee yake, hain haja ya kuiletea advanced technology kama F-35
 
Hiyo Urusi imeteswa na HIMRAS pekee yake, hain haja ya kuiletea advanced technology kama F-35
Jamaa malaria imekupanda kichwani ay huwa una degedege? Hayo madude yalishamalizwa zamani saana 😅😅😅😅



Baada ya kushindwa US wakaja na utetezi waKIJINGA👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻

 
Jamaa malaria imekupanda kichwani ay huwa una degedege? Hayo madude yalishamalizwa zamani saana 😅😅😅😅



Baada ya kushindwa US wakaja na utetezi waKIJINGA👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻


hehehe!!! Hamna HIMARS hata moja ambayo Mrusi amepiga, waarabu mumlishwa mipropaganda za Warusi hadi raha....
Urusi amekua anapiga mbao akidhani HIMARS Russians destroyed wooden mock-ups of HIMARS systems with Kalibrs • Mezha.Media
 
hehehe!!! Hamna HIMARS hata moja ambayo Mrusi amepiga, waarabu mumlishwa mipropaganda za Warusi hadi raha....
Urusi amekua anapiga mbao akidhani HIMARS Russians destroyed wooden mock-ups of HIMARS systems with Kalibrs • Mezha.Media
Jitekenye tu 😂😂😂😂😂

 

Attachments

  • IMG-20221230-WA0050.jpg
    IMG-20221230-WA0050.jpg
    54.6 KB · Views: 2
Jitekenye tu 😂😂😂😂😂


Siku Mrusi akipiga HIMARS moja unitag niko pale, hayo madude ameyawinda akachoka, kwa kweli ndio yalibadilisha hali na kufyeka wanajeshi wake wote mpaka anaokota wanywa gongo kwa mobilization.
 
Siku Mrusi akipiga HIMARS moja unitag niko pale, hayo madude ameyawinda akachoka, kwa kweli ndio yalibadilisha hali na kufyeka wanajeshi wake wote mpaka anaokota wanywa gongo kwa mobilization.
Zimeipigwa zimeisha🤣🤣
 
Back
Top Bottom