Kama Zamaradi watu walivyokuwa wanampamba,! Zamaradi nae kumbe mpaka kuandaa kutana na star wako kumbe lengo Ni ubungeTatizo kule instagram kunadanganya sana, unapata ma konfidensi unajiona wewe ndio wewe, kumbe 'wajumbe' sio watu wazuri kabisaa..lol
Wajumbe walichomtenda hukoAlikuwa Ana saloon mwanza
Kapata kura mbili Kuna mama jina gumu ndo kaongozaMatokeo official Ni yapi?
Kwanza kabisa natanguliza SHUKRANI kwa Wajumbe wote. Zaidi, Naomba msaada na kwa Joyce Kiria ili bia zishuke vizuri hapa La Chaz kiroho Safi.Kapata kura mbili Kuna mama jina gumu ndo kaongoza
Hahaaa ngoja nifatilie Juliana shonza, Rose tweve, Halima yahya, Mary mwanjela, Lucy mayenga wameshinda viti maalumuAisee Wajumbe noma. Naomba msaada na kwa Joyce Kiria ili bia zishuke vizuri hapa La Chaz
Yamekua haya?Kapata kura mbili Kuna mama jina gumu ndo kaongoza
Ndio aiseeYamekua haya?
NimefurahiNdio aisee
Ushindi kura 2?Hongera kwa ushindi mnono. Tupo pamoja
Njaa inasumbuaFlora baki na huduma aliyokupa Mungu
Huduma ya kuwasaidia wenye shida hasa watoto, walemavu ni huduma ya kiroho
Usijitenge na Mungu
Mungu wetu ni wa ajabu sana
Siasa itakufundisha mengine usiyoyatarajia
Safi Sana. Tunyweni BIANasikia Flora Lauwo na Joyce Kiria wote wamepigwa spana. Wamebwagwa vibaya.
Wajumbe wa CCM asanteni kwa kazi nzuri.
Tatizo kule instagram kunadanganya sana, unapata ma konfidensi unajiona wewe ndio wewe, kumbe 'wajumbe' sio watu wazuri kabisaa..lol