Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
- Thread starter
- #81
Hahaha hii ya mzizima immetesa sana watu.. Maan mchanga ulikuw mwingi san
Rally za Tanzania zinakuwa na ushindani mdogo zinaingia gari 14 kisha zinamaliza gari 6.
Saizi wameogopa kuwaalika wageni, maana Rally za karibuni wageni ndio wamekuja kuchukua ushindi.