Fomu anazotaka Odinga kwanini musimpe?

Fomu anazotaka Odinga kwanini musimpe?

Kwani leo ndo ameanza kuibiwa? aachie wengine wapambane.
 
Huu ushindi wa Uhuru naomba uwe wa kweli na usije kutuletea majanga na chuki, Raila amesema hayo mafomu 34a na 34b hayajaambatanishwa na matokeo yanayotangazwa, naomba IEBC wafanye scan ya hizo fomu zote na kumpa Odinga na pia kuzianika hadharani ili ushindi huu ukubalike vizuri.

Maana Raila akianza kuimba imba na kutaja wizi, wafuasi wake wanamskiliza sana na wanaweza kukinukisha.
Ulikua umetulia unaanza ngenga.
Joho ameshapata fomu zote 40,000 wanaangalia tu hiyo tume itatangaza nini
 
Mkuu mzee jomo alisema nn kuhusu odinga tufahamu na sisi

DPP
Hakuna lolote mkuu zaidi ni ubaguzi tu wakikuyu kwa wajaluo na huyo ruto anatumika tu ikifika 2022 utashangaa jubilee inamsimamisha mkikuyu tena

Odinga kma kura alishashinda 2007, 2013 ila hatowahi kutangzwa simply coz ni mjaluo wako radhi waunde serikali ya mseto ila sio raila kuwa rais maana wanajua akiwa rais ndio mwisho wa wakikuyu kuitawala kenya
 
Odinga hawezi kuwa Raisi wa Kenya kwa kawaida namba huwa hazidanganyi alishashindwa kabla
Namba zipi mbona kivuitu alikiri odinga aliibiwa kura alipokuwa ndio mwneyekiti wa electoral commission ya kenya???? Hata huyu fomer chairman wa Iebc Alikiri 2013 kuja rafu odinga alichezewa na usishangae huyu wafula miaka kumo ijayo naye akikiri kuwa odinga alichezewa rafu tena 2017

Its simple wakikuyu hawawezi kubali kutawaliwa na kabila ingine kma ilivyo wanyankole uganda na watutsi rwanda
 
anazungumza live muda huu toka westlands, ila sioni raila akiibiwa kura zaidi haamini kama bado hakubaliki
Yeah ili mumuumbue Raila si muhakiki fomu zote kwenye live tv hapo bomas ili wakenya wajue nani mkweli mkificha mtampa sababu ionekane kaibiwa ukweli
 
Ulikua umetulia unaanza ngenga.
Joho ameshapata fomu zote 40,000 wanaangalia tu hiyo tume itatangaza nini
Eti Joho? Sultani sasa hivi anadensi tu chekecha akifurahia ushindi wake. Fomu zote zimeanikwa wazi kwenye vituo vya kupiga kura na kwenye portal ya IEBC mtandaoni. Ukitaka zitizame wewe mwenyewe. Zimebakia fomu 1,000 kati ya jumla ya 40,800,hadi sasa hivi hawajapata dosari yeyote! Matokeo walotangaza IEBC hapo awali yako shwari kabisa. Raila, kwaheri ya kuonana!
 
Eti Joho? Sultani sasa hivi anadensi tu chekecha akifurahia ushindi wake. Fomu zote zimeanikwa wazi kwenye vituo vya kupiga kura na kwenye portal ya IEBC mtandaoni. Ukitaka zitizame wewe mwenyewe. Zimebakia fomu 1,000 kati ya jumla ya 40,800,hadi sasa hivi hawajapata dosari yeyote! Matokeo walotangaza IEBC hapo awali yako shwari kabisa. Raila, kwaheri ya kuonana!
Acha upotoshaji mkuu fomu iliyowekwa kwenye website ni moja tu hata mwenyekiti kasema ndio wanaziomba kutoka vituo vyote ili ziwe available kwa vyama vyote waone matokeo ssa hizo 40,800 wwe ndio umezifikisha bomas kwa gari yako ama ???
 
Acha upotoshaji mkuu fomu iliyowekwa kwenye website ni moja tu hata mwenyekiti kasema ndio wanaziomba kutoka vituo vyote ili ziwe available kwa vyama vyote waone matokeo ssa hizo 40,800 wwe ndio umezifikisha bomas kwa gari yako ama ???
Hiyo ndo habari Mkuu!
Jaluo akapumzike tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
zitto junior acha ubishi iebc walipeana brief asubuhi,ulikuwa wapi! Sina wakati wa kurudia yote yaliyosemwa lakini saa moja usubuhi walikuwa wamebakisha 1,600 kati ya zote 40,000+. Wanazipitia iebc pamoja na mawakala wa wagombea wote wa urais! Nilipiga kura yangu tarehe nane mimi hivyo nafatilia yote live bila mchezo! We skiza story za vijiweni tu!
 
Scanned copy ya matokeo ndio inayochakachuliwa wakati wa kutransmit! Hivyo kuhakiki scanned copy sio suluhu! Watumie original forms kutoka kwenye vituo vya kupigia kura! Ikiwa Odinga ni mwongo achukuliwe hatua kali za kisheria kwa uchochezi! <br /><br />If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat

If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
 
zitto junior acha ubishi iebc walipeana brief asubuhi,ulikuwa wapi! Sina wakati wa kurudia yote yaliyosemwa lakini saa moja usubuhi walikuwa wamebakisha 1,600 kati ya zote 40,000+. Wanazipitia iebc pamoja na mawakala wa wagombea wote wa urais! Nilipiga kura yangu tarehe nane mimi hivyo nafatilia yote live bila mchezo! We skiza story za vijiweni tu!
Mkuu mie naongelea press conference ya kwanza ya Nasa walidai kwenye system imewekwa scanned copy moja tu ya fom 34 A /B by jana asbuhi ssa nlichobisha nni??? Nasa wao walitaka original handwritten form sio scanned copy na wakishahakiki ukweli utajulikana so mpunguze ushabiki kwanza muache uhakiki umalizike

Nasema hivi maana unapotosha mkuu eti hawajaona dosari??? Yaani unataka utuaminishe kuwa wameshahakiki fomu zote??? Wakati so far hazijafika hata fomu 2000 zilizohakikiwa

Mkuu acha masihara kwenye mambo serious we tulia kwanza ukweli utajulikana tu kma odinga ataanguka basi iwe wazi
 
MK254

Naomba msaada wako mkuu,

Kenya asilimia kubwa ya watu wake wanaongea Kiswahili na lugha za asili,na ni asilimia ndogo sana wanao jua kingereza na kiswahili,

Swali?

Kwanini viongozi wengi wa nnchi wanatumia kingereza wanapo ongea mambo ya Kitaifa mfano bunge na Tasisi za serikali kama polisi nk

Mbaya zaidi juzi wakiomba kura walitumia kiswahili,hata wale wabunge walitumia kiswahili kuombea kura

Hebu nisaidie hii inatokana na nn?

Swali nzuri sana. Tatizo ni kuwa Kiswahili kwa miaka mingi imekuwa National Language (Lugha ya taifa). Kiingereza kimekuwa official language. Kwa hivyo, unapotaka kuongea na wananchi, unatumia Kiswahili, Kingereza na Lugha ya mama. Unapotaka kuongea kwenye bunge au mahakama, Ni Kiingereza. Lakini siku hizi, Kiswahili pia ni official language lakini kwa Jina tu.
 
6aa53b96ce43028ebc2751a4856582cc.jpg

Ukweli uko wapi?

Hizi zilikuwa prediction tu. Hakuna vile Kakamega, Busia na Vihiga kuwa na turnout same. Hakuna kitu kama Ukambani, au Luo Nyanza. Ni ujinga kusema turnout ya Turkana ni 80% ilhali kura zilianza kupigwa saa tisa za Mchna. ikiwa mtu maekupa data hiyo kama kura zilizopigwa, basi huyo ni mtu mjinga sana.
 
Yeah ili mumuumbue Raila si muhakiki fomu zote kwenye live tv hapo bomas ili wakenya wajue nani mkweli mkificha mtampa sababu ionekane kaibiwa ukweli

Kweli wewe una matatizo. Unajua maana ya kuhakiki form zote "Kenye live tv?" Camera itakua inalenga kila form na wahakiki ni wangapi? Kuna maana kila chama iko na agents wake kwenye Tallying centre. Na agents pia wako nyumbani na forms.
 
Back
Top Bottom