Firauni wa Misri alidakwa muda kama huu alipotamka yale anayotamka na kutenda Netanyahu wa Israel

Firauni wa Misri alidakwa muda kama huu alipotamka yale anayotamka na kutenda Netanyahu wa Israel

Wakristo hasa hawa wa bongo wanapenda sana kubwabwaja hawana maarifa kabisa
Ni sheria ya imani ya kiyahudi waislam na mayahudi wanaabudu MUNGU mmoja ila ni tofauti na wakristo
wakristo wanajulikana kama waabudu sanamu
Ni sheria ya imani ya kiyahudi kwa yahudi kuingia msikitini kufanya ibada inapobidi ila ni marufuku kuingia kanisani wanaita ni nyumba ya waabudu sanamu
Nyie wakristo wa jamii forums nyie na mayahudi ni tofauti kabisa acheni kujipendekeza mnatia aibu
Vitu vingine vya ajabu sana. Na hii ndio inayoonesha uduni wa fikra zenu na namna dini inaongozwa kwa uongo na uzushi ndugu zangu. Hivi ni kwanini uislam hauwezi kusimama wenyewe bila kujinafisha na Ukristo na Uyahudi.

Duniani kuna dini nyingi na nyingi zinajitegemea zenyewe ila sio uislam. Ukristo unajisimamia wenyewe na hautaji dini nyingine. Uyahudi unajisimamia wenyewe. Wale mabusha wanasimama wenyewe ila sio Uislam.

Wenyewe hauwezi jisimamia na umekuja makusudi kwa ajili ya kuleta vita na chuki Duniani. Eri wayahudi ni bora waende kuswali msikitini😀😀😀😀.

Eti wakristo wanaabudu sanamu na umejisahaulisha kuwa mnaenda kulibusu jiwe pale macca kila mwaka.

Naomba unijibi, je unamjua Allah ni nani? Je unajua chanzo au asili ya lile jiwe pale Kaaba macca? Je unajua wakuresh walikuwa wanaabudu nini? Je unaijua dini ya Babu, Baba na Muhammad kabla ya kuanzishwa kwa uislam? Je kuna sehemu kwenye kuran Muhammad aliikana dini ya mababu zake?
 
Twende taratibu; kwani Firauni/Farao alipambana na nani? Si na hawa hawa wajukuu wa Musa? Yaani babu zao na kina Netanyahu ndio waliopambana na huyo Firauni, babu zao ndio walisababisha JESHI lote la Firauni kuzama baharini. Wajukuu wanarudia yale yale ya babu zao. Kasome tena, utaelewa tu. Msiwachokoze hao watu, wakitulia..., waacheni, hawanaga noma na mtu wale
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Mkuu tunasubiri sana
 
Mleta hoja mbona unalalamika na kupiga mayowe badala ya kujenga hoj?!
Walianzisha hii kitu ni hawa magaidi wa Hamas, hizbolah na hawa wa Yemen, sasa ulitaka waachwe?
dawa ya moto ni moto, acha wapelekewe moto walioutaka!
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Shida ya waislamu ni kama wanawake wao ndo wanajiona wana haki tuh mamaee zenuu ngojeni mkufee akili ziwakae kwa wayahudi
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Huyu firauni ndio aliwatesa hawa hawa wayahudi mnaotaka kuwaangamiza sasa nyie kobazi na firauni lengo lenu ni moja
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Hiyo habari kuwa Netanyahu amejeruhiwa, ifute kabisa. Ni uwongo. Imefafanuliwa kuwa Wahouth wa Yemen walirusha kombora wakati waliotegemea ndege ya Netanyahu ingetua, lakini kombora hilo lilidunguliwa kabla ya kuongia anga la Israel.

India News wamefafanua vizuri.
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Akili yako ndogo sana. Firaun alimdhihaki Mungu wa akina Yusuph ambaye hakuwa mwarabu .
Kipindi hicho bwana zako waarabu wanaabudu mashetwain jangwani mpaka alipokuja Muhammad kuwabadilishia upepo.
Kwa hiyo hapo badilisha msemo....sema waarabu wa Hamas na Hezbullah wanafanya kama farao wanamdhihaki Mungu wa Israel.
 
Habari za viumbe tofauti wanaonekana na wasioonekana huwezi kuzipata kwenye vitabu vyenu.
Hayo kwa upana yapo kwenye maandiko ya waislamu kwani aliyewapasha hayo ndiye muumba wa ulimwengu wote.
Uwezo wenu wa kufikiri na kujua mambo ni finyu sana.
Majini ni viumbe ambavyo viko kwa wingi sana na wako wema na waovu.
Ulikuwepo wewe mjomba. Unamezeshwa story unaimeza kama zuzu bila kuhoji.
 
Historia ya Firauni mliitoa wapi maana ilitendeka hata kabla muarabu hajabuni Uislamu.
Ifahamike Firauni alishindwa dhidi ya Wayahudi, na nyie vivyo hivyo mtashindwa tu.
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Nanukuu: "Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri. Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf."
Mkuu; Hayo unayoyaita maneno mengi sana ya kibri ni yapi kwa mfano. Mkiambiwa ukweli mnaupindisha na kusema......Mkitendwa sawa sawa na wingi wa jeuri yenu mnakimbiza lawama kwa Marekani na EU. Kwa kweli Mwamba alisema hakuna mahali mkono wa IDF haufiki...
 
Mungu wa waisrael enzi hizo ni waislamu ndio Mungu wetu wote ambaye hajabadilika.
Hivi yule Mungu wa enzi hizo ndiye huyo huyo siku hizi mnathubutu kumwita Allah? Mabadiliko hayo yamefanyika lini na kwa Ruksa(Idhini) ya nani?
Isije ikawa Wayahudi waliwazidi jamaa ujanja wakawabadilishia yule Mungu Og na kuwapa mungu fake (kanyaboya)halafu wao wayahudi wakajiondokea kiulaiiini na yule Mungu halisi Og..
 
Vitu vingine vya ajabu sana. Na hii ndio inayoonesha uduni wa fikra zenu na namna dini inaongozwa kwa uongo na uzushi ndugu zangu. Hivi ni kwanini uislam hauwezi kusimama wenyewe bila kujinafisha na Ukristo na Uyahudi.

Duniani kuna dini nyingi na nyingi zinajitegemea zenyewe ila sio uislam. Ukristo unajisimamia wenyewe na hautaji dini nyingine. Uyahudi unajisimamia wenyewe. Wale mabusha wanasimama wenyewe ila sio Uislam.

Wenyewe hauwezi jisimamia na umekuja makusudi kwa ajili ya kuleta vita na chuki Duniani. Eri wayahudi ni bora waende kuswali msikitini😀😀😀😀.

Eti wakristo wanaabudu sanamu na umejisahaulisha kuwa mnaenda kulibusu jiwe pale macca kila mwaka.

Naomba unijibi, je unamjua Allah ni nani? Je unajua chanzo au asili ya lile jiwe pale Kaaba macca? Je unajua wakuresh walikuwa wanaabudu nini? Je unaijua dini ya Babu, Baba na Muhammad kabla ya kuanzishwa kwa uislam? Je kuna sehemu kwenye kuran Muhammad aliikana dini ya mababu zake?
Mkuu mbona unanilalamikia mimi maelezo yangu ni kwa mujibu wa sheria za imani ya kiyahudi sio maneno yangu

Fanya utafiti

Kuja na lugha mbaya na mashambulizi juu ya dini ya kiislam haibadilishi ukweli kwamba mayahudi wanawaona nyie wakristo ni waabudu sanamu

Na ni marufuku kwa yahudi kuingia kanisani kufanya ibada ila msikitini ruhsa pale inapobidi wanakula chakula kilichoandaliwa na waislam ila cha wakristo wanaita najis hiyo ni kwa kua wanaamini wao na waislam wanaamini MUNGU mmoja.
 
Back
Top Bottom