Force Account inawamaliza mabosi wa Serikali, Waziri Mkuu anashuhudia madudu ya kutisha

Force Account inawamaliza mabosi wa Serikali, Waziri Mkuu anashuhudia madudu ya kutisha

Kawaida yenu kuingiza wanasiasa kwenye miradi ili mpate uhalali wa kupora.
Katibu wa kamati ya Miradi ni Enginee? au siyo.
Una maana wale ma Engineer wa Halmashauri ambao ni clerical engineer?
Kwa taarifa yako hakuna maengineer wanaodharaulika katika fani hii ya ujenzi kama hao clerical engineers wa Halmashauri, wanao endeshwa na madiwani kwa faida ya ulaji.

Inaelekea hata swali langu hukulielewa maana yake.
Kwa hiyo kwenye hiyo Kamati ya Mradi, hawa ma Clerical Engineers wenu wanasajiliwa kama Engineers wa mradi?
Kama ni muelewa wa miradi utalijibu hili kwa ufasaha.
Halafu baada ya hapo tupe majukumu ya rchitect na Design ngineers hapo wanaingiaje.
Miradi ya FORCE ACCOUNT inatekelezwa na agency mbalimbali za serikali

MAMLAKA ZA MAJI
TARURA
WIZARA
HALMASHAURI ngazi ya Wilaya na NGAZI za chini
REGIONAL SECRETARIATS


ndiyo maana nimekwambia unahitaji kujua vizuri unachoongea!!!!

Kwa sababu unajua ya HALMASHAURI pekee wacha twende huko huko;

Kwa NGAZI ya HALMASHAURI kamati ya Ujenzi Katibu wake ni ENGINEER

Katibu wa kamati ya Manunuzi ni Afisa Manunuzi/Kitengo cha Manunuzi kufanya hii kazi.


Kwa NGAZI za Chini kamati zinaundwa na wataalam wa KITUO husika kwa kuwashirikisha wanajamii na zinakuwa zinaongozwa/kushauriwa na Wataalam wa HALMASHAURI husika....

Ndiyo maana wataalam kama ENGINEER anarakiwa kuwepo kwenye mradi kwenye hatua zote muhimu kama kuseti msingi, kumwaga jamvi, kuseti jengo, kumwaga lenta, kuseti paa n.k

ENGINEER ndiye anawaandalia hati za malipo pamoja na kukata hizo retentions....

Force ACCOUNT haipo tu kwenye Ujenzi wa miundombinu BALI hata kwenye maeneo mengine.

Mfano mwingine wa mradi wa FORCE ACCOUNT ni JENGO LA OR - TAMISEMI lililopo mji wa Serikali MTUMBA DODOMA....


Tuwe na UTAMADUNI WA KUSOMA TUSIKARIRI THEORIES TU!!!!!
 
Nyie manguini mnamatatizo sana.
Force Account ni kwa ajili ya miradi midogo sana na mainly repair na maintainance oriented.
Mmeamua kula fedha za wananchi na kumwaga fedha kwa mabilioni ati kumtumia fundi Maiko.
Umeulizwa hapo nyuma kuwa hiyo system yenu Force Acccount inayotumiwa kijinga, mbona hamuitumii kujenga SGR?
Umesoma MWONGOZO WA FORCE ACCOUNT wa PPRA? Au unabwabwaja tu???

Kasome mwongozo kwanza ndo tujadili vizuri!!!

FORCE ACCOUNT haiishii kwenye UJENZI WA MIUNDOMBINU pekee!!!!
 
Hii ni mbinu ilitengenezwa ya kuchepusha fedha za Serikali na viongozi wetu wakapelekewa uongo kwamba eti miradi inajengwa kwa gharama nafuuu kumbe ni chain ilitengenezwa ya ulaji na mwisho wa siku akosekane wa kuwajibika moja kwa moja kila mmoja anamsingizia mwenzake
Kweli kabisa, resl politics.
Sasa PM anatembea na takukuru kama Headteacher anavyotembea na kiboko kuwachapa wanafunzi watoro.
Not proffessional at all.
 
Umesoma MWONGOZO WA FORCE ACCOUNT wa PPRA? Au unabwabwaja tu???

Kasome mwongozo kwanza ndo tujadili vizuri!!!

FORCE ACCOUNT haiishii kwenye UJENZI WA MIUNDOMBINU pekee!!!!
Mnaobwabwaja ni ninyi msio haya kwa wizi.
Tumekushsuri kuwa ukawasaidie kule Reli kujenga SGR kwa Force Account, huelewi, husikii.
Mkamsaidie Waziri Mkuu kuwaweka ndani hao "Team ya Miradi"", mnamchisha kwa ulaji wenu.
 
Miradi ya FORCE ACCOUNT inatekelezwa na agency mbalimbali za serikali

MAMLAKA ZA MAJI
TARURA
WIZARA
HALMASHAURI ngazi ya Wilaya na NGAZI za chini
REGIONAL SECRETARIATS


ndiyo maana nimekwambia unahitaji kujua vizuri unachoongea!!!!

Kwa sababu unajua ya HALMASHAURI pekee wacha twende huko huko;

Kwa NGAZI ya HALMASHAURI kamati ya Ujenzi Katibu wake ni ENGINEER

Katibu wa kamati ya Manunuzi ni Afisa Manunuzi/Kitengo cha Manunuzi kufanya hii kazi.


Kwa NGAZI za Chini kamati zinaundwa na wataalam wa KITUO husika kwa kuwashirikisha wanajamii na zinakuwa zinaongozwa/kushauriwa na Wataalam wa HALMASHAURI husika....

Ndiyo maana wataalam kama ENGINEER anarakiwa kuwepo kwenye mradi kwenye hatua zote muhimu kama kuseti msingi, kumwaga jamvi, kuseti jengo, kumwaga lenta, kuseti paa n.k

ENGINEER ndiye anawaandalia hati za malipo pamoja na kukata hizo retentions....

Force ACCOUNT haipo tu kwenye Ujenzi wa miundombinu BALI hata kwenye maeneo mengine.

Mfano mwingine wa mradi wa FORCE ACCOUNT ni JENGO LA OR - TAMISEMI lililopo mji wa Serikali MTUMBA DODOMA....


Tuwe na UTAMADUNI WA KUSOMA TUSIKARIRI THEORIES TU!!!!!
Kwa mifano yako unaelekea ndio wale wale wanaotafutwa na Waziri Mkuu ili mpelekwe TAKUKURU.
Soma vizuri huo mwingozo wa PPRA, Force Account ni kwa miradi midogo, au repair na maintainance.
Ulikuwa hujazaliwa Wizara ya Ujenzi vile vile ilikuwa na PWD-Public Works Department kwa maintsinance ya miundombinu.

Chini ya mwendazake ndio mkagundua kupiga hela ya serikali kupitia Force Account, sasa mumwite PM ili awakague vizuri.
 
Miradi ya FORCE ACCOUNT inatekelezwa na agency mbalimbali za serikali

MAMLAKA ZA MAJI
TARURA
WIZARA
HALMASHAURI ngazi ya Wilaya na NGAZI za chini
REGIONAL SECRETARIATS


ndiyo maana nimekwambia unahitaji kujua vizuri unachoongea!!!!

Kwa sababu unajua ya HALMASHAURI pekee wacha twende huko huko;

Kwa NGAZI ya HALMASHAURI kamati ya Ujenzi Katibu wake ni ENGINEER

Katibu wa kamati ya Manunuzi ni Afisa Manunuzi/Kitengo cha Manunuzi kufanya hii kazi.


Kwa NGAZI za Chini kamati zinaundwa na wataalam wa KITUO husika kwa kuwashirikisha wanajamii na zinakuwa zinaongozwa/kushauriwa na Wataalam wa HALMASHAURI husika....

Ndiyo maana wataalam kama ENGINEER anarakiwa kuwepo kwenye mradi kwenye hatua zote muhimu kama kuseti msingi, kumwaga jamvi, kuseti jengo, kumwaga lenta, kuseti paa n.k

ENGINEER ndiye anawaandalia hati za malipo pamoja na kukata hizo retentions....

Force ACCOUNT haipo tu kwenye Ujenzi wa miundombinu BALI hata kwenye maeneo mengine.

Mfano mwingine wa mradi wa FORCE ACCOUNT ni JENGO LA OR - TAMISEMI lililopo mji wa Serikali MTUMBA DODOMA....


Tuwe na UTAMADUNI WA KUSOMA TUSIKARIRI THEORIES TU!!!!!
Nyie ndio wale vilaza Serikalini mnaotetea ulaji.

Idara zinazoongoza kwa upigaji fedha za umma, poor project management ndio hizo ulizozitaja.

Nawe inaelekea uko kundi hilo hilo.

Kwa kiasi kikubwa huwezi kuona upuuzi wa Force Account katika taasisi zinazojielewa kama TANROADS.
 
Nyie ndio wale vilaza Serikalini mnaotetea ulaji.

Idara zinazoongoza kwa upigaji fedha za umma, poor project management ndio hizo ulizozitaja.

Nawe inaelekea uko kundi hilo hilo.

Kwa kiasi kikubwa huwezi kuona upuuzi wa Force Account katika taasisi zinazojielewa kama TANROADS.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mnaongozwa na chuki zaidi kuliko facts!!!

Changamoto za UPIGAJI ZINAZOTOKANA NA KUKOSEKANA MAADILI HAZIPO KWENYE FORCE ACCOUNT PEKEE, Kwenye Mikataba Mikubwa pia zipo....

Suala hapa ni jenga hoja zenye mashiko acheni MATUSI.....

Mimi nimezungumza kama MTANZANIA changamoto ilipo..... na Mfumo wa FORCE ACCOUNT umetafiti sana na naufahamu pamoja na miongozo yake....

Mfumo hauna shida hata KIDOGO ILA SHIDA NI WASIMAMIZI WA UTEKELEZAJI!!!!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mnaongozwa na chuki zaidi kuliko facts!!!

Changamoto za UPIGAJI ZINAZOTOKANA NA KUKOSEKANA MAADILI HAZIPO KWENYE FORCE ACCOUNT PEKEE, Kwenye Mikataba Mikubwa pia zipo....

Suala hapa ni jenga hoja zenye mashiko acheni MATUSI.....

Mimi nimezungumza kama MTANZANIA changamoto ilipo..... na Mfumo wa FORCE ACCOUNT umetafiti sana na naufahamu pamoja na miongozo yake....

Mfumo hauna shida hata KIDOGO ILA SHIDA NI WASIMAMIZI WA UTEKELEZAJI!!!!
Wapelekeni kabisaa kwa PM Majaliwa hao wasimamizi wenye vyeti bandia, na mnaowatumia kuiga hela ya serikali.
 
Point ya Maria anasema Force Account haina matatizo, matatizo yapo kwenye procuring entities ambazo ni kiungo muhimu katika kusimamia account hiyo Pamoja na wasimamizi wanaotumia Force Account kutekeleza miradi.
Kwa muhitasari, nimemuelewa hivyo Maria.
Force account ikibaki ndani ya malengo (limits) yake inakuwa na less negative effects ila kwa sasa ina operate beyond its own limits ndiyo maana tunaendelea kusikia watumishi wanatuhumiwa
 
Miradi ya FORCE ACCOUNT inatekelezwa na agency mbalimbali za serikali

MAMLAKA ZA MAJI
TARURA
WIZARA
HALMASHAURI ngazi ya Wilaya na NGAZI za chini
REGIONAL SECRETARIATS


ndiyo maana nimekwambia unahitaji kujua vizuri unachoongea!!!!

Kwa sababu unajua ya HALMASHAURI pekee wacha twende huko huko;

Kwa NGAZI ya HALMASHAURI kamati ya Ujenzi Katibu wake ni ENGINEER

Katibu wa kamati ya Manunuzi ni Afisa Manunuzi/Kitengo cha Manunuzi kufanya hii kazi.


Kwa NGAZI za Chini kamati zinaundwa na wataalam wa KITUO husika kwa kuwashirikisha wanajamii na zinakuwa zinaongozwa/kushauriwa na Wataalam wa HALMASHAURI husika....

Ndiyo maana wataalam kama ENGINEER anarakiwa kuwepo kwenye mradi kwenye hatua zote muhimu kama kuseti msingi, kumwaga jamvi, kuseti jengo, kumwaga lenta, kuseti paa n.k

ENGINEER ndiye anawaandalia hati za malipo pamoja na kukata hizo retentions....

Force ACCOUNT haipo tu kwenye Ujenzi wa miundombinu BALI hata kwenye maeneo mengine.

Mfano mwingine wa mradi wa FORCE ACCOUNT ni JENGO LA OR - TAMISEMI lililopo mji wa Serikali MTUMBA DODOMA....


Tuwe na UTAMADUNI WA KUSOMA TUSIKARIRI THEORIES TU!!!!!
Sasa Maria kwenye force account retention inatoka wapi? Fundi anakatwa retention? Ama suppliers wanakatwa retentions? Kuitazama kipengere hicho cha retention utaona jinsi hiyo force account ilivyo fail.
Kimsingi retention inakatwa kwenye approved and paid work items subject to test of time within specified time limits.
Fundi akikosea work items (poor workmanship) anarekebisha then ndipo analipwa. Retention haikatwi kwenye workmanship.
Supplier hakikuletea bidhaa inakuwa ni jukumu lako la kuhakikisha ni bidhaa sawa na ulichoagiza ndipo unafanya malipo. Pia ni jukumu lako kuvihifadhi ili kuendelea kuwa bora. Hapo anakuwa hana extended risk so automatically hayuko kwenye retention.
Ila kutokana na kuzoea kufanya vitu kienyeji tunaona sawa kabisa na tuko vizuri. Tumepotea kama inchi Maria, tuanze upya ili tuweze fika kwenye destination yetu otherwise watoto wetu wataendelea kutamani kuzaliwa nje ya Africa
 
  • Thanks
Reactions: Eco
Ambayo hata milango na madirisha haina, na kama ipo haifungiki.
Hongera.
Uozo au uimara wa wa chini hutegemea juu kukoje. Zahanati, mashule na hata ofisi za serikali nyingi zilijengwa kwa force akaunti enzi za JaFo na tuliona thamani ya pesa.

Utaratibu wa serikali ulikuwa kalamu ya 1000 unaongeza sifuri mbele.
 
Ukisoma history ya mikataba ya ujenzi utagundua kuwa Force account ilishindwa toka miaka ya 1920. Sasa dunia iko kwenye BIM (Mfumo shirikishi wa ujenzi) ila sisi ndiyo tunarudi miaka ya 1920, a we real serious?
 
Kwa mifano yako unaelekea ndio wale wale wanaotafutwa na Waziri Mkuu ili mpelekwe TAKUKURU.
Soma vizuri huo mwingozo wa PPRA, Force Account ni kwa miradi midogo, au repair na maintainance.
Ulikuwa hujazaliwa Wizara ya Ujenzi vile vile ilikuwa na PWD-Public Works Department kwa maintsinance ya miundombinu.

Chini ya mwendazake ndio mkagundua kupiga hela ya serikali kupitia Force Account, sasa mumwite PM ili awakague vizuri.
Hii mmeitoa Toka kifungu gani Cha sheria ya manunuzi?
 
Force account ikibaki ndani ya malengo (limits) yake inakuwa na less negative effects ila kwa sasa ina operate beyond its own limits ndiyo maana tunaendelea kusikia watumishi wanatuhumiwa
Kuna watu hawataki kukubali kuwa Force Account ni kwa ajili ya kazi ndogo tu na zenye bsjeti ndogo.
 
Bora hawa force account pesa inabaki mtaani hao ma contractor mtaani kwenye project husika kubakigi manyoya tu ........madelu anasisitiza siku hizi TUNASISIMUA UCHUMI[emoji13]
 
Bora hawa force account pesa inabaki mtaani hao ma contractor mtaani kwenye project husika kubakigi manyoya tu ........madelu anasisitiza siku hizi TUNASISIMUA UCHUMI[emoji13]
Mamburula mna matatizo.
Mama lishe anatoka mbinguni?
Vibarua je, wanatoka Uganda?
Na kodi za TRA zinapelekwa Kenya?
 
Kabal ya hapo bila force account ilikuwainafanya kazi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Force Account ipo hata kabla ya Uhuru.
Miaka hiyo ikiitwa PWD- Public Works Department.
PWD ilihusika na ujenzi mdogo na repair za nyumba za serikali nhini
Pengine wengi hamkumbuki kuwa ujenzi wa aina yoyote nchini na wizara karibu zote , ulifanyika chini ya wizara ya ujenzi
Hivyo basi katika miaka ya karibuni hii PWD ndiyo ikaitwa Force Account ka wizara zote.
Hata hivyo matumizi yake ambayo yalipaswa kuwa kwa ajili ya kazi ndogondogo na repair/matengenezo ya vifaa vya serikali, sasa inatumika kwa ajili ya mamiradi mikubwa mikubwa isiyo endana na taratibu za ujenzi.
Upigaji mwingi upo hapo, na hilo ndio linampeleka Waziri Mkuu kukagua miradi akiambatana na TAKUKRU.
 
Hii mmeitoa Toka kifungu gani Cha sheria ya manunuzi?
Tatizo watu nyie msio kwenye hii sekta mnaishia kutema nyongo kama nyoka lakini hamjui nini kiko kwenye sheria hizi za manunuzi.
Refer: https://www.ppra.go.tz/enewsletters...works-through-force-account-may-2020-may-2020
PART II : GENERAL PRINCIPLES, 6.0 General Conditions for use of FORCE ACCOUNT
6.1 The conditions that may justify the use of force account by procuring entity shall be those enlisted under the provision of Section 64(5) of PPA, 2011 and Regulation 167 (1) of The Public Procurement Regulations, 2013 as amended respectively. These shall include any of the following: a) The works are small, scattered and in remote location for which qualified construction firms are unlikely to tender at a reasonable price;

Soma uelimike.
 
Back
Top Bottom