Finland waanza mbinu za kuepuka gesi ya Urusi, jameni Putin anazidi kuzika nchi yake kiuchumi na kijeshi

Nani amewapofusha maustadhi, Urusi kuiba ardhi ya nchi huru jirani unaona ni sifa?
Laiti ungelijua yale yaletao amani kwa maana yamejificha hili usiyaone.

Hata iyo Ukraine unayoiona ilikuwa ndani ya Urusi kabla ya Marekani na washirika wake kuja kuivunja vunja Urusi kwa dhumuni la kumdhoofisha.
 
Laiti ungelijua yale yaletao amani kwa maana yamejificha hili usiyaone.

Hata iyo Ukraine unayoiona ilikuwa ndani ya Urusi kabla ya Marekani na washirika wake kuja kuivunja vunja Urusi kwa dhumuni la kumdhoofisha.

ilikua ndani ya USSR kisha kila mmoja akachukua hamsini zake akajipange mbele, hapakua na ulazima wa kufuatana tena na kupangiana.
Urusi ilibaki na lieneo kubwa na raslimali kama zote, leo kwa tamaa za kijinga wanaiba ardhi ya nchi ndogo, mnapaswa kuingiwa na aibu mnapounga mkono huu udhalimu.

 
Ok.
I'm sign out with this argument.
 
MAREKANI na NATO wamepigana miaka kumi NATO na MAREKANI wakakimbia Kwa hiyo hana nguvu USA VS IRAQ 1990 -1991 MAREKANI ALICHAPIKA MPAKA AKAKIMBIA

America hakukimbia Iraq , the simply walishtuka tu kuwa vita waliokuwa wameenda kuipagania haina manufaa tena, hailet faida. Is the same thing kimejuridia majuzi. US andaenda vitani akiwa na business objectives
 
Hehehe operation iliyopaswa kuchukua siku tatu, imechukua mwaka, mko frustrated mpaka mnahesabu likes kwenye nyuzi.
Hivi huu ujinga najua kwa Wakenya wenzako hakuna mtu anakusikiliza, usha soma akili za Wabongo ukaona ni wajinga ndio unawalera huu ujinga
 
Huyu ana mahaba ya kijinga sana
 
Hivi huu ujinga najua kwa Wakenya wenzako hakuna mtu anakusikiliza, usha soma akili za Wabongo ukaona ni wajinga ndio unawalera huu ujinga

Sio wote ila Waarabu wa Bongo ndio mnapata tabu kwa Mrusi kuteseka kisa mnafikiria mnamkomoa Marekani, ila vita mwisho wake ni Crimea.
 
 

Attachments

  • Screenshot_20221230-123930_Facebook.jpg
    310.9 KB · Views: 1
Hii ina uhusiano gani na ulaya kuongeza kiasi cha utegemezi wa gesi ya Russia?
 
Urusi inaendelea kuangukia pua....takbirr
Ila hao wazungu wanampigia magoti wanunue wa bei ya UKOMO kasema kuanzia feb1 -July hauzi mafuta wakanunue US 🀣🀣🀣🀣🀣
 
Angalia anguko la high tech πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»






F35 FAMBA TU au niendelee kukuorodheshea zingine 😊😊😊
 
Unawazungumzia hivi wazungu waliokutawala wewe mwenye akili ndogo na wanaoendelea kukupa misaada kila siku?!
 
Huyu ana mahaba ya kijinga sana
We ndio mjinga maana hata hufahamu kiasi cha mafuta/gas kinauzwa EU na Urusi ni kiasi gani. Huwezi kukipata pasipo Urusi kutoa.

Mfano mzuri kwako usiefahamu ni huu. Dawasa wanaacha kuleta Dar. Unasema eti utanunua kwa watu wenye visima na booza.

Kama upo dar unafahamu kilicjotokea November ndio hali ya ulay bila Urusi
 
Unawazungumzia hivi wazungu waliokutawala wewe mwenye akili ndogo na wanaoendelea kukupa misaada kila siku?!
A chana na mahaba ukweli ndio huo. Kama hujui usilazimishe. Soma takwimu za uzalishaji mafuta na gas duniani. Kisha soma mahitaji ya ulaya. Namalizia kiasi anauza Urusi kwaulaya kisha fanya ulinganifu. Kama akili yako inaakili utajua nani anamahaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…