First impression at first sight ndiyo hubeba kibali cha mahusiano yoyote. Jipange vyema unapokwenda kukutana na mtu au taasisi kwa mara ya kwanza

First impression at first sight ndiyo hubeba kibali cha mahusiano yoyote. Jipange vyema unapokwenda kukutana na mtu au taasisi kwa mara ya kwanza

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
298
Reaction score
600
Usijieleze sana, maana haibadilishi chochote. Binadamu anakupenda ama kukukubali dakika tano tu za kwanza anapokuona, hata kabla hujajieleza.

Namaanisha, binadamu anakukataa moyoni dakika tano tu za kwanza mara anapokuona kwa mara ya kwanza. BILA SABABU YOYOTE, yaani, JINSI ULIVYO TU, anakukubali ama kukukataa. Mengine utakayofanya ni nyongeza tu juu ya hisia alizopata alivyokuona.

Unaweza usiamini hili, ila ndiyo asili ya mwanadamu. Binadamu hatutumii SABABU ama haitaji SABABU kukukubali au kukukataa. Ni suala la mtazamo na hisia tu anazokuwa nazo mtu juu yako.

Ukijua hili itakusaidia sana kutolazimisha mahusiano, kukubalika ama kupendwa.

IMG-20241230-WA0005.jpg
 
Usijieleze sana, maana haibadilishi chochote. Binadamu anakupenda ama kukukubali dakika tano tu za kwanza anapokuona, hata kabla hujajieleza.

Namaanisha, binadamu anakukataa moyoni dakika tano tu za kwanza mara anapokuona kwa mara ya kwanza. BILA SABABU YOYOTE, yaani, JINSI ULIVYO TU, anakukubali ama kukukataa. Mengine utakayofanya ni nyongeza tu juu ya hisia alizopata alivyokuona.

Unaweza usiamini hili, ila ndiyo asili ya mwanadamu. Binadamu hatutumii SABABU ama haitaji SABABU kukukubali au kukukataa. Ni suala la mtazamo na hisia tu anazokuwa nazo mtu juu yako.

Ukijua hili itakusaidia sana kutolazimisha mahusiano, kukubalika ama kupendwa.

View attachment 3188575
........................................................FIRST IMPRESSION LASTS...................................
 
Usijieleze sana, maana haibadilishi chochote. Binadamu anakupenda ama kukukubali dakika tano tu za kwanza anapokuona, hata kabla hujajieleza.

Namaanisha, binadamu anakukataa moyoni dakika tano tu za kwanza mara anapokuona kwa mara ya kwanza. BILA SABABU YOYOTE, yaani, JINSI ULIVYO TU, anakukubali ama kukukataa. Mengine utakayofanya ni nyongeza tu juu ya hisia alizopata alivyokuona.

Unaweza usiamini hili, ila ndiyo asili ya mwanadamu. Binadamu hatutumii SABABU ama haitaji SABABU kukukubali au kukukataa. Ni suala la mtazamo na hisia tu anazokuwa nazo mtu juu yako.

Ukijua hili itakusaidia sana kutolazimisha mahusiano, kukubalika ama kupendwa.

View attachment 3188575
Nakubalina na wewe, huwezi Anza kulazimisha mahusiano ndio hao Huwa wanalia baadae
 
First impressions don't count for me.

Kwanza first impressions zinadanganya mno.

Mpaka niwe nimekufahamu kwa undani ndo nitaweza kutathmini wewe ni mtu wa namna gani.

Kukufahamu kwa undani sio lazima ichukue muda mrefu, tunaangalia upoje ukifurahi, ukikasirika, ukihuzunika, ukighafilika nk.

Hapo napata character yako ambayo najua utakuwa una behave hivyo 99% of the time.
 
First impressions don't count for me.
Inategemea field unayokutana nayo................ukikutana na mtu kwa mara ya kwanza umelewa au umevaa vibaya picha hiyo lasts for ever na inakuwa reference kila ukikosea katika jambo lolote........................huyu nilimuona siku ya kwanza, amevaa hovyo hovyo kumbe na akili yake ni hovyo!!!! first impression lasts
 
First impressions don't count for me.

Kwanza first impressions zinadanganya mno.

Mpaka niwe nimekufahamu kwa undani ndo nitaweza kutathmini wewe ni mtu wa namna gani.

Kukufahamu kwa undani sio lazima ichukue muda mrefu, tunaangalia upoje ukifurahi, ukikasirika, ukihuzunika, ukighafilika nk.

Hapo napata character yako ambayo najua utakuwa una behave hivyo 99% of the time.
Hiyo tathmini huanza baada ya kumkubali mtu jinsi alivyo na uko likely kukubaliana na yeye hata awe mbaya kiasi gani maana utajiaminisha kumbadilisha.

Huo ndio ukweli na Mimi nime prove mara kadhaa ukimtokea mwanamke ,ukifanya jambo hakutegemea atasema yaani ulivyo sikufikiria unaweza fanya x,y and z.

Hakuna sababu ya kulazimisha Maelezo meengi yasiyo na msingi
 
Inategemea field unayokutana nayo................ukiktana na mtu kwa mara ya kwanza umelwa au umevaa viaya picha hiyo lasts for ever na inakuwa reference kila ukikosea katika jambo lolote........................huyu nilimuon siku ya kwanza, amevaa hovyo hovyo kumbe na akili yakeni hovyo!!!! first impression lasts
Nimekuelewa vizuri mkuu,

Ila kwangu mimi haipo hivyo.
 
Usijieleze sana, maana haibadilishi chochote. Binadamu anakupenda ama kukukubali dakika tano tu za kwanza anapokuona, hata kabla hujajieleza.

Namaanisha, binadamu anakukataa moyoni dakika tano tu za kwanza mara anapokuona kwa mara ya kwanza. BILA SABABU YOYOTE, yaani, JINSI ULIVYO TU, anakukubali ama kukukataa. Mengine utakayofanya ni nyongeza tu juu ya hisia alizopata alivyokuona.

Unaweza usiamini hili, ila ndiyo asili ya mwanadamu. Binadamu hatutumii SABABU ama haitaji SABABU kukukubali au kukukataa. Ni suala la mtazamo na hisia tu anazokuwa nazo mtu juu yako.

Ukijua hili itakusaidia sana kutolazimisha mahusiano, kukubalika ama kupendwa.

View attachment 3188575
sawa, kwaiyo tufanye nini?
 
Back
Top Bottom