Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaga kwasasa mnaongoza kwa ushirikina hatari sana mkuuBora sisi tunazindika tupate Mali 😁over!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbona ballistic missiles🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ICBM(Intercontinental Ballistic missiles) za kienyeji hizooo zimefeli!!!
ShinyangaKanda ya kati Dodoma, Singida, Tabora, hadi Kigoma na kanda ya ziwa yote ni uchawi wa kurudishana nyuma tu
Hatari mnooShinyanga
Kwa mtu ambaye hujawahi kuishi kanda ya ziwa hasa mkoani mwanza,shinyanga,simiyu,utaona huu ni usanii!!ila kwa waliowahi kuishi huko,ni kawaida tu.kulikua na haja gani kuwafunga hayo matambara baada ya kuwauwa hao fisi
Kuna sehemu nilikuwa na ka kazi, wiki nzima watu wanafanya kazi, siku naenda malizia hatupaoni tulipofanyia kazi, tukakuta poli tenaa na gari ikagoma kuwakaaa 😀😀😀Hatari mnoo
Hata kama lkn huwezi skia mchaga anafanya uchawi wa kindezi kama huo wa Kanda ya ziwa. Nimekaa ile mikoa mitatu ya kaskazini Arusha, Manyara na Knjaro sijawahi shuhudia tukio la kishirikina la kutisha ila haya ya kuzindika upate Mali yapo sanaWachaga kwasasa mnaongoza kwa ushirikina hatari sana mkuu
Natamani kujua kipi kinawafanya hawa jamaa wanakua vizuri katika masomo ya sayansi, unafahamu? Nilisoma nao kadhaa advance,Advance nlisoma na watu wa Kanda hyo wengi sana wanapenda shule za Moshi, wapo vizuri sana darasani hasa masomo science, wapole & washamba sijui kwann hawataki kuacha kulogana
You may be right but witchcraft is there anyway.Tuna tatizo la msingi!
Yani kama sio kuwafunga matambara hayo basi kuna uwezekano yalijiviringisha tu kwa bahati mbaya katika pita pita za fisi kwenye makazi ya watu. Mara ngapi kuku, mbuzi, bata, mbuzi nk tunawasaidia kuwatoa mavitu kama hayo yanayojishika mwilini kwa bahati mbaya?
Leo kwa sababu ni fisi basi tushaitengenezea heading, na tunavyopenda kushadadia mambo ya ushirikina tunalikuza tukio balaa!
Ni hivi majuzi tu punguani mmoja kaficha jiwe kwenye kanga kadanganya maiti ya mtoto imebadilika jiwe, tumeshadadia sana, kumbe ni ujanja ujanja tu wa kipumbavu, jitokeze sasa uwaambie watu hakuma kitu kama hicho huo ni mchezo tu wa kuzua taharuki uone watakavyokuangukia kama mwewe
Arusha, kabila la wameru wakijua kuna mmeru mchawi wanakuchomea nyumba, nimeshuhudiaga hiliHata kama lkn huwezi skia mchaga anafanya uchawi wa kindezi kama huo wa Kanda ya ziwa. Nimekaa ile mikoa mitatu ya kaskazini Arusha, Manyara na Knjaro sijawahi shuhudia tukio la kishirikina la kutisha ila haya ya kuzindika upate Mali yapo sana
Nimeona nanii ya uyo fisi keusii tiii.
Kakibamia vile vidogo vinene nene 🙊🙊🙊😄😄😄😄Una macho makubwa sana, vipi ni kibamia au tango?
Watanzania wengi ni wajinga ( Godwin Mollel, 2023). Mtu yeyote anayeamini ulozi ni mjinga wa kuwa go cha lami. Hapo ni mtu kamfunga fisi kitambaa cheusi au tambala limejiviringisha mkiani wakati fisi akiwa kwenye hekaheka porini ila watu wanatengenezea stori. Ndio maana tunasema uchawi is a hoaxTuna tatizo la msingi!
Yani kama sio kuwafunga matambara hayo basi kuna uwezekano yalijiviringisha tu kwa bahati mbaya katika pita pita za fisi kwenye makazi ya watu. Mara ngapi kuku, mbuzi, bata, mbuzi nk tunawasaidia kuwatoa mavitu kama hayo yanayojishika mwilini kwa bahati mbaya?
Leo kwa sababu ni fisi basi tushaitengenezea heading, na tunavyopenda kushadadia mambo ya ushirikina tunalikuza tukio balaa!
Ni hivi majuzi tu punguani mmoja kaficha jiwe kwenye kanga kadanganya maiti ya mtoto imebadilika jiwe, tumeshadadia sana, kumbe ni ujanja ujanja tu wa kipumbavu, jitokeze sasa uwaambie watu hakuma kitu kama hicho huo ni mchezo tu wa kuzua taharuki uone watakavyokuangukia kama mwewe
Kakibamia vile vidogo vinene nene [emoji87][emoji87][emoji87][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Bantu LadyNimeona nanii ya uyo fisi keusii tiii.
Kuna rafikiyangu ananiambia Babu na Bibi yake wamefariki ghafla huko Nsola kata ya Nsola Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza.Kanda ya kati Dodoma, Singida, Tabora, hadi Kigoma na kanda ya ziwa yote ni uchawi wa kurudishana nyuma tu
DuhMamlaka ya usimamizi wa Wanyamapori TAWA mkoani Mwanza imefanikisha kuua fisi wawili walioripotiwa kupora mtoto na kumjeruhi katika kijiji cha Nsola kata ya Nsola Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza.
Askari wa TAWA walifanikiwa kuwaua fisi hao huku mmoja akikutwa na hirizi katika mkia wake kama inavyonekana katika picha ya kwanza.
Acha kamba mkuu, weka huo ujumbe hapa😂😂Kuna rafikiyangu ananiambia Babu na Bibi yake wamefariki ghafla huko Nsola kata ya Nsola Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza.