Fisi waliopora Mtoto Wilayani Magu, wakutwa na hirizi

Fisi waliopora Mtoto Wilayani Magu, wakutwa na hirizi

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Mamlaka ya usimamizi wa Wanyamapori TAWA mkoani Mwanza imefanikisha kuua fisi wawili walioripotiwa kupora mtoto na kumjeruhi katika kijiji cha Nsola kata ya Nsola Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza.

Askari wa TAWA walifanikiwa kuwaua fisi hao huku mmoja akikutwa na hirizi katika mkia wake kama inavyonekana katika picha ya kwanza.

IMG_20230428_103645.jpg

FB_IMG_1682667123344.jpg
 
Huwez kutenganisha uchaw na kanda ya ziwa sku moja npo pale airport ya mwanza sa 8 mchana walipita fisi wawili mbele ya watu bila kuogopa...kuna mjeda alikuwa anapiga vtu akaaza kuwafukuza hakuwakuta...
 
kulikua na haja gani kuwafunga hayo matambara baada ya kuwauwa hao fisi
Tuna tatizo la msingi!
Yani kama sio kuwafunga matambara hayo basi kuna uwezekano yalijiviringisha tu kwa bahati mbaya katika pita pita za fisi kwenye makazi ya watu. Mara ngapi kuku, mbuzi, bata, mbuzi nk tunawasaidia kuwatoa mavitu kama hayo yanayojishika mwilini kwa bahati mbaya?
Leo kwa sababu ni fisi basi tushaitengenezea heading, na tunavyopenda kushadadia mambo ya ushirikina tunalikuza tukio balaa!

Ni hivi majuzi tu punguani mmoja kaficha jiwe kwenye kanga kadanganya maiti ya mtoto imebadilika jiwe, tumeshadadia sana, kumbe ni ujanja ujanja tu wa kipumbavu, jitokeze sasa uwaambie watu hakuma kitu kama hicho huo ni mchezo tu wa kuzua taharuki uone watakavyokuangukia kama mwewe
 
Back
Top Bottom