Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Sana yaaniNdoa ni tamu jamani
Lema ana msingizia tu,huyo kwa mwonekano wake na sura yake haifai hata kupigiwa puchu.Huyu mhenga mwenzangu shida ni nini sijuisijui
Halafu Mshana Jr si huyuhuyu aliwahi kusema alitaka kubakwa sijui alibakwa na GodblessLema huyu
Barua ya polisi wa Uingereza kumtafuta Lema
hii ni barua ya polisi wa uingereza waliyoandikia polisi ya tanzania wakimtafuta lema akamatwe kwa kosa la ubakaji. maelezo ya ziada ambayo uingereza walihitaji kutoka polisi ya Tanzania, ni haya hapa chini. Ushahidi wa mbunge Godbless Lema kumbaka flora lyimo wazidi kubainika...www.jamiiforums.com
Huyu mhenga mwenzangu shida ni nini sijuisijui
Halafu Mshana Jr si huyuhuyu aliwahi kusema alitaka kubakwa sijui alibakwa na GodblessLema huyu
Barua ya polisi wa Uingereza kumtafuta Lema
hii ni barua ya polisi wa uingereza waliyoandikia polisi ya tanzania wakimtafuta lema akamatwe kwa kosa la ubakaji. maelezo ya ziada ambayo uingereza walihitaji kutoka polisi ya Tanzania, ni haya hapa chini. Ushahidi wa mbunge Godbless Lema kumbaka flora lyimo wazidi kubainika...www.jamiiforums.com
Kama Miss Natafuta
Hujawahi elewa mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko nyuma sanaa.
Yan hakuna hata nilichokielewa hapo
Ahahahahaha..Huwa naelewa ila kuna mambo ndio kidogo najikuta niko njiapanda na sintofaham juuHujawahi elewa mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu mmama sijui dada kuna kipindi alikuwa anaforce sana umaarufu na kama kumbukumbu zangu zipo sawa ni yupo abroad.Ahahahahaha..Huwa naelewa ila kuna mambo ndio kidogo najikuta niko njiapanda na sintofaham juu
Nimecheka sana hapo tunasema aliyeuza cheni ya bandia kapewa pesa halali ya kitanzaniaCome easy go easy..... Hakuna mapenzi mpaka kufikia kuvishana pete ndani ya masaa 48 tangu kufahamiana... Hapo lazima mmoja apigwe
Wabongo muvi.. Mungu anawaona na ndio maana hata tasnia yenu hii inaelekea kaburini.. Kwasababu ya wizi, uongo utapeli na kudanga... Chanzo cha yote haya ni kutaka kuishi maisha ya juu tofauti na uhalisia unaotokana na kupewa umaarufu bandia na magazeti ya udaku
Mbuta na ujanja wake kapigwa ndefu fulani kuanzia kumgharamia mchumba mavazi starehe, pesa ya pete 2m, fedha tasilimu, matengenezo ya gari chakula mavazi nknk.. Aliyempiga si mwingine bali ni mbongo muvi na genge lake
Diamond anawafahamu vema wabongo muvi.. Hana hamu nao walimchanganya akachanganyikiwa kabisa...
Ukikutana na bongo movie wamechafua meza jua tu ya kwamba kuna lofa keshapigwa mahali au ndio Don kwenye hiyo meza
Mbuta sijui ninini kilimchanganya mpaka kugawa kipapa the same nite alipotongozwa.. anyway alikolezwa na wenye mji wao.. Wasiojua kutofautisha maisha halisi na kazi zao....
Bongo movie wameuanza mwaka kwa DOA kubwa jeusi la aibu ya wizi na utapeli
View attachment 1321246
Jr[emoji769]
Come easy go easy..... Hakuna mapenzi mpaka kufikia kuvishana pete ndani ya masaa 48 tangu kufahamiana... Hapo lazima mmoja apigwe
Wabongo muvi.. Mungu anawaona na ndio maana hata tasnia yenu hii inaelekea kaburini.. Kwasababu ya wizi, uongo utapeli na kudanga... Chanzo cha yote haya ni kutaka kuishi maisha ya juu tofauti na uhalisia unaotokana na kupewa umaarufu bandia na magazeti ya udaku
Mbuta na ujanja wake kapigwa ndefu fulani kuanzia kumgharamia mchumba mavazi starehe, pesa ya pete 2m, fedha tasilimu, matengenezo ya gari chakula mavazi nknk.. Aliyempiga si mwingine bali ni mbongo muvi na genge lake
Diamond anawafahamu vema wabongo muvi.. Hana hamu nao walimchanganya akachanganyikiwa kabisa...
Ukikutana na bongo movie wamechafua meza jua tu ya kwamba kuna lofa keshapigwa mahali au ndio Don kwenye hiyo meza
Mbuta sijui ninini kilimchanganya mpaka kugawa kipapa the same nite alipotongozwa.. anyway alikolezwa na wenye mji wao.. Wasiojua kutofautisha maisha halisi na kazi zao....
Bongo movie wameuanza mwaka kwa DOA kubwa jeusi la aibu ya wizi na utapeli
View attachment 1321246
Jr[emoji769]
Ila huyu mchaga mwenzetu anatuaibisha jamani, hizi shape zetu wenyewe huwa hatuziexpose hivi