Ibenge ana jina kubwa Sana ila uwezo wake ni mdogo Sana. Nabi ndiye kocha wa kwanza kuondoka Tanzania ๐น๐ฟ Kila mmoja akikiri uwezo wake mkubwa. Ameondoka mwenyewe hajafukuzwa , ameondoka mwenyewe akiwa hanaugonvi na timu pinzani. Anaondoka mwenyewe Kila Mtanzania anampenda