Spenzia
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 497
- 211
Kwani umewasariti wenzako wana Nasa kweri huu ni urafiki wa unafikCCM hoyee Jubilee Juuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani umewasariti wenzako wana Nasa kweri huu ni urafiki wa unafikCCM hoyee Jubilee Juuu.
Hope know you have proved what I told you.John-Allan Namu
@johnallannamu 3h
Police just cleared a roadblock mounted by protesters in Mathare .
pic.twitter.com/gjRrrkzKJP
View photo ·
mathare Nairobi kulikuwa na mtafaruku kidogo Lakini mambo yako shwari. Washapewa dawa Yao, teargas
Wakenya nawapa tano kabisa, wanefanya jambo jema duniani mpaka mbinguni kwa kinchagua msela wetu Uhuru atengeneze ajira hata sisi tutahania kwa jirani kusaka ajiraWakenya wamefanya jambo zuri sana kumchagua Rais Uhuru...
Maana wangemchagua yule mshikaji wa jamaa yetu... chamoto wangekiona!
Kaa utulie, lete hapa thread au post yangu ya kutaka kuwe na machafuko huko kenya!Hao wameanza kusababisha maombi yako yajibiwe yale ya kutaka kuona vurugu Kenya.
Kaa utulie, lete hapa thread au post yangu ya kutaka kuwe na machafuko huko kenya!
Kifupi tu ni kuwa hiyo kauli yako ni ya kichochezi bora tu umeisema huku kwenye mitandao ya tz!
Hayo maneno yako ukiyasema kwenye maeneo kama mathare ambako vijana nimeona wanafunga barabara itaongeza chuki!
Chunga kauli zako!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]akae atulie tunascan form now
Mkuu uko Sawa, matokeo yamesetiwa lazima Uhuru apate 54% and above, laila 44%, waangalie trendHawata mpa hizo form, maana deviation na variance ya matokeo haya ni constant.
Suala hapa ni moja!Nilishakuambia Kenya hakutakua na ghasia mtazisubiri sana. Uchumi wetu utaendelea tena mizigo ya Waganda itaanza kutumia SGR yetu
nelson omukuba followsHope know you have proved what I told you.
nelson omukuba followsHope know you have proved what I told you.
nelson omukuba followsHope know you have proved what I told you.
alishaondoka muda mrefu.takriban miaka mitano sasa imepita.hivyo sidhani kuna faida atakazopata zaidi ya alizokuwa akifaidi tangia wakati huo..katiba ya sasa haina wadhifa wa prime minister.Raila hakuwa na wadhifa wowote zaidi ya mwanzilishi wa chama cha ODM ambacho ndicho chama pinzani..Ule wadhifa wake wa PM hauna mafao baada ya kustaafu?
malalamiko kila kukicha hata Obama alishawahi kumkashifu sana pamoja na wenzake..Historia ya Odinga kufanya uchochezi na kujipenda mbele ya maslahi ya waKenya inajulikana sana. Huyu mtu ndiye aliwasha moto mkali wa 2007.
Dah!! Lakini wajue dunia ni mapito tu.Naona tangu alipotangaza kuyakataa hasa kuanzia saa sita mchana, kasi ya UHURU kumzidi imepungua sana. Kiganja cha yule jamaa kimefanya kazi nzuri
Ki theoretic ipo uhuru ila ki practical haipo uhuru kabisa.Tume bado ni dhaifu ina mikono za Serikali maana haiwezekani Mtu kuingia (kulog in) kwenye akaunti ya Chris Msando ambaye alifariki hii inasadifu ambavyo Tume haiko huru!!