Flora Mbasha ajifungua, nani baba wa mtoto?

Jamaniee ni kwa nini mtumishi wa Mungu ahusishwe kweli skendo mbaya kiasi hicho?ni hivii mtumishi wa Mungu hapaswi kushutumiwa jamani!!ebu niambieni atawavunja wangapi nguvu za kusonga mbele na wokovu kama ndiyo hivyo????tukomae jamani ili neno la MUNGU lisitukanwe
 
mtoto wa emma huyo jamani
hebu muacheni dada wa watu apumzike
 
Aliekwambia Gwajima ni mchungaji ni nani? Yule ni msanii kama walivyo wasanii wa mjini.Namaanisha tapeli ila sasa yeye Gwajima utapeli wake anatumia mazingaombwe ya kisukuma.Take care siku za mwisho hizi manabii wa uongo akina Gwajima ndio hao.
Naye ni msukuma?!
 
gwajima wewe ni kidume cha mbegu. Demu umechukua na mimba pia umemdunga ?
 
Aliekwambia Gwajima ni mchungaji ni nani? Yule ni msanii kama walivyo wasanii wa mjini.Namaanisha tapeli ila sasa yeye Gwajima utapeli wake anatumia mazingaombwe ya kisukuma.Take care siku za mwisho hizi manabii wa uongo akina Gwajima ndio hao.

hahahahaha!i like this.
 
Kamwe usipoteza muda na manabii wa uongo na dini za za mpito
 
Hatimaye mrithi wa kanisa na ufufuo na uzima amezaliwa,haleluya!!!
 
Dah! so sad, Flora anatuimbia nyimbo za Mungu kumbe ni mzinifu! aibu, kuanza leo siwaamini tena walokole.

Walokole wengi fake ingawa si wote, nimeona kwa macho yangu, jamaa wangu alikuwa hajaokoka kamgonga mama yake mdogo ambaye ni binti tu ambaye alikuwa mlokole, jamaa nae saivi kaokoka.
 
""as long as your mama loves ya don't ever love a woman....wale"
 

Sasa wewe hapa unaongea nini?? Sura ya mtoto ni GWAJIMA yaani Mungu kamuumbua.Kwa akili yako huwezi kuona kwamba huyo mtoto anafanana na GWAJIMA? Acha ukweli usemwe wazi.Nini kinakuuma katika ukweli huu? Hii ndio kazi ya utandawazi.Nabii wa uongo kaumbuliw.Mungu alisema hao manabii FEKI mtawajua kwa usanii wao.Haya GWAJIMA KASHAUMBUKA.
 
Walokole wengi fake ingawa si wote, nimeona kwa macho yangu, jamaa wangu alikuwa hajaokoka kamgonga mama yake mdogo ambaye ni binti tu ambaye alikuwa mlokole, jamaa nae saivi kaokoka.

Mi kuna mmoja ananiandalia mazingira nimgonge aisee, mi namkwepa, naona kama alishayavaa mawaya vile! yani alichenj ghafla na kuzama baada ya kurudi toka sehemu za machimboni ambako aligawa sana uroda na sasa kajifanya kuokoka.
 
Mi kuna mmoja ananiandalia mazingira nimgonge aisee, mi namkwepa, naona kama alishayavaa mawaya vile! yani alichenj ghafla na kuzama baada ya kurudi toka sehemu za machimboni ambako aligawa sana uroda na sasa kajifanya kuokoka.

Sure mzee, usiingie kichwakichwa, wengi wakishatumika saana ndo wanaokoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…