Flora Mbutananga spates na mkasa wa kuibiwa Christmas 2019 kisa ahadi ya engagement

Huyu mhenga mwenzangu sijui shida ni nini

Halafu Mshana Jr si huyuhuyu aliwahi kusema alitaka kubakwa sijui alibakwa na GodblessLema huyu
 
Lema ana msingizia tu,huyo kwa mwonekano wake na sura yake haifai hata kupigiwa puchu.
 
Hata sasa pamoja na kesi ya kutapeliwa kafungua na ya ubakaji pia
Jr[emoji769]
 
Haa! Kumbe mbutananga ni mtu

Nilimskia unju akilitaja hili jina


Mbutananga mna blanda, nakudai mkuu kapanga/

It's Scars
 
Hujawahi elewa mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahahahahaha..Huwa naelewa ila kuna mambo ndio kidogo najikuta niko njiapanda na sintofaham juu
 
Ahahahahaha..Huwa naelewa ila kuna mambo ndio kidogo najikuta niko njiapanda na sintofaham juu
Huyu mmama sijui dada kuna kipindi alikuwa anaforce sana umaarufu na kama kumbukumbu zangu zipo sawa ni yupo abroad.
 
Maisha magumu hasa kwa wasanii halafu una jina kubwa halafu huna kitu,huyo niva ana jina kubwa lakini kazi zote kufukuzana na bodaboda ,lazima atafute mtelezo mjini akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niva kabla hajaingia kwwnye sanaa alikua ni jambazi maarufu na kuna clip ana kiri ni kwel alikua jambazi ila ameacha ,ila navyojua amejificha kwenye kivuli cha bongo movie
 
Nimecheka sana hapo tunasema aliyeuza cheni ya bandia kapewa pesa halali ya kitanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shikamoo dada heri ya mwaka mpya 2020View attachment 1321247

Jr[emoji769]


Kwa picha hii ina maana MC Pilipili alikuwa akinyanduana na huyu mwanamama aisee? Mbutananga unakosea wapi dada yangu?

Kuna kipindi ulisema Mh. Godbless Lema alikubaka sidhani aisee why yuko so cheap hivi? Ina maana na kukaa koote huko Europa na exposure bado tuu unadhubutu kutunduana na NIVA?
 
Nimeangalia video nina wasiwasi na utimamu wa akili wa huyu mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…