Artificial intelligence
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 1,265
- 2,252
Fluoride katika maji kwa ajili ya kudhibiti akili
Unaweza kuwa na ufahamu wa fluoridation. Ni mchakato ambao serikali/viwanda vya maji uongeza fluoride kwenye maji kwa ajili ya usambazaji/uzalishaji wa maji ya kunywa, lengo kuu la kutumia fluoride likiwa ni kuimarisha mifupa na meno, hasa kwa watoto. Inaonekana kama mpango mzuri, kwa manufaa ya wananchi. Hata hivyo, kuna wengi ambao wanaamini kwamba sababu za kuanzishwa kwa fluoride katika maji yetu ni sinister zaidi.
Kwanza yatupasa tuelewe tofauti kati ya aina ya fluoride ambayo miili ya binadamu na aina ya sumu wanayosema inaongezwa kwenye maji yetu. Organic calcium-fluoro-phosphate ni aina nzuri, aina ambayo tunahitaji kujenga na kuimarisha mifupa na meno yetu, na inaweza kupatikana katika vyakula. Ni chumvi ya kikaboni(organic), ya chakula, isiyo na maji, na inaweza kuchanganywa ndani ya miili yetu. Hii sio aina ya fluoride ambayo watetezi wa hili na kauli yao wanatetea kwamba viwanda vinatulisha kupitia maji yetu. Aina hiyo inaonekana ni fluoride ya sodiamu(sodium fluoride) sumu ambayo ni mbaya, kemikali hii inaweza tumika kama sumu ya panya.
Sodiamu fluoride katika maji inasemekana kuwa na madhara kadhaa, kutoka kuharibu meno na kutoa lobotomies ndogo kwa kiasi kikubwa miongoni mwa watu hadi kuhathiri uwezo wa kufikiria wa mtu. Hii ndiyo sababu kuu watalaamu wanasema kwamba kemikali hii inasambazwa katika maji ya kunywa. Wanasema kuwa sababu halisi ya kutumia kemikali hiyo ni kufifisha ubongo na akili ya binadamu ili waweze kuendesha akili yake na kuwa na kiwango kidogo cha upinzani dhidi ya mamlaka.
Wanasema kwamba, baada ya muda, kiasi cha fluoride katika maji polepole ugeuka sumu kwa mtumiaji na kuua sehemu ya ubongo ambayo inafanya mtu kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri na utii zaidi kwa watawala. Kuna nadharia nyingi tofauti kuhusu asili ya fluoridation ya usambazaji wetu wa maji.
Baadhi ya watu wanaamini kuwa ni mpango uliobuniwa na Hitler na wanasayansi wake wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia, ambao baadaye ulipitishwa na Marekani. Wengine wanafikiri biashara kubwa na kampuni nyingi za afya ziko nyuma yake, kwa kutumia fluoride ya sodiamu ili kufanya watu wawe rahisi kudhibitiwa katika kutekeleza mipango yao. Pia kuna watu ambao wanaamini kwamba aina ya fluoride inayowekwa katika maji yetu ni aina salama zaidi, lakini kwamba, kimaadili ni makosa. Wanasema kuwa ni kama serikali kuwachanja watu wake kinyume na matakwa yao, bila ruhusa yao.
Unaweza kuwa na ufahamu wa fluoridation. Ni mchakato ambao serikali/viwanda vya maji uongeza fluoride kwenye maji kwa ajili ya usambazaji/uzalishaji wa maji ya kunywa, lengo kuu la kutumia fluoride likiwa ni kuimarisha mifupa na meno, hasa kwa watoto. Inaonekana kama mpango mzuri, kwa manufaa ya wananchi. Hata hivyo, kuna wengi ambao wanaamini kwamba sababu za kuanzishwa kwa fluoride katika maji yetu ni sinister zaidi.
Kwanza yatupasa tuelewe tofauti kati ya aina ya fluoride ambayo miili ya binadamu na aina ya sumu wanayosema inaongezwa kwenye maji yetu. Organic calcium-fluoro-phosphate ni aina nzuri, aina ambayo tunahitaji kujenga na kuimarisha mifupa na meno yetu, na inaweza kupatikana katika vyakula. Ni chumvi ya kikaboni(organic), ya chakula, isiyo na maji, na inaweza kuchanganywa ndani ya miili yetu. Hii sio aina ya fluoride ambayo watetezi wa hili na kauli yao wanatetea kwamba viwanda vinatulisha kupitia maji yetu. Aina hiyo inaonekana ni fluoride ya sodiamu(sodium fluoride) sumu ambayo ni mbaya, kemikali hii inaweza tumika kama sumu ya panya.
Sodiamu fluoride katika maji inasemekana kuwa na madhara kadhaa, kutoka kuharibu meno na kutoa lobotomies ndogo kwa kiasi kikubwa miongoni mwa watu hadi kuhathiri uwezo wa kufikiria wa mtu. Hii ndiyo sababu kuu watalaamu wanasema kwamba kemikali hii inasambazwa katika maji ya kunywa. Wanasema kuwa sababu halisi ya kutumia kemikali hiyo ni kufifisha ubongo na akili ya binadamu ili waweze kuendesha akili yake na kuwa na kiwango kidogo cha upinzani dhidi ya mamlaka.
Wanasema kwamba, baada ya muda, kiasi cha fluoride katika maji polepole ugeuka sumu kwa mtumiaji na kuua sehemu ya ubongo ambayo inafanya mtu kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri na utii zaidi kwa watawala. Kuna nadharia nyingi tofauti kuhusu asili ya fluoridation ya usambazaji wetu wa maji.
Baadhi ya watu wanaamini kuwa ni mpango uliobuniwa na Hitler na wanasayansi wake wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia, ambao baadaye ulipitishwa na Marekani. Wengine wanafikiri biashara kubwa na kampuni nyingi za afya ziko nyuma yake, kwa kutumia fluoride ya sodiamu ili kufanya watu wawe rahisi kudhibitiwa katika kutekeleza mipango yao. Pia kuna watu ambao wanaamini kwamba aina ya fluoride inayowekwa katika maji yetu ni aina salama zaidi, lakini kwamba, kimaadili ni makosa. Wanasema kuwa ni kama serikali kuwachanja watu wake kinyume na matakwa yao, bila ruhusa yao.