Firauni wa Misri alidakwa muda kama huu alipotamka yale anayotamka na kutenda Netanyahu wa Israel

Firauni wa Misri alidakwa muda kama huu alipotamka yale anayotamka na kutenda Netanyahu wa Israel

Hajr hakuwa mchepuko wa Ibrahim

Kuliko baki umezungumza vizuri kiasi ila
Hata wewe huwa unashuhudia kwamba nyie wakristo hapa jukwaani mmezidisha chuki dhidi ya uislam na waislam hamna hoja nyie ni matusi na kebehi tu
Ujumbe mzuri umetoa ila umeuelekeza mahala si sahihi mkuu
Acha kujifariji kama uislamu na uyahudi ungekua na mahusiano unayolazimisha kwa nguvu zote kusingekua na chuki iliyopo kati yenu

Inaamaana hezbollah, houthi, na iran hawajui kama wanauhusiano na wayahudi mbona wanapigana mpaka viongozi wao wanauliwa

Nchi zote za kiarabu wanawachukia wayahudi kupita maelezo anzia morocco, nenda algeria, egypt mpaka pakistani chuki yao waliyonayo kwa wayahudi ni kubwa sana sasa unapolazimisha eti kuna uhusiano mkubwa sana kinakua ni kituko cha karne
 
Sema haya mambo tunayachukulia simple simple ila yanasikitisha sana,mtu kubeba mwili wa mwanae damu zikichuruzika ni kumbukumbu mbaya sana maishani mwake.

Mungu awarehemu wote wanaopïtia haya masahibu.
Sema wasikuchote akili hao ni waongo kupindukia matukio 96% wanaigiaza.. walishashitukiwa siku nyingi ndio maana nchi nyingi zinawapuuzia.. huwezi kuweka uongo mwingi kuloko uhalisia.. kwa madai yao ya vifo vya watoto na kina mama Gaza ingeshaisha aina hiyo ya watu watoto na kina mama... ndio ujue hao ni waongo mno.. kila gaidi likiuiwa au yakiuliwa utasikia Israel strike School kill chirdren and woman yaani kila siku hahahaha kuna Shule gani kwenye vita zipo functions na kama ni hifadhi why useme School ? why utumie kurushia rocket n.k?
 
Acha kujifariji kama uislamu na uyahudi ungekua na mahusiano unayolazimisha kwa nguvu zote kusingekua na chuki iliyopo kati yenu

Inaamaana hezbollah, houthi, na iran hawajui kama wanauhusiano na wayahudi mbona wanapigana mpaka viongozi wao wanauliwa

Nchi zote za kiarabu wanawachukia wayahudi kupita maelezo anzia morocco, nenda algeria, egypt mpaka pakistani chuki yao waliyonayo kwa wayahudi ni kubwa sana sasa unapolazimisha eti kuna uhusiano mkubwa sana kinakua ni kituko cha karne
Wanawachukia kwasabu Mtume wao alikuwa anatolewa nishai kila Debate na Wayahudi na Manaswala... alienda Jerusalem akisema ni Mtume wakamuambia according to Ibrahim hamna mtume nje ya ukoo wa Ibrahim,Isaka,Yacobo,Musa ndio ukoo uliobarikiwa na upo juu ya watu wote.. so wakamtoa nduki hasira zikawa nyingi.

Wakawa wanamuendea kwa Debate sasa wayahudi wakajua ni mjinga mjinga furani muongo so wakawa wanatuma shushushu kumtega, Shushu anaenda anamuambia wayahudi wa wakristo watakuja kukuuliza maswali haya so wape majibu haya wanampa uongo even Jehanamu inalindwa na Malaika 17.. n.k wakamuingiza chaka wakawa hwaendi hasira akaweka kwenye Quran ila alisha haribu sana kwa kusema Wayahudi na wakristo pamoja na Sabian wale wafuasi wa Dini ya Farauni waabudu Nyota kuwa nao wataenda peponi.

Ad Jews ndio walimuua Mudy kwa kumlisha nyama yenye sumu... ila ni ujinga wake yaani aliua familia ya binti kisha akamuoa binti eti yatima.. binti akamlia time alipojua ni mrafi
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Acha ujinga wewe Allah was a scam Quran was a Copy and Paste from jews kila kitu mlikopi mnapaswa mjitafakari mno Allah ni mungu ila siyo Mungu the living God creator huyu ni plan ya ibilisi to divide people nyie mmepotea nyie
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Hivi Allah hakuona hili? Wewe na Wenzio mliandika nini wakati yanatokea haya?

UNAFIQ ni dhambi kubwa sana kwa Allah
 

Attachments

  • Screenshot_20240930_144136_Gallery.jpg
    Screenshot_20240930_144136_Gallery.jpg
    227 KB · Views: 0
KATI YA ALLAH NA ILLAH YUPI NI MUNGU

Illah’ is the word in Arabic that refers to God. No one should think that the word Allah takes its root in ‘Illah’, both are two different words. Because, in Arabic, both these words are used in one sentence itself. For, in a common sentence that the Islamists use, we have both these words: ‘La Illah il Allah’.

This sentence in Arab means that there is no other God than Allah! Both the words Illah and Allah configure in this sentence. Here, the word Illah is used to refer to God. That is, Allah is but a name! If we say, ‘There is no other God but Jesus’ in Arabic, their arguments will fail! ‘La Illah il Yehswah’; here we replace the name Allah with Yehswah. And we know that Yehswah is a name. If so, then Allah is also a name! That is, the Arabic word for God is Illah; and not Allah! Allah is moon god....
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Firauni alikuwa anawatendea akina nani mabaya?
 
May Allah(the almighty) rise the darja of all our oppressed brothers and sisters worldwide, his words are unfold and became clear day by day subhanallah.
Allah hajawahi kuwa Almighty kwasababu hawezi kuwa na Mtoto.. Sanamu la Michelini linazaaje kwa mfano..

Allah hana words kwasababu Quran imeandika this is the words of a noble Prophet Mudy Quran 69:40

Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
— Ali Muhsin Al-Barwani

Chapter (69) sūrat l-ḥāqah (The Inevitable)​





Sahih International: [That] indeed, the Qur'an is the word of a noble Messenger.


Pickthall: That it is indeed the speech of an illustrious messenger.


Yusuf Ali: That this is verily the word of an honoured messenger;


Shakir: Most surely, it is the Word brought by an honored Messenger,


Muhammad Sarwar: because the Quran is certainly the word of a reverent messenger.


Mohsin Khan: That this is verily the word of an honoured Messenger [i.e. Jibrael (Gabriel) or Muhammad SAW which he has brought from Allah].


Arberry: it is the speech of a noble Messenger.
 
KATI YA ALLAH NA ILLAH YUPI NI MUNGU

Illah’ is the word in Arabic that refers to God. No one should think that the word Allah takes its root in ‘Illah’, both are two different words. Because, in Arabic, both these words are used in one sentence itself. For, in a common sentence that the Islamists use, we have both these words: ‘La Illah il Allah’.

This sentence in Arab means that there is no other God than Allah! Both the words Illah and Allah configure in this sentence. Here, the word Illah is used to refer to God. That is, Allah is but a name! If we say, ‘There is no other God but Jesus’ in Arabic, their arguments will fail! ‘La Illah il Yehswah’; here we replace the name Allah with Yehswah. And we know that Yehswah is a name. If so, then Allah is also a name! That is, the Arabic word for God is Illah; and not Allah! Allah is moon god....
Njemba inaitwa Lah ndio maana hata ukisema Bismili Lah - kwa jina la Lah ina the name of Lah Al kwa Aramaic language ni God na Lah ndio name lake Pagan God and Jina lake lingine ni Yah - Sin sin pia ni Moon Goddess huyo ndio chimbuko la neno dhambi Sin. usifanye hivyo ni upagani Sin inashangaza waislam hawajui wanapeana hadi majina eti Ya-sin
 
Allah hajawahi kuwa Almighty kwasababu hawezi kuwa na Mtoto.. Sanamu la Michelini linazaaje kwa mfano..

Allah hana words kwasababu Quran imeandika this is the words of a noble Prophet Mudy Quran 69:40

Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
— Ali Muhsin Al-Barwani

Chapter (69) sūrat l-ḥāqah (The Inevitable)​





Sahih International: [That] indeed, the Qur'an is the word of a noble Messenger.


Pickthall: That it is indeed the speech of an illustrious messenger.


Yusuf Ali: That this is verily the word of an honoured messenger;


Shakir: Most surely, it is the Word brought by an honored Messenger,


Muhammad Sarwar: because the Quran is certainly the word of a reverent messenger.


Mohsin Khan: That this is verily the word of an honoured Messenger [i.e. Jibrael (Gabriel) or Muhammad SAW which he has brought from Allah].


Arberry: it is the speech of a noble Messenger.

1. Kama sifa ya Mungu ni kuwa na mtoto hii inamaanisha miungu wa misri, roma(roman empire) , wagiriki, wahindu na polytheist woote ni wakweli ukichanganya na Mungu wenu nyie wakristo meaning ukiwa muhindu upo sahihi, na pia ukiwa unafuata kati ya dini yoyote yenye Mungu mwenye mtoto pia upo sahihi .

Sifa baadhi za Mungu ni hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mtoto wala wa kufanana naye na ndiyo maana ni Uislamu pekee ndiyo unasimamia hapo na ndo unakuwa tofauti na dini nyenginezo.

2. Unaweza kuweka dalili kutoka kwenye quran au hadith kwamba our Glorious and Only lord Allah ( the almighty ) ni sanamu any reference from those two sources?

3. Its Amaizing how you missionaries can't even read 😂😂😂😂 mkuu ukisoma aya ya 43 sura hiyo hiyi inamaliza kila kitu anyways nitakuwekea hapa.


Al-Haqqah 69:43

تَنزِيلٌ مِّن رَّبِّ ٱلْعَٰلَمِينَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Maaana yake ni kwamba

1. Quran ni uteremsho na maneno ya Allah ( the all knowing, the all powerfull) kwa binadamu na majini ikiwa ni ukumbusho pia.

2. Iliteremshwa na jibril (allayhi salaam) kwa amri ya Allah ( the allmighty, the beneficent) kwa mtume wake muhammad ( peace be upon him).

3. Na muhammad (peace be upon him) akawasomea watu ili wapate kufahamu ukweli .

Usiwe unakurupuka chief
 
Mkuu; angalia au soma na hii:
1. Ukristo umetokea Middle East
2. Uislam umetokea Middle East
3. Ukristo na Uislam chimbuko ni Imani ya Ibrahim/Abraham.
Ibrahim/Abraham ametjwa katika Biblia takatifu na Qur'an tukufu.
4. Ibrahim/Abraham alikuwa na wake wawili: Mke wa kwanza (mke mkubwa) na ndiye mke wa ndoa aliitwa Sarah na Mke wa pili (mke mdogo) ambaye hakuwa mke wa ndoa aliitwa Hajiri/Hagari. Huyu Hagari alikuwa ni Binti wa kazi za nyumbani i.e. mtumishi wa Sarah. Note: Ibrahim/Abrahamu alishawishiwa na kupewa kibali na Sarah ili amtwae Hagari i.e. amgeuze Hagari binti wa kazi nyumbani kuwa mchepuko wake ili azae naye. Lengo lilikuwa ni ili Ibrahimu apate mtoto kwani Sarah ilionekana hana uzao (alikuwa mgumba/tasa).
5. Hajir/Hagari mchepuko wa Ibrahim, alipata mimba na Alimzaa Ishamael. Kwa hiyo Ishamaeli ni mtoto wa kwanza wa kiume wa Ibrahimu.
6. Baada ya muda mrefu kupita .. Sarah nay alifanikiwa na alimzaa Isack/Isaka.
7. Ishamel na Isack ni Mtu na ndugu yake -Baba mmoja.- mama mbalimbali. Ishamaeli ni kaka wa Isack na waliishi pamoja na kucheza pamoja kama ilivyo ndugu katika Familia moja. Bifu lingine lilianzishwa tena na Sara mke wa ndoa wa Ibrahimu kwa kumshinikiza sana mzee Ibrahimu amfukukuze Ishmael kwani alihofia kwa Upendo wa Ibrahim kwa wanawe; huenda Ishmaeli naye atapewa urithi kwa mujibu wa desturi za kiyahudi wakati huo. Sara alikuwa na WIVU mkubwa sana.
8. Ishmaeli alifukuzwa (huyu ndiye chimbuko la Waislam); Isack aliendelea kubaki nyumbani (huyu ndiye chimbuko la Wakristo).
HITIMISHO: Waislam na Wakristo ni NDUGU tena ni NDUGU wa DAMU . Wote ni watoto halali wa mzee Ibrahimu (Almaarufu kama baba wa Imani). Ni ujinga(Kutokujua kwa kiwango cha juu) sana kwa Wakristo kugombana na Waislam kwa visa eti vya Udini.
Ndo mana wanaolijua hili huwa wanajisemea: "Ndugu wakigombana, chukua jembe ukalime; wakipatana chukua kapu ukavune". e.g. Ifuatilie Saudia na mataifa mengine, hayajiingizi katika mgogora wa Israeli na vile vikundi vinavyodaiwa ni vya kugaidi.
NB: HAKUNA mahali POPOTE kwenye Biblia Takatifu (cjui labda kwenye Qur'ani tukufu) panapozungumzia au walau hata kutaja tuu au kudokeza kama kuliwahi kuwa na ugomvi baina ya Ishmaeli na Isack/Isaka, bali biblia inadokeza walikuwa wanacheza pamoja They were Brothers, they loved each other more than just being friends.
Ishamael sio chimbuko la waislamu na hakuna huo ushahidi ,Bali ni propaganda tu
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Gaza inachakaa halafu mnaleta porojo za kijinga.
 
Back
Top Bottom