Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Cheki naye huyu mpambe wako ukikaidi utapigwa2 ye ikishafikaga maswala ya Yanga na kumsifia Mayele anapiga thumb up bila kujua ukweli wa hicho kituMayele kwa Africa sasa ni kama Dhahabu , kwa sisi tunaoangalia michezo vituo vikubwa kama Supersport ,BBC ,Canal nk wanaelewa ila ukiwa unashinda kwa Jemedari Saidi hautoelewa.
Hivi mnazijua dhahabu?
Au ni vijana wawili ambao mmeamua kuitukanisha dhahabu kwa kuifafanisha na vitu vya kijinga?