Jamani Zito alienda Mahakamani kutetea Ubunge wake enzi zile hata Magu hakuwa Rais bado, sijui kwanini binadamu tunasahau haraka, au mna shida gani na hayati Magufuli, muacheni mzee wa watu apumzike kwa amanii
Hapa nadhani watakimbilia Mahakamani kama alivyofanya Zitto miaka ileeeee!! Wakienda Mahakamani wanazuia maamuzi ya Baraza Kuu kutekelezwa na wanafungua kesi ya kupinga mchakato wa kuwafukuza. Wanarudi Bungeni kuendelea na Ubunge wao, kedi inaendeshwa miaka 3 hivyo wanamaliza miaka 5!! Ngoma sasa ni kwa chama, watachukua ruzuku ama la??
Wakienda basi kesi iwe ya haraka kama ya sabaya na ile ya mbowe.
Hawahami wala hawaondoki bungeni sasa labda hadi 2025 January
Tusubiri rufaa😅😅😅
Wakitumia mbinu ya kupeleka shauri mahakamani, watavuta muda. Bungeni wapo sana tu. Case study ni kilichotokea kwa Zitto enzi zile.
ACT imeshaimarika Zanzibar, Mdee na wenzake (kama watahamia) watakiimarisha Bara.
Jamani Zito alienda Mahakamani kutetea Ubunge wake enzi zile hata Magu hakuwa Rais bado, sijui kwanini binadamu tunasahau haraka, au mna shida gani na hayati Magufuli, muacheni mzee wa watu apumzike kwa amanii
Ndicho nilichokisema. Mbinu ya kukimbilia mahakamani ndio short term goal sahihi itakayowasaidia kwa lengo la ku-buy time. Zitto bila shaka atatumia fursa hii vizuri kurudisha ubest wake wa nguvu na pacha wake wa kitambo Halima Mdee na kukiimarisha zaidi chama chake.
Mnajua kubadilisha maneno, kwanza ilikuwa "Chadema haiwezi kuwafukuza" now wamefukuzwa imekuwa "chama cha kikatili mno"Chama cha kikatili mno.
Wanadharau na kunyanyasa wanawake.
Kwani wajumbe wanawake hawakupiga kura? Au kura za wanawake ni 5 waliopinga sawa na idadi yote ya wajumbe wanawake? Acha kujitetea kwa jinsia!Chama cha kikatili mno.
Wanadharau na kunyanyasa wanawake.
Kazi ya mwanasiasa ni kufanya siasa.
Maamuzi ya mwisho ya kuwavua uwanachama wa CHADEMA wabunge Halima Mdee na wenzake 18 baada ya rufaa yao kukataliwa, huenda yakawatoa rasmi kwenye siasa za vyama, hivyo kulazimika kutetea ubunge wao mahakamani kwa ajili ya kusogeza siku mbele kuelekea 2025.
Labda wengi wanajiuliza au wengine wanadhani huu ndio mwisho wa kisiasa kwa wanasiasa hawa wazoefu na machachari. Kisiasa, hesabu nzuri zaidi ni wanawake hawa kuhamia chama cha ACT ili wapate jukwaa halali la kuendelea kuwa relevant kwenye siasa za upinzani na uwakilishi hapa nchini.
Jambo la muhimu zaidi, maamuzi ya CHADEMA yaheshimiwe.
Mahakamani wanaenda kutetea Ubunge gani?. Unaenda kutetea Ubunge ambao umeupata kinyume cha sheria?. Halafu ubunge wa viti maalum ni tofauti na wa kupigiwa kura. Ubunge wa viti maalum chama ndicho chenye nguvu ya maamuzi nani awe na nani asiwe mbunge. Yani chama kinaruhusiwa kuleta orodha ya wabunge wengine refer kesi ya Lipumba.
Hawahami wala hawaondoki bungeni sasa labda hadi 2025 January
Tusubiri rufaa😅😅😅
Hii si zama ile, watamalizia hela zao mahakamani bure.Hapa nadhani watakimbilia Mahakamani kama alivyofanya Zitto miaka ileeeee!! Wakienda Mahakamani wanazuia maamuzi ya Baraza Kuu kutekelezwa na wanafungua kesi ya kupinga mchakato wa kuwafukuza. Wanarudi Bungeni kuendelea na Ubunge wao, kedi inaendeshwa miaka 3 hivyo wanamaliza miaka 5!! Ngoma sasa ni kwa chama, watachukua ruzuku ama la??
Wakitumia mbinu ya kupeleka shauri mahakamani, watavuta muda. Bungeni wapo sana tu. Case study ni kilichotokea kwa Zitto enzi zile.
Kam namwona Zitto anavyowatamani waende ht saiv wakajijenge chama, hakika watakuwa wamelamba dume