Force Account inawamaliza mabosi wa Serikali, Waziri Mkuu anashuhudia madudu ya kutisha

Force Account inawamaliza mabosi wa Serikali, Waziri Mkuu anashuhudia madudu ya kutisha

Kuna bwawa liĺitengewa 3B mkandarasi àkàmwita engineer wa serikali kwamba lichimbwe kwa 1.8B na hiyo 1.2B inayobaki kuna maelekezo kapewa na mwanasiasa na viongozi wa eneo husika engineer akakataa na kusema hata ilitolewa buku hayupo tayari kusimamia kiukweli engineer yule aliteseka sana uongozi wa gvt ukawa haumtaki wanasiasa hawamtaki ukafanyika mchakato akahamishwa akaletwa mwingine na bwawa likajengwa kwa 1.5B lilikuwa na maji kiduchu siku ya ufunguzi (kuna watu wanadai yaliletwa na bowser) hadi leo kuna nafasi zimejaa hata panya akipata kiu hapati maji mle bwawani.
 
Force account ina changamoto zake lakini pia Lina faida, mtazamo wangu Mimi mfumo huu unatakiwa kuboreshwa sio kufutwa

mfumo wa force account unatumia nusu ya gharama na Kwa kiasi flan unaiona thaman ya hela, nitoe mifano kwenye ujenzi wa madarasa, madarasa ya zamani miaka ya 2000s kuja 2016 yalikua yanajengwa Kwa mil 40 Kwa kutumia contractors Ila ndio hayana ubora kabisa. Mfano madarasa hayo hayana vigae, hayana gypsum board wala madirisha ya alluminium na bado mtu alikula M40, Ila ya sasa ya mil 20 ni Bora na thaman ya hela inaonekana.

Kwa hela inayotengwa kwenye ujenzi wa force account ukitumia njia ya zaman huwez kujenga Kwanza hakna engineer atakubali kujenga Kwa gharama hizo na akijenga bas jengo litakua bovu Zaid hata ya hili la kamati ya ujenzi.

Shida ya ninayoiona Mimi ni serikali kutenga hela ndogo ya ujenzi. Mfano darasa moja 20 hapo kuwe na kigae, dirisha alluminium, rangi, board na madawati 40. Wajamen hapo hakuna mtu anaweza kusimamia jengo likawa Bora kama mnavyotaka. Heb kwenye mil 20 toa 500,000 ya usafiri wa vifaa, 500,000 maji, fundi kuanzia msingi,Boma,kupaua, board,rangi, kigae tumbane m3, kiti na meza tukadirie 60, 000@ kiti Viti 40 ni mil 2.4, tofali 6" 1500@tsh 1500 ni Zaid ya mil 2, kokoto trip 6 @250,000 hapo ni mil 1.5, Mawe trip 8@100,00 inakua laki 8, mchanga trip 15 kila trip tufanye 80,000 inakua mil 1.2, simenti 42.5N mifuko 110 kila mfuko 22,000 hapo tena ni mil 2.4, kigae box 45@ 32,000 hapo ni mil 1.4 hiv. dirisha aluminium complete kadiria 250,000 dirisha madirisha 5 ni m1.2 Hadi hapo ushatumia Zaid ya m17, hapo bado hujanunua board, mikanda, mbao, Bati, rangi, nondo, misumari nk.


kimsingi tutalaumu mfumo Ila shida sio mfumo bajeti imefinywa Sana, wanakamati hawajetengewa hata posho Yan mtu asimamie mwez mzima, wafate vifaa, waandikie malipo ya fundi Af wasipate kitu, wakijilipa kwenye hiyo hiyo M20 wanajilipa hela ndogo Sana na haiathiri ubora wa jengo, jengo limeathiriwa na bajeti ndogo. Engineer wa wilaya anayendaa BOQ analazimisha M20 itoshe kujenga darasa moja, matokeo yke anapunguza idadi, materials watu wakienda kununua havitoshi, Bati mtaongeza, misumari mtaongeza, mbao, board, rangi mtaongeza. Yan lazma hela itoke kwenye chanzo kingine kumalizia jengo.

Uzalendo sitaki kuongelea, sidhan kama kuna mtu anao hapa. Serikali iongeze hela ya ujenzi, waweke na posho ya kamati ili wasile kwenye material wala Kwa hela ya fundi. Force account inasingiziwa Tu Ila hela hiyo inayotengwa Kwa ujenzi haiwez kujenga Kwa ubora stahiki. Wanakamati wanachukuliwa hatua, wanalipishwa, wanawekwa ndani Ila hawana shida kama wanajilipa ni kidogo Sana hakiendani na kazi wanayofanya.

Wanasiasa kuingilia shughuli za ujenzi- nayo ni shida nyingine, Yan jengo huku linapauliwa huku linawekwa kigae, huku lipu huku rangi , hata kama local fundi anajua kanuni za ujenzi- Ila hapo anatakiwa kutii maelekezo ya wanasiasa ubora utatokea wap.

Nilikua kiongozi wa taasisi Ila nilifikia hatua nikaomba kupumzika maana kuna muda unaongeza mpaka hela yako ujenzi ukamilike ilimradi uwafuraishe maboss na bado wakija wakaguzi lawama kibao, mtaani mnazushiwa mnaiba hela ya mradi, Yan ukinunua Gari kosa, ukijenga kosa kila unachofanya wanasema hela ya ujenzi ndo imefanya.

Mfumo wa force account Una faida nyingi kuliko hasara, unahitaji maboresho kiasi ili kuleta tija
Ha ha ha!
Fundi Maiko utamjua tu!
 
Kuna bwawa liĺitengewa 3B mkandarasi àkàmwita engineer wa serikali kwamba lichimbwe kwa 1.8B na hiyo 1.2B inayobaki kuna maelekezo kapewa na mwanasiasa na viongozi wa eneo husika engineer akakataa na kusema hata ilitolewa buku hayupo tayari kusimamia kiukweli engineer yule aliteseka sana uongozi wa gvt ukawa haumtaki wanasiasa hawamtaki ukafanyika mchakato akahamishwa akaletwa mwingine na bwawa likajengwa kwa 1.5B lilikuwa na maji kiduchu siku ya ufunguzi (kuna watu wanadai yaliletwa na bowser) hadi leo kuna nafasi zimejaa hata panya akipata kiu hapati maji mle bwawani.
Serikali inajidai haijui hili.
Haya ndiyo yanafanyika katika Force Account.
Halafu keo wanajidai kushituka
 
Force account ina changamoto zake lakini pia Lina faida, mtazamo wangu Mimi mfumo huu unatakiwa kuboreshwa sio kufutwa

mfumo wa force account unatumia nusu ya gharama na Kwa kiasi flan unaiona thaman ya hela, nitoe mifano kwenye ujenzi wa madarasa, madarasa ya zamani miaka ya 2000s kuja 2016 yalikua yanajengwa Kwa mil 40 Kwa kutumia contractors Ila ndio hayana ubora kabisa. Mfano madarasa hayo hayana vigae, hayana gypsum board wala madirisha ya alluminium na bado mtu alikula M40, Ila ya sasa ya mil 20 ni Bora na thaman ya hela inaonekana.

Kwa hela inayotengwa kwenye ujenzi wa force account ukitumia njia ya zaman huwez kujenga Kwanza hakna engineer atakubali kujenga Kwa gharama hizo na akijenga bas jengo litakua bovu Zaid hata ya hili la kamati ya ujenzi.

Shida ya ninayoiona Mimi ni serikali kutenga hela ndogo ya ujenzi. Mfano darasa moja 20 hapo kuwe na kigae, dirisha alluminium, rangi, board na madawati 40. Wajamen hapo hakuna mtu anaweza kusimamia jengo likawa Bora kama mnavyotaka. Heb kwenye mil 20 toa 500,000 ya usafiri wa vifaa, 500,000 maji, fundi kuanzia msingi,Boma,kupaua, board,rangi, kigae tumbane m3, kiti na meza tukadirie 60, 000@ kiti Viti 40 ni mil 2.4, tofali 6" 1500@tsh 1500 ni Zaid ya mil 2, kokoto trip 6 @250,000 hapo ni mil 1.5, Mawe trip 8@100,00 inakua laki 8, mchanga trip 15 kila trip tufanye 80,000 inakua mil 1.2, simenti 42.5N mifuko 110 kila mfuko 22,000 hapo tena ni mil 2.4, kigae box 45@ 32,000 hapo ni mil 1.4 hiv. dirisha aluminium complete kadiria 250,000 dirisha madirisha 5 ni m1.2 Hadi hapo ushatumia Zaid ya m17, hapo bado hujanunua board, mikanda, mbao, Bati, rangi, nondo, misumari nk.


kimsingi tutalaumu mfumo Ila shida sio mfumo bajeti imefinywa Sana, wanakamati hawajetengewa hata posho Yan mtu asimamie mwez mzima, wafate vifaa, waandikie malipo ya fundi Af wasipate kitu, wakijilipa kwenye hiyo hiyo M20 wanajilipa hela ndogo Sana na haiathiri ubora wa jengo, jengo limeathiriwa na bajeti ndogo. Engineer wa wilaya anayendaa BOQ analazimisha M20 itoshe kujenga darasa moja, matokeo yke anapunguza idadi, materials watu wakienda kununua havitoshi, Bati mtaongeza, misumari mtaongeza, mbao, board, rangi mtaongeza. Yan lazma hela itoke kwenye chanzo kingine kumalizia jengo.

Uzalendo sitaki kuongelea, sidhan kama kuna mtu anao hapa. Serikali iongeze hela ya ujenzi, waweke na posho ya kamati ili wasile kwenye material wala Kwa hela ya fundi. Force account inasingiziwa Tu Ila hela hiyo inayotengwa Kwa ujenzi haiwez kujenga Kwa ubora stahiki. Wanakamati wanachukuliwa hatua, wanalipishwa, wanawekwa ndani Ila hawana shida kama wanajilipa ni kidogo Sana hakiendani na kazi wanayofanya.

Wanasiasa kuingilia shughuli za ujenzi- nayo ni shida nyingine, Yan jengo huku linapauliwa huku linawekwa kigae, huku lipu huku rangi , hata kama local fundi anajua kanuni za ujenzi- Ila hapo anatakiwa kutii maelekezo ya wanasiasa ubora utatokea wap.

Nilikua kiongozi wa taasisi Ila nilifikia hatua nikaomba kupumzika maana kuna muda unaongeza mpaka hela yako ujenzi ukamilike ilimradi uwafuraishe maboss na bado wakija wakaguzi lawama kibao, mtaani mnazushiwa mnaiba hela ya mradi, Yan ukinunua Gari kosa, ukijenga kosa kila unachofanya wanasema hela ya ujenzi ndo imefanya.

Mfumo wa force account Una faida nyingi kuliko hasara, unahitaji maboresho kiasi ili kuleta tija
Sasa ndugu yangu fundi Maiko, umejuaje hela hsitoshi?
 
Shida usimamizi
Kati ya shida kubwa katika viongozi wetu ni usimamizi.
Huwa wengi wanafikiri ukiwa na mkataba basi mkataba unajiendesha wenyewe.
Na hili nalizungumzia ni kwa miradi yote, iwe ya Force Account/Fundi Maiko, au ile ya makandarasi/Consultants.
Viongozi wengi wanapenda kuhudhuria ufunguzi tu wakiwa na mgeni rasmi.
 
Hivi unaongelea kitchen party au Force Account?
Umesoma mwongozo wa PPRA?
Kwenye Guidelines za PPRA soma kuanzia Section 5 hadi section 10 na ujiridhishe kwa ulichoandika ni utumbo mtupu usio na uhalisia na shughuli nzima za jinsi ya kuprocure works kupitia Force Account.

Kwa reference yako Guide lines ziko hapa:

Nimeusoma huo na MINGINE mingi
 
Bora tu kuingia ubia na Mchina tujengee nchi nzima Veta, zahanati au miradi fulani then chukua ziwa , mlima au mgodi kwa miaka 50 kuliko kumpa mswahili. Mswahili unafadhili timu ya mpira singida united na namumgo fc huku mshahara wako unajulikana, hizo pesa zingine kama sio kodi zetu unatoa wapi? Wadogo uwaiga wakubwa.
Umeonaaee..
 
Force account imejenga miradi mingi sana ya zahanati nchi nzima
Mingi, kama siyo yote, iko chini viwango.
Inbidi ifanywe Technical Audit ya hiyo miradi yote.
Mara nyingi Wizara yenye dhamana ya ujenzi kupitia Bodi yake ya NCC-National Coustrction Council, ndiyo inaweza kufanya kazi hiyo.
 
Bora tu kuingia ubia na Mchina tujengee nchi nzima Veta, zahanati au miradi fulani then chukua ziwa , mlima au mgodi kwa miaka 50 kuliko kumpa mswahili. Mswahili unafadhili timu ya mpira singida united na namumgo fc huku mshahara wako unajulikana, hizo pesa zingine kama sio kodi zetu unatoa wapi? Wadogo uwaiga wakubwa.
Halafu mswahili unayemfahamu wewe, pamoja na wewe mwenyewe inabidi muingie utumwani , mtumikishwe mpaka mkome.
Mtoa posti hii mi nakupa uhuru uwe mtumwa wangu ingalau kwa miaka ishirini,
Akili zikiwarudia mrudi vijijini mkalime.
 
Halafu mswahili unayemfahamu wewe, pamoja na wewe mwenyewe inabidi muingie utumwani , mtumikishwe mpaka mkome.
Mtoa posti hii mi nakupa uhuru uwe mtumwa wangu ingalau kwa miaka ishirini,
Akili zikiwarudia mrudi vijijini mkalime.
Miaka 60 SAsa soon jubilee kipi umejikomboa sasa
 
Back
Top Bottom