Foleni kubwa Morogoro road

Foleni kubwa Morogoro road

Wengine mlikua nyumba ndogo. Mnavyosoma hapa mnatoa taarifa home. Kumbe mko kwenye tanuru la mofa
 
Nimepita hapo.. usiku huu.. tatizo ni madereva.. kuanzia mbezi INN hakuna foleni..

Madereva hawataki kufuata foleni, wanaokija dar wameziba njia yote na wanao elekea moro nao wameziba njia zote..


Hii ya leo ni nyoko...leo njia ya kimara imetunyoosha haswa...foleni tangu saa tatu usiku mpaka saizi saa saba bado hatuelekei kutoboa...leo nalala njiani kama naenda kigoma bora hata ningekua na manzi mkali pembeni...malori kama buku...nahisi foleni ishafika manzese saizi... Dar bhana...nalala njian leo na home napaona paleeee....
 
Nimepita hapo.. usiku huu.. tatizo ni madereva.. kuanzia mbezi INN hakuna foleni..

Madereva hawataki kufuata foleni, wanaokija dar wameziba njia yote na wanao elekea moro nao wameziba njia zote..
Nyumbani wamekuelewa kwamba ulikua kwenye foleni?
 
Hii ya leo ni nyoko...leo njia ya kimara imetunyoosha haswa...foleni tangu saa tatu usiku mpaka saizi saa saba bado hatuelekei kutoboa...leo nalala njiani kama naenda kigoma bora hata ningekua na manzi mkali pembeni...malori kama buku...nahisi foleni ishafika manzese saizi... Dar bhana...nalala njian leo na home napaona paleeee....
Mimi enzi zangu nilikuwa napaki gari pembeni,sehemu yenye utulivu au Bar,najua hapa kuna walinzi,nafungua vioo kwa mbaali,nauchapa usingizi nikija kuamka gari zinatembea ndio naanza kuingia barabarani...
 
Tatizo.madereva wa tz upumbavu mwingi.. hiyo barabara inajengwa inahitaji nidhamu ya hali ya juu

Walioziba njia ni madere..
Ebwanaaa kuna folen balaaaaa. Nimekaa kwenye folen kwa masaa 4. nipo maeneo ya mbezi mwisho. Nilikua na safari ya Arusha usiku huu sasa inabidi nilale tuu Nikimbizane na tochi asubuhi.

Sijui shida ipo wapi
 
Hii ya leo ni nyoko...leo njia ya kimara imetunyoosha haswa...foleni tangu saa tatu usiku mpaka saizi saa saba bado hatuelekei kutoboa...leo nalala njiani kama naenda kigoma bora hata ningekua na manzi mkali pembeni...malori kama buku...nahisi foleni ishafika manzese saizi... Dar bhana...nalala njian leo na home napaona paleeee....
Bananeni hapo hapo Dar Es Salaam!
 
At last nimefika magetoni baada ya kukaa foleni masaa matano kudadadeki
Una dakika 45 tu za kulala kabla ya swalaa swalaa uwahi leo kibaruani kumalizia kiporo Cha kazi ya Jana!
ukichelewa, alfajili Hakuna foleni lakini saa 2 mbili leo Kuna msafara asubuhi
 
Huu ni utoto mkuu achana nao kbc kwamba kwenu mtu kuwa na gari ni maajabu?au hujui hapa mjini kuna gari mpk za milioni 2.Tafuta hela dogo wivu ukutoke
Nikinunua gari na mimi lazima nianzishe uzi
 
Ni kweli mimi nilikua napokea mgeni hapo Mbezi yaani nimekaa kama masaa 3 ndo naingia home saa hizi, tatizo liko hapo Mbezi ile barabara inayotoka Goba imefungwa naona wakandarasi wamechimba bonge la mtaro naona ujenzi unaendelea sijui ni kwa muda gani magari yanayotoka goba kwenda kinyerezi & virce versa ndio yanaleta shida kwa magari yanayotumia Morogoro rd hivyo nawashauri muepuke uelekeo huo
Hao wakandarasi wanachimba hapo kila siku.
 
Sasa weweunaongelea foleni ya sa 12 wakati hii crisis imeanza sa tatu usiku....hebu jilalie zako tuache na foleni yetu....mara ya nne hii nalala naamka niko palepale....magari yote yamezimwa kudadadeki
Crisis imeanza saa 1 jioni.
 
Back
Top Bottom