Flavour Nabania kutoka Nigeria athibitisha kuwepo Wasafi Festival Nangwanda Mtwara

Flavour Nabania kutoka Nigeria athibitisha kuwepo Wasafi Festival Nangwanda Mtwara

Madimba jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
1,577
Reaction score
3,146
Msanii wa kimataifa kitoka Nigeria,Mr.Flavour amethibitisha kuwa atakuwepo kwenye uzinduzi wa tamasha Konki la wasafi festival 2018 litakalofanyika kesho jumammosi Nov 24,Mtwara.
akiongea kupitia 88.9wasafi FM mtabe huyo wa,Nwa baby,obianuju,wake up n.k amesema amejipanga kuhakikisha analeta mapinduzi ya burudani na kuifanya sanaa izaliwe upya nchini Tanzania.

Flaviour anataraji kupanda jukwaani na ngoma.mbili kali ambazo ameimba na Diamond platnumz time to party na Nana ambayo kwa sasa ina views zaidi ya Milioni 40 huko youtube.

kweli huu mchezo usiuchezee,hawaamini wanachokiona
Screenshot_20181123-095409.png
 
Tamasha kubwa kama hilo unapelekaje porini huko...Wasafi na wao ni vichwa maji
 
Watu mna vijembe mara hii mmesahau hata fiesta ilianza kwa mbwembwe kama hivi,wasanii kibao wa majuu walipanda jukwaani.
 
Kwa hiyo WASAFI baada ya kuona wakulima wa KOROSHO kule mtwara wamepokea hela, ndo wakaamua kwenda KUWAKAMUA vizuri hizo hela zao, kwa kufanya hilo tamasha?[emoji53]

Hatakama bado hawajapokea hela za korosho kwa jinsi walivyo, watatafuta hata mikopo ya kwenda kwenye hio FIESTA na kisha baadae watalipa.[emoji18]

Wasipo kua makini hao wakulima wa korosho, watakula MTAJI wote wa msimu ujao halafu waanze KULIALIA wapewe mkopo na serikali wa kulimia mwakani.[emoji18]
 
Watu mna vijembe mara hii mmesahau hata fiesta ilianza kwa mbwembwe kama hivi,wasanii kibao wa majuu walipanda jukwaani.
na wao wasafi wakizingua tutahamia mziki mnene EFM ambao naona kama wiki mbili hizi wamepotezwa na hili bifu la WCB vs CMG
 
Kwa hiyo WASAFI baada ya kuona wakulima wa KOROSHO kule mtwara wamepokea hela, ndo wakaamua kwenda KUWAKAMUA vizuri hizo hela zao, kwa kufanya hilo tamasha?[emoji53]

Wasipo kua makini hao wakulima wa korosho, watakula MTAJI wote wa msimu ujao halafu waanze KULIALIA wapewe mkopo na serikali wa kulimia mwakani.[emoji18]
korosho zipo kwenye maghala hazijauzwa bado,sasa hivi wanakula hela za Nazi
 
Kwa hiyo WASAFI baada ya kuona wakulima wa KOROSHO kule mtwara wamepokea hela, ndo wakaamua kwenda KUWAKAMUA vizuri hizo hela zao, kwa kufanya hilo tamasha?[emoji53]

Wasipo kua makini hao wakulima wa korosho, watakula MTAJI wote wa msimu ujao halafu waanze KULIALIA wapewe mkopo na serikali wa kulimia mwakani.[emoji18]
Hakuna malipo yaliyofanyika kwa Mkoa mzima wa Mtwara mpaka sasa..

Kama walilenga za korosho hapo imekula kwao..
 
Hakuna malipo yaliyofanyika kwa Mkoa mzima wa Mtwara mpaka sasa..

Kama walilenga za korosho hapo imekula kwao..
Wanajua wakulima hata KUKOPA basi WATAKOPA ili waende, halafu zikitoka watalipa. [emoji53]

Ushasikia mtu anachukua MKOPO ili AKAFANYE STAREHE, halafu atalipa? Ndio hii sasa
 
Wanajua wakulima hata KUKOPA basi WATAKOPA ili waende, halafu zikitoka watalipa. [emoji53]

Ushasikia mtu anachukua MKOPO ili AKAFANYE STAREHE, halafu atalipa? Ndio hii sasa
Mkuu huko vijijini hali ni mbaya hakuna hata wa kumkopa. Watapata wateja waliopata mishahara mwisho wa mwezi ila sio hao wakulima..
 
Kwa hiyo WASAFI baada ya kuona wakulima wa KOROSHO kule mtwara wamepokea hela, ndo wakaamua kwenda KUWAKAMUA vizuri hizo hela zao, kwa kufanya hilo tamasha?[emoji53]

Wasipo kua makini hao wakulima wa korosho, watakula MTAJI wote wa msimu ujao halafu waanze KULIALIA wapewe mkopo na serikali wa kulimia mwakani.[emoji18]
Umenikumbusha early 90s Mzee wa kwasakwasa Kanda Bongo Man alikuwa juu mbaya akaenda Nairobi kwa show. Mapromota wa Kenya wakadata maana show zake raia walijaa kinoma. So akaapata show karibu miezi miwili almost kila siku. Moi akaona huu ujinga baada ya sikumbuki vizuri alikuwa binti yake au mkewe kutoroka usiku kwenda kwenye show ya Kanda Bongo Man. Moi akampa 24hrs awe nje ya Kenya.
 
WCB empire
Kule kwingine eti jijini Dar msanii mkubwa wa kutumbwiza ni barnaba.
 
Watu mna vijembe mara hii mmesahau hata fiesta ilianza kwa mbwembwe kama hivi,wasanii kibao wa majuu walipanda jukwaani.
Alafu sister una chuki sana na vijana Wa WCB nimekufatilia kwa mda mrefu nimeliona hilo sikia nikwambie sister mziki ni kazi na ni ajira mziki umeajir vijana wengi sana ambao kwa sasa nahisi wangekuwa vibaka tu. Mziki ndo kimbilio letu sisi vijana ambao hatujasoma. Kwa hiyo tunahitaji Mapinduz katika music ili wasanii tunufaike na vipaji vyetu hatutaki unyonyaji kwenye music tunataka haki

Diamond amemua kuitafuta haki, kupitia diomond kuna watu wanaishi wanakula na kusaza kwahiyo acha chuki Dada yangu. Kesho mtwara kuna vijana wenzetu wanaenda kupiga hela kupitia mgongo Wa hao vijana Wa WCB.

Mungu hapend chuki biblia inasema mwenye chuki huumia moyo sana. Kwahiyo acha chuki kwa binadam wenzako

Wasafi festival haipo kwa bahati mbaya.

LONDON BOY, BLACK ENGLAND
 
Back
Top Bottom