For Political Survival, Halima Mdee na wenzake wahamie ACT Wazalendo

kina mbowe wakati ule walishinda kwenye majimbo yao,tofautisha wabunge wa kuteuliwa na wakuchaguliwa,hawa wamejiandikia majina yao na kupeleka bungeni kama wabunge wa viti maalum bila vikao vya chama
 
Mkuu mbona umeenda nje ya topic na uko too defensive? Wapi nimesema watakuwa tishio kwa CHADEMA au kupambana nayo? Labda kama umequote kimakosa.
Sipo defensive nachojaribu kukueleza ni kwamba hawawezi imarisha ACT Bara maana tayari kuna mizizi mikubwa sana ya CHADEMA kwa miaka 30 kama ambavyo CUF Bado Ina mizizi kusini licha ya wabunge wake wengi kukimbilia ACT!!

Ndio najaribu kuonyesha hata zitto, Kafulila, na Machali hawakuweza ipunguzia chochote CHADEMA kule Kigoma ndio sembuse nchi nzima kwa ku rely kwa Hawa viti maalum??
 
Mbowe jana kasema CHADEMA haiwezi kuwa ilivyo milele, akataka na vyama vingine viheshimiwe kwani vinaweza kuchukua nafasi ya CHADEMA ya sasa. Kwenye siasa kila kitu kinawezekana mkuu. Usitoe conclusive sentences, utakuja kuumbuka bure.
 
waTanzania sijui tunashida gani, watu wamelalamika miaka mingi sana kwa wabunge 19 kulipwa fedha za walipa Kodi wasiyostahili...lakini bado watu wanatoa ushauri kwa hao wavunjifu wa Sheria na taratibu watumie njia batili ya kubaki kuendelea kulipwa Kodi ya waTanzania kinyume na utaratibu.

Ebu watumie ungwana na Bunge pia watumie busara na wajibu wao ili fedha hizo za walipa Kodi zikafanye kazi ya kuwaletea maendeleo waTanzania. Inasikitisha sana kuona nchi zingine viongozi wanajiuzulu kwa kujutia maamuzi yao lakini huku kwetu watu wanawapa mbinu maaramia namna ya kutafuta pesa wasiyostahili.
 
Mahakamani wanaenda kupigania uanachama wao au ubunge?
Nadhani ukiliangalia kwa makini swala kwa kina Halima wanahaki ya kupambania uanachama wao Chadema lakini ubunge hawana maana sio wa kuchaguliwa na wananchi bali wa kupendekezwa na chama(viti maalum) kwa ridhaa ya chama wakati chenyewe kinakukana.
 
Chama cha kikatili mno.

Wanadharau na kunyanyasa wanawake.
Ili CHADEMA isimame kwenye haki kwa mujibu wa katiba, akina Mdee wamepata walichostahili.
Wa kijani mtaendelea kuhangaika kutafuta na kuongea kila kitu kama aliyepagawa na mashetani.
Wasaliti Covid 19, walimtumaini sana mungu wa Burigi na pamoja 'mtume' Ndugai, wakiamini kuwa watawavusha wakati wote na watakuwa nao milele.
 
Ahsante, ruhusa uliyopewa imeisha, sasa watakiwa kurudi kwenye lindo chattle, ili ukamalizie wiki yenu
 
Umeona vyema. Lakini hivi binti wa Sarungi hana chama kweli?
 

Uliambiwa wanachukua ruzuku?
 
miaka yote CCM walikuwa wanaiba kura ila 2015 CCM waliiba mfumo mzima wa kura
Wizi ni Wizi Tu! Viti maalum vingekuwa vina-accomodate wanaume sasa hivi story ingekuwa nyingine. Amini Amini nakwambia Mwenyekiti angekuwa Bungeni!
 
Sasa upate wabunge 120 na 40% ya kura za Urais pamoja na 30% ya Halmashauri nchi nzima then ususe??? That is something.

Ila unaporwa majimbo yoteee afu Una settle kwa viti maalum 19?? Aisee hayo ni madharau makubwa sana
Lakini hivyo 19 ingekuwa vina-accomodate na wanaume sasa hivi akina Mbowe, Mnyika wangekuwa Bungeni. Ni ubinafsi tu unawasumbua hawa wanaume!
 
kina mbowe wakati ule walishinda kwenye majimbo yao,tofautisha wabunge wa kuteuliwa na wakuchaguliwa,hawa wamejiandikia majina yao na kupeleka bungeni kama wabunge wa viti maalum bila vikao vya chama
My point is, hivyo viti 19 ni vile vinahusu wanawake tu ndo maana wamepata jeuri ya kuvisusia. Kwa jinsi walivyoshupaliaga shingo kuibwa kwa kura za Lowassa, wangesusa kipindi kile kama kweli wana ubavu. Unasusa kitu kwa sababu hakikunufaishi halafu unataka tukuone hero?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…