Alikuwa anaji shughulisha na Nini before naona hyo saidia geresha ilikuwa platform ya kupandia kutafta ubunge kiujanjaHuyo nae walewale wapigaji,tinamjua kiundani ubunge atausikia mwanza sio wajinga wampe
Labda ana mafweza ya kuhonga wajumbeMwanza hawanaga wakuja kwenye viti maalumu,itakua alishauriana na shemeji yake ambebe huko
Hela ya misaada awamu hii watoaji hamna,hapohapo nae anaitegemea kuendesha maisha....ccm mwanza haina wakujaLabda ana mafweza ya kuhonga wajumbe
Kazi anayo huyo wajumbe watamchinjia baharini mapema Sana Yani loh,maana watu wanahonga Hadi milion 20Hela ya misaada awamu hii watoaji hamna,hapohapo nae anaitegemea kuendesha maisha....ccm mwanza haina wakuja
Ubini wake unamuharibia kabisa Bora hata angejiita Masanja au MabulaSiku hizi nae anajiita Dr'Phd ya heshima.'
Elimu imedharauliwa sana.
Kaolewa na mdogo wake na diallo,ila anaitwa flora lauwo kweli msukuna kaolewa badala ya kuoaUbini wake unamuharibia kabisa Bora hata angejiita Masanja au Mabula
Ubini wake unamuharibia kabisa Bora hata angejiita Masanja au Mabula
Kapata kura mbili huyo Flora ndo wa mwishoKaolewa na mdogo wake na diallo,ila anaitwa flora lauwo kweli msukuna kaolewa badala ya kuoa
Kuolewa na msukuma hakuondoi uchaga wake. Wachaga damu haipotei kizembe Kama huamini zaa na mwanamke wa kichaga halafu uwe zoba ndo utawajua dada zangu.Kaolewa na mdogo wake na diallo,ila anaitwa flora lauwo kweli msukuna kaolewa badala ya kuoa
EeehHivi Joyce kiria yeye hajapewa dawa huko kwny kura za maoni?
Tupe matokeo kamili. Pia ya Joyce Kiria kule KilimanjaroTatizo kule instagram kunadanganya sana, unapata ma konfidensi unajiona wewe ndio wewe, kumbe 'wajumbe' sio watu wazuri kabisaa..lol
Thamani na nguvu waliyo nayo wajumbe sasa imejulikana😂😂😂Tatizo kule instagram kunadanganya sana, unapata ma konfidensi unajiona wewe ndio wewe, kumbe 'wajumbe' sio watu wazuri kabisaa..lol
Ukiwa huria waweza timua hayo makameraNi kwa sababu hata huko kusaidia wenye shida wanafanya ili waonekane mbele za watu ili baadaye wajiingize kwenye kisima cha mambo ya hovyo-yaani siasa hizi, na ndio maana, wanaposaidia wanaongozana na makamera ya waandishi wa habari. Lakini neno la Mungu katika Mathayo 6:1-4 linasema:
“Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni. Basi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani, ili watukuzwe na watu. Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume; sadaka yako iwe kwa siri; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.”
Wajumbe ukiwaletea posho wanakula na kura hupatiThamani na nguvu waliyo nayo wajumbe sasa imejulikana😂😂😂
Alikuwa Ana saloon mwanzaAlikuwa anaji shughulisha na Nini before naona hyo saidia geresha ilikuwa platform ya kupandia kutafta ubunge kiujanja
OkayAlikuwa Ana saloon mwanza
Itakuwa wajumbe wamempiga spana nilichojifunza ili upate ubunge uwe na hela za kuonga waliopata viti maalumu wengi ni wabunge waliopokea kiinua mgongo juzi ndo walihonga, wasio na hela ilikula kwao, Bora mtu akipata Mara moja next time aende jimboniTupe matokeo kamili. Pia ya Joyce Kiria kule Kilimanjaro