For Political Survival, Halima Mdee na wenzake wahamie ACT Wazalendo

For Political Survival, Halima Mdee na wenzake wahamie ACT Wazalendo

Interest

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
3,434
Reaction score
7,072
Kazi ya mwanasiasa ni kufanya siasa.

Maamuzi ya mwisho ya kuwavua uwanachama wa CHADEMA wabunge Halima Mdee na wenzake 18 baada ya rufaa yao kukataliwa, huenda yakawatoa rasmi kwenye siasa za vyama, hivyo kulazimika kutetea ubunge wao mahakamani kwa ajili ya kusogeza siku mbele kuelekea 2025.

Labda wengi wanajiuliza au wengine wanadhani huu ndio mwisho wa kisiasa kwa wanasiasa hawa wazoefu na machachari. Kisiasa, hesabu nzuri zaidi ni wanawake hawa kuhamia chama cha ACT ili wapate jukwaa halali la kuendelea kuwa relevant kwenye siasa za upinzani na uwakilishi hapa nchini.

Jambo la muhimu zaidi, maamuzi ya CHADEMA yaheshimiwe.
 
Hapa nadhani watakimbilia Mahakamani kama alivyofanya Zitto miaka ileeeee!! Wakienda Mahakamani wanazuia maamuzi ya Baraza Kuu kutekelezwa na wanafungua kesi ya kupinga mchakato wa kuwafukuza. Wanarudi Bungeni kuendelea na Ubunge wao, kesi inaendeshwa miaka 3 hivyo wanamaliza miaka 5!! Ngoma sasa ni kwa chama, watachukua ruzuku ama la??
 
Hapa nadhani watakimbilia Mahakamani kama alivyofanya Zitto miaka ileeeee!! Wakienda Mahakamani wanazuia maamuzi ya Baraza Kuu kutekelezwa na wanafungua kesi ya kupinga mchakato wa kuwafukuza. Wanarudi Bungeni kuendelea na Ubunge wao, kedi inaendeshwa miaka 3 hivyo wanamaliza miaka 5!! Ngoma sasa ni kwa chama, watachukua ruzuku ama la??
Kule wakienda wanapigwa za uso mapema tu, Kibatala hana muda wa kupoteza awamu hii
 
Hapa nadhani watakimbilia Mahakamani kama alivyofanya Zitto miaka ileeeee!! Wakienda Mahakamani wanazuia maamuzi ya Baraza Kuu kutekelezwa na wanafungua kesi ya kupinga mchakato wa kuwafukuza. Wanarudi Bungeni kuendelea na Ubunge wao, kedi inaendeshwa miaka 3 hivyo wanamaliza miaka 5!! Ngoma sasa ni kwa chama, watachukua ruzuku ama la??
Wakienda basi kesi iwe ya haraka kama ya Sabaya na ile ya Mbowe.
 
Kazi ya mwanasiasa ni kufanya siasa.

Maamuzi ya mwisho ya kuwavua uwanachama wa CHADEMA wabunge Halima Mdee na wenzake 18 baada ya rufaa yao kukataliwa, huenda yakawatoa rasmi kwenye siasa za vyama, hivyo kulazimika kutetea ubunge wao mahakamani kwa ajili ya kusogeza siku mbele kuelekea 2025.

Labda wengi wanajiuliza au wengine wanadhani huu ndio mwisho wa kisiasa kwa wanasiasa hawa wazoefu na machachari. Kisiasa, hesabu nzuri zaidi ni wanawake hawa kuhamia chama cha ACT ili wapate jukwaa halali la kuendelea kuwa relevant kwenye siasa za upinzani na uwakilishi hapa nchini.

Jambo la muhimu zaidi, maamuzi ya CHADEMA yaheshimiwe.
ACT haina wanachama bali inawafuasi wa Maalimu Sharif, siku wakianzisha au wakihamia chama kingine NGOGWE watabaki na nini,

Kina Mdee wabaki CCM.
 
Hapa nadhani watakimbilia Mahakamani kama alivyofanya Zitto miaka ileeeee!! Wakienda Mahakamani wanazuia maamuzi ya Baraza Kuu kutekelezwa na wanafungua kesi ya kupinga mchakato wa kuwafukuza. Wanarudi Bungeni kuendelea na Ubunge wao, kedi inaendeshwa miaka 3 hivyo wanamaliza miaka 5!! Ngoma sasa ni kwa chama, watachukua ruzuku ama la??
Mahakamani lazima uwe na evidence kama utaratibu haukufuatwa sio kujiendea tu, hizi sio enzi za Mwendazake. Hata Zitto alikimbilia huko at the end huwezi kuwa mkubwa kuliko chama.
 
Kazi ya mwanasiasa ni kufanya siasa.

Maamuzi ya mwisho ya kuwavua uwanachama wa CHADEMA wabunge Halima Mdee na wenzake 18 baada ya rufaa yao kukataliwa, huenda yakawatoa rasmi kwenye siasa za vyama, hivyo kulazimika kutetea ubunge wao mahakamani kwa ajili ya kusogeza siku mbele kuelekea 2025.

Labda wengi wanajiuliza au wengine wanadhani huu ndio mwisho wa kisiasa kwa wanasiasa hawa wazoefu na machachari. Kisiasa, hesabu nzuri zaidi ni wanawake hawa kuhamia chama cha ACT ili wapate jukwaa halali la kuendelea kuwa relevant kwenye siasa za upinzani na uwakilishi hapa nchini.

Jambo la muhimu zaidi, maamuzi ya CHADEMA yaheshimiwe.
Mwisho kitakuwa Chama cha Wasaliti.
 
Hawahami wala hawaondoki bungeni sasa labda hadi 2025 January

Tusubiri rufaa😅😅😅
 
Hapa nadhani watakimbilia Mahakamani kama alivyofanya Zitto miaka ileeeee!! Wakienda Mahakamani wanazuia maamuzi ya Baraza Kuu kutekelezwa na wanafungua kesi ya kupinga mchakato wa kuwafukuza. Wanarudi Bungeni kuendelea na Ubunge wao, kedi inaendeshwa miaka 3 hivyo wanamaliza miaka 5!! Ngoma sasa ni kwa chama, watachukua ruzuku ama la??

Ndicho nilichokisema. Mbinu ya kukimbilia mahakamani ndio short term goal sahihi itakayowasaidia kwa lengo la ku-buy time. Zitto bila shaka atatumia fursa hii vizuri kurudisha ubest wake wa nguvu na pacha wake wa kitambo Halima Mdee na kukiimarisha zaidi chama chake.
 
ACT haina wanachama bali inawafuasi wa Maalimu Sharif, siku wakianzisha au wakihamia chama kingine NGOGWE watabaki na nini,

Kina Mdee wabaki CCM.

ACT imeshaimarika Zanzibar, Mdee na wenzake (kama watahamia) watakiimarisha Bara.
 
Hawahami wala hawaondoki bungeni sasa labda hadi 2025 January

Tusubiri rufaa😅😅😅
Wakitumia mbinu ya kupeleka shauri mahakamani, watavuta muda. Bungeni wapo sana tu. Case study ni kilichotokea kwa Zitto enzi zile.
 
Jamani Zito alienda Mahakamani kutetea Ubunge wake enzi zile hata Magu hakuwa Rais bado, sijui kwanini binadamu tunasahau haraka, au mna shida gani na hayati Magufuli, muacheni mzee wa watu apumzike kwa amanii
 
Jamani Zito alienda Mahakamani kutetea Ubunge wake enzi zile hata Magu hakuwa Rais bado, sijui kwanini binadamu tunasahau haraka, au mna shida gani na hayati Magufuli, muacheni mzee wa watu apumzike kwa amanii

Ni kweli, ilikuwa kabla ya JPM.
 
Kazi ya mwanasiasa ni kufanya siasa.

Maamuzi ya mwisho ya kuwavua uwanachama wa CHADEMA wabunge Halima Mdee na wenzake 18 baada ya rufaa yao kukataliwa, huenda yakawatoa rasmi kwenye siasa za vyama, hivyo kulazimika kutetea ubunge wao mahakamani kwa ajili ya kusogeza siku mbele kuelekea 2025.

Labda wengi wanajiuliza au wengine wanadhani huu ndio mwisho wa kisiasa kwa wanasiasa hawa wazoefu na machachari. Kisiasa, hesabu nzuri zaidi ni wanawake hawa kuhamia chama cha ACT ili wapate jukwaa halali la kuendelea kuwa relevant kwenye siasa za upinzani na uwakilishi hapa nchini.

Jambo la muhimu zaidi, maamuzi ya CHADEMA yaheshimiwe.

Mahakamani wanaenda kutetea Ubunge gani?. Unaenda kutetea Ubunge ambao umeupata kinyume cha sheria?. Halafu ubunge wa viti maalum ni tofauti na wa kupigiwa kura. Ubunge wa viti maalum chama ndicho chenye nguvu ya maamuzi nani awe na nani asiwe mbunge. Yani chama kinaruhusiwa kuleta orodha ya wabunge wengine refer kesi ya Lipumba.
 
Back
Top Bottom