Bado tatizo kuu libabaki pale pale kuwa tuna viongozi vilazatatizo la foleni dar ni ukosefu wa ring roads za kutosha!
Watengeneze ring roads za kutosha mfano magari ya mizigo yalikuwa na ulazima gani wa kutoka kurasini na kupita mandela road ubungo kimara mpaka mbezi kwanini yasipitie ndanindani huko yakatokea kibaha huko.
Januari mosi nimepita Kahama mashineni , mwenyekiti wa mtaa wa mashineni ameuza barabara inajengwa godauni, barabara inapaswa kuingia sekondarl MALUNGA. Hii ni AIBU , Waziri wa mabarabara aseme jambo kuhusu hali hii.Changamoto kubwa ni mipango miji.
Pamoja na wembamba wa barabara, zikiwa chache ni tatizo zaidi.
Ujenzi holela, tena usioacha nafasi kwa ajili ya miundombinu ya uma ndiyo janga kuu.
Hata hivyo, serikali ya hovyo hutokana na wananchi wa hovyo na matokeo yake ni huduma na miundombinu ya hovyo.
Alafu tunasema nchi hii eti tuna Wizara ya Ardhi na Maofisa Ardhi.Januari mosi nimepita Kahama mashineni , mwenyekiti wa mtaa wa mashineni ameuza barabara inajengwa godauni, barabara inapaswa kuingia sekondarl MALUNGA. Hii ni AIBU , Waziri wa mabarabara aseme jambo kuhusu hali hii.
Agree 100%.Nikitembea katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo mengi ya Tanzania jambo kuu linalonijia kichwani ni kwamba, Tanzania tutapata maendeleo ya kweli pale tu tutakapopata Viongozi wenye akili na wasioendekeza rushwa.
For the long-term solution, we need to get rid of the roots. It might be costly/costful but it's the only and best way to go for..Si evolution,Revolution, you wonder why tunaendelea kupata viongozi wa aina hii? And jamii ina wa support?
Is not about maamuzi kama tatizo liko deep layered deep down kwenye jamii. Tunaweza avoid kwa muda mfupi, but litajirudia
So get rid of roots or get rid of leaves?
Magufuli alipaswa kuwa kama Mzee Mkapa. Mkali kidogo pia alikuwa na busara. Well exposed to international affairs, alijua kuishi vizuri na development partners kama U.S.Kuna siasa zimepandikizwa kwa makusudi kabisa kwakutumia waandishi wa habari maarufu kwa mlengwa wa kuharibu legance ya Magufuli, wanasahau kila binadamu anapande zake mbili, sura mbili atakupokea vile ulivyokuja. Pamoja na yote yule jamaa angetuvusha kama angeendelea kuwepo mpaka sasa.
I agreeFor the long-term solution, we need to get rid of the roots. It might be costly/costful but it's the only and best way to go for..
Sasa option uliyonayo tia nia uwe kiongozi shinda uchaguzi, utupe unachokitaka waliopo wanaona wanachofanya ndio sahihiš¤Bado tatizo kuu libabaki pale pale kuwa tuna viongozi vilaza