Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hapana mbona ni methali ya kizungu na inaeleweka, na inatumika tu.Methali za kiswahili hizo jombaa japo umeibadilishia lugha, achana Na kitu pesa
Kama mtu ana pesa za uhakika na ameamua kuzitumia anavyotaka that's his lifestyle. Wala simshangai ni kipenda roho,
Je kuwa tajiri ni lazima uwe na gari mia kama yeye. Hapo ndio nikaandika hivyo