Fisi waliopora Mtoto Wilayani Magu, wakutwa na hirizi

Fisi waliopora Mtoto Wilayani Magu, wakutwa na hirizi

Imani za kishirikina hazina nafasi kwenye hii karne ya 21. Hivyo zinatakiwa kupuuzwa kwa nguvu zote.
 
Natamani kujua kipi kinawafanya hawa jamaa wanakua vizuri katika masomo ya sayansi, unafahamu? Nilisoma nao kadhaa advance,
Masomo ya science yanahitaji juhudi haswa,asa mzaramo hata soda tu mpaka Opena tena afunguliwe na weitaa utayawezeeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kwa Busara Waziri wa Maliasili na Utalii ama Mhe. MKUU WA MKOA wangekanusha taarifa za aina hiii. Fikiria wenye Mtoto aliyeuwawa leo wataenda Kupiga Ramli chonganishi kumjua mwenye Fisi. Kesho watakodi wauwaji toka Geita au Shinyanga, wataenda kuuua atakayetajwa na ramli simply wajinga wachache wa TAWA wametema shits.
Sijuo akili zetu zimejaa UTI?? kulikuwa na Ulazima gani wa kutangazia Umma vitu vya aina hiyo na watu wenyewe akili zao mnazijua?
Not proffessional at all.
 
Huna adabu nimecheka sana🀣🀣🀣🀣
πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Mchawi ndie kiumbe asiyekuwa na akili kuliko viumbe vyote
 
Fisi watu hao,
Mambo ya misukule na ndondocha.
Kazi ipoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom