inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
2008 bakhresa alikua na utajiri wa $800m,2012 rostam $1b...utajiri wao hauongezeki tu kwa miaka zaidi ya 10!?.. bakhresa anakusanya si chini ya 20b kwa mwezi kupitia Azam tv,hafiki tu huko aliko mo dewji!?..yule mzee anaficha utajiri wakeHakuna kitu hicho. Hata kwa akili ya kawaida, bado Mo anaonekana ana utajiri mkubwa kumzidi SSB.
Hizi takwimu naziona tangu 2008 kwa rostam, bakhresa na mengi..maana yake miaka 14 iliyopita hawajazalisha kitu!Watu wanahoji kuhusu S S Bakhresa, kuna mambo kadhaa ya kujua
1. Ili uwe Bilionea kwa viwango vya Forbes ni walau uwe na utajiri wa Dola za Marekani Bilioni moja - $1,000,000,000, 2. Ili uwe Milionea kwa viwango vya Forbes basi walau uwe na utajiri wa kiasi cha Dola za Marekani Milioni moja. ($1,000,000).
Sasa twende taratibu;
Dola Bilioni moja ni shilingi ngapi za Kitanzania(huwa mnaita pesa za madafu) ; kwa mujibu wa BOT leo Dola 1 ya Marekani ni sawa na Shilingi 2339.026 za Tanzania
Hivyo; 1,000,000,000 x 2339.026 = 2,339,026,000,000 Hii ni Trilion 2 Bilion Mia tatu thelathini na tisa na Milioni Ishirini na sita.
Tunakubaliana kuwa Bakhresa ni tajiri lakini katika vyanzo vya Forbes utajiri wake haujafikia hizo Trilion mbili na Bilioni Mia Tatu za Kitanzania ambazo ni walau sawa na Dola Bilioni Moja.
Kwa mujibu wa Forbes utajiri wa Bakhresa unakadiriwa kuwa walau Dola Milioni Mia Sita na Sitini - US 660,000,000 ambazo ni sawa na hela za kitanzania 1,542,420,000,000 Trilioni Moja,Bilion Mia tano arobaini na mbili milioni mia nne ishirini.
Kumbuka Mo Dewji ana walau Trilioni tatu na Bilioni Mia tano za Kitanzania.
Sasa basi; kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali; Orodha ya Matajiri Tanzania ni kama ifuatavyo:
1. Mohamed Dewji - Metl
2. Rostam Aziz - Caspian, Mining, Gas, Telecom - etc
3. Said Salim Bakhressa - Bakhressa Group
4. Reginald Mengi - IPP
5. Ally Awadh - Petroleum
6. Shekhar Kanabar - Synarge
7. Subash Patel - Motisum Group
8. Ghalib Said Mohamed - GSM
9. Fida Hussein - Africarriers
10. Yusuph Manji - Quality Group
Tv hazina faida kiivyo2008 bakhresa alikua na utajiri wa $800m,2012 rostam $1b...utajiri wao hauongezeki tu kwa miaka zaidi ya 10!?.. bakhresa anakusanya si chini ya 20b kwa mwezi kupitia Azam tv,hafiki tu huko aliko mo dewji!?..yule mzee anaficha utajiri wake
Tofauti yake nini!?Uislamu wa bakhresa na mo tofauti sana
Kwa mujibu wa tcra,Azam Ina ving'amuzi hai zaidi laki Saba,Sasa piga hesabu kwa mwezi kila king'amuzi kilipiwe elfu 20 ili waone mpira na ottoman, anakusanya ngapi kwa mwezi?!..piga Mara 12,hapo ana ngano anauza each na sadc,acha vinywajiTv hazina faida kiivyo
Je katika timeline hio pia MO anandailiko yoyote week data zao hapo ya huo mwaka tufananishe na hiziHizi takwimu naziona tangu 2008 kwa rostam, bakhresa na mengi..maana yake miaka 14 iliyopita hawajazalisha kitu!
Bilionea wetu wa kwanza alikua rostam,2012, ghafla tukasikia ni mo...mpaka Leo rostam utajiri hauongezekiJe katika timeline hio pia MO anandailiko yoyote week data zao hapo ya huo mwaka tufananishe na hizi
Makusanyo ni tofauti na faida,Kwa mujibu wa tcra,Azam Ina ving'amuzi hai zaidi laki Saba,Sasa piga hesabu kwa mwezi kila king'amuzi kilipiwe elfu 20 ili waone mpira na ottoman, anakusanya ngapi kwa mwezi?!..piga Mara 12,hapo ana ngano anauza each na sadc,acha vinywaji
Tatizo nyota 🤣🤣🤣🤣Mmmh!!! bs tu ila yule mzee wa ice cream ela ipo na vitu vinainekana
Hizo pesa ulizopata toa gharama ya kurusha matangazo,ambapo ndani yake Kuna mishahara,Sasa fanya makusanyo ya mwezi mmoja ndiyo gharama za mwaka,anabaki na Bei gani!?Makusanyo ni tofauti na faida,
Gharama za kurusha matangazo zikoje
Hufaskia itv na star tv mshahara wakilipwa tarehe 40 kila mara?
Acha kudanganya watu weweutajiri aujifichi uko sawa na umasikini fabo wanaposema fulani tajiri wanaagalia pesa alionaya sio magali viwanda na mashamba
Tapeli hawezi kumzidi SSB hata mara moja.Watakuja walala njaa ambao hawamiliki hata baiskeri waseme ni takwimu za kubumba.
Weka data Basi mbona maneno matupu Tajiri kupanda rank sio mpaka utajiri wake huongezeke muda mwengine Ni kushuka kwa utajiri wa aliyepo juu then suala la Tajiri fulani utajiri wake kutongezeka Sasa kosa letu au la huyo tajiri you mean utajiri wa MO usiongezeke kisa Tajiri fulani hauonhezeki....SOUND MORE PRIMITIVEBilionea wetu wa kwanza alikua rostam,2012, ghafla tukasikia ni mo...mpaka Leo rostam utajiri hauongezeki
Nimekwambia rostam ndiye bilionea wetu wa kwanza 2012,Kama unataka takwimu katafute nimekupa mwakaWeka data Basi mbona maneno matupu Tajiri kupanda rank sio mpaka utajiri wake huongezeke muda mwengine Ni kushuka kwa utajiri wa aliyepo juu then suala la Tajiri fulani utajiri wake kutongezeka Sasa kosa letu au la huyo tajiri you mean utajiri wa MO usiongezeke kisa Tajiri fulani hauonhezeki....SOUND MORE PRIMITIVE
Ndugu elewa makusanyo sio faida.Hizo pesa ulizopata toa gharama ya kurusha matangazo,ambapo ndani yake Kuna mishahara,Sasa fanya makusanyo ya mwezi mmoja ndiyo gharama za mwaka,anabaki na Bei gani!?
Mi nikikuuliza anaingiza Bei gani kwa mwaka,we unaniletea notes ulizokariri chuoni!!Ndugu elewa makusanyo sio faida.
Mauzo toa manunuzi= faida
Hii faida inakuwa ikitumika na mmiliki na kingine kinabaki kwenye kampuni kama retained earnings
Sasa malimbikizo ya retained earnings mwaka kwa mwaka ndio yataonesha ongezeko la utajiri
Nzuri sana hiyo hata mimi nikiweza nafanya hilo.Mo ananunua viewers, ooh sorry mo anawaonga Forbes ili wamtaje aweze kukopesheka huko duniani,
NB: don't take me seriously
Iyo hela ya mabilionea wote Africa ni sawa na hela ya Mukesh Ambani peke yake
Kelele hiziKwa Tanzania tajiri namba moja kila mtu anamjua ni SSB,..hizo nyingn ni michongo tu, labda kama umetoka mbwinde juzi.