π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Acha kamba mkuu, weka huo ujumbe hapaππ
Masomo ya science yanahitaji juhudi haswa,asa mzaramo hata soda tu mpaka Opena tena afunguliwe na weitaa utayawezeeπππNatamani kujua kipi kinawafanya hawa jamaa wanakua vizuri katika masomo ya sayansi, unafahamu? Nilisoma nao kadhaa advance,
Kesho utasikia kuna mabibi au mababu wamefariki
Imani za kishirikina hazina nafasi kwenye hii karne ya 21. Hivyo zinatakiwa kupuuzwa kwa nguvu zote.
Acha kutunga mzee mwambie aanzishe Uzi hapaKuna rafikiyangu ananiambia Babu na Bibi yake wamefariki ghafla huko Nsola kata ya Nsola Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza.
Nimetunga nini mkuu...π³Acha kutunga mzee mwambie aanzishe Uzi hapa
Huna adabu nimecheka sanaπ€£π€£π€£π€£Nimeona nanii ya uyo fisi keusii tiii.
ππππππππππππββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈHuna adabu nimecheka sanaπ€£π€£π€£π€£
Watu washamba huwa ni wasikivu sana!Natamani kujua kipi kinawafanya hawa jamaa wanakua vizuri katika masomo ya sayansi, unafahamu? Nilisoma nao kadhaa advance,
Waliingia pabaya.Kuna rafikiyangu ananiambia Babu na Bibi yake wamefariki ghafla huko Nsola kata ya Nsola Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza.
Akifa binti au kijana au asife mtu, utasema je mkuu?
Watanzania waliamua kuwainua zaidi hadhi wasukuma kwa kuchagua Rais kutoka kabila laoWakwe zangu wasukuma nyie ni hatari na nusu
Nanyie si mroge kwani tumewakataza.....tusipangiane maisha π€¨Ni watu wakarimu sana sema wachawi mnoo
Wewe hata uwe mchawi kama Yunge nakupenda balaaππππππNanyie si mroge kwani tumewakataza.....tusipangiane maisha π€¨