Force Account inawamaliza mabosi wa Serikali, Waziri Mkuu anashuhudia madudu ya kutisha

Force Account inawamaliza mabosi wa Serikali, Waziri Mkuu anashuhudia madudu ya kutisha

Kamati za mradi na sii kamati ya ULINZI na USALAMA!!!!!

Kwani ukitumia Mkandarasi wanaoandaa nyaraka za Manunuzi Michoro, BOQ na Mikataba si ndiyo hao hao WATAALAM unaosema HAWAWEZI KUSIMAMIA?

Si ndiyo tender Documents ambazo zinatengenezwa zikiwa na MAPUNGUFU MAKUSUDI ili kila SIKU ZIZALISHE MAVARIATIONS ILI KAMPUNI NA WAHUSIKA MPIGE HELA!!!????

Ili Mkandarasi aandikiwe CERTIFICATE na Alipwe, au akabidhi mradi ni LAZIMA HAO WATAALAM WA PROCURING ENTITY wakakague, Je UKISEMA hawawezi kusimamia Force Account wataweza kumsimamia Mkandarasi mwenye utaalamu wake?

HOJA SIYO FORCE ACCOUNT, HAPA HOJA NI NYOYO ZA WIZI NA UPIGAJI!!!

BOQ inasema kitasa kiwe UNION au ORLANDO halafu wanaenda kununua MAVITASA YA OVYO HALAFU MNAKUJA KUMSINGIZIA FUNDI MAIKO; HAMUONI AIBU????

BOQ inasema hard Wood nyie mnaweka mimbao ya ovyo HALAFU MNASINGIZIA FORCE ACCOUNT!!!!!! Ovyo Kabisa!!!!!

Mnajificha kwenye shamba la karanga!!!!

Kama hoja ni kukosa maarifa na ujuzi mbonaikifika kujenga MAJUMBA YENU MNAJUA VIZURI NA VIBAYA? MNAJUA MOAKA NA RATIOS!!!!

Sheria zetu za kukabiliana na vitendo vya RUSHWA na UHUJUMU MCHUMI xina mapungufu.... kelele nyingi za force ACCOUNT ni feki na wala siyo HALISIA. .

wanasema tutumie WAKANDARASI, Shwali ni Je Mkandarasi huyu asiye MALAIKA atasimamiwa na nani ili akidhi ubora wa mradi? Mtasema tuajiri CONSULTANT amsimamie, Na huyu CONSULTANT akicollude na contractor si ndiyo TUTALIA???? maana mpaka wanasheria nguli wanao......

Jamani shida ni WATU WAMEKUWA WABINAFSI SANA.... hata ukitumia contractor watapiga tu UNLESS we rectify the core causes!!!!
Hebu tupatie composition ya hizi "kamati ya mradi".
Tuanzie hapo ili tuung'oe mzizi wa fitna.
 
Kamati za mradi na sii kamati ya ULINZI na USALAMA!!!!!

Kwani ukitumia Mkandarasi wanaoandaa nyaraka za Manunuzi Michoro, BOQ na Mikataba si ndiyo hao hao WATAALAM unaosema HAWAWEZI KUSIMAMIA?

Si ndiyo tender Documents ambazo zinatengenezwa zikiwa na MAPUNGUFU MAKUSUDI ili kila SIKU ZIZALISHE MAVARIATIONS ILI KAMPUNI NA WAHUSIKA MPIGE HELA!!!????

Ili Mkandarasi aandikiwe CERTIFICATE na Alipwe, au akabidhi mradi ni LAZIMA HAO WATAALAM WA PROCURING ENTITY wakakague, Je UKISEMA hawawezi kusimamia Force Account wataweza kumsimamia Mkandarasi mwenye utaalamu wake?

HOJA SIYO FORCE ACCOUNT, HAPA HOJA NI NYOYO ZA WIZI NA UPIGAJI!!!

BOQ inasema kitasa kiwe UNION au ORLANDO halafu wanaenda kununua MAVITASA YA OVYO HALAFU MNAKUJA KUMSINGIZIA FUNDI MAIKO; HAMUONI AIBU????

BOQ inasema hard Wood nyie mnaweka mimbao ya ovyo HALAFU MNASINGIZIA FORCE ACCOUNT!!!!!! Ovyo Kabisa!!!!!

Mnajificha kwenye shamba la karanga!!!!

Kama hoja ni kukosa maarifa na ujuzi mbonaikifika kujenga MAJUMBA YENU MNAJUA VIZURI NA VIBAYA? MNAJUA MOAKA NA RATIOS!!!!

Sheria zetu za kukabiliana na vitendo vya RUSHWA na UHUJUMU MCHUMI xina mapungufu.... kelele nyingi za force ACCOUNT ni feki na wala siyo HALISIA. .

wanasema tutumie WAKANDARASI, Shwali ni Je Mkandarasi huyu asiye MALAIKA atasimamiwa na nani ili akidhi ubora wa mradi? Mtasema tuajiri CONSULTANT amsimamie, Na huyu CONSULTANT akicollude na contractor si ndiyo TUTALIA???? maana mpaka wanasheria nguli wanao......

Jamani shida ni WATU WAMEKUWA WABINAFSI SANA.... hata ukitumia contractor watapiga tu UNLESS we rectify the core causes!!!!
Acha kuingiza uharo wako wa kisiasa katika mamba ya kitaalam.
Ujuzi mdogo ulio nao utumie kwa akilina hekima.
Construction philosophy, systems, methods na management zime evolve over hundreds of years na hazikuanza ninyi kupata videgree vya vyuo feki.
Leo nikikutaka utueleze kwa nini miradi ya SGR, Nyerere Hydropower-Stiegkers na mingine haijengwi ka Force Account, utabwabwaja hadi mtondogoo!
Level of thinking ikiishia kwenye bei ya kitasa, basi ujijue huna nafasi kichwani kufikiria construction methods and system.

Ni wale watu wajunga wajinga tu huwa wanafikiri mkandarasi is an end into construction methods and systems.
Huwa hamjui kuwa katika ujenzi vile vile kuna Designers/Architects, Quantity Surveyors, Design Engineers na katika usimamizi kuna Supervision Resident Engineers au Clerk of Works.
Hawa wote wanafanya azi ya kumsuoervise Mkandarasi.

Sasa mtu mjinga mjinga anaondoa hao wote anakuja na fundi Maiko na eti Kamati ya Mradi....!

Huu ujinga utaisha lini, ona sasa Waziri Mkuu inabidi tembelea miradi na TAKUKURU!
Tanzania is falling into stupidity before our eyes!
 
Umeongea kisiasa na kishabiki zaidi kuliko kitaalamu!!!

Muundo wa FORCE AACOUNT unataka Ujenzi ufanyike kwa kusimamiwa na Kamati za Ujenzi wa mradi; yaani
1. Kamati ya Ujenzi/Kamati ya usimamizi
2. Kamati ya Manunuzi
3. Kamati ya UKAGUZI na mapokezi.

Aidha best practices ni PROCURING ENTITIES kufanya screening za mafundi Wazuri na kuwaajiri kwenye kazi ya Ujenzi chini ya usimamizi wa Mhandisi wa PROCURING ENTITY....

Fundi anatakiwa kuwa na ujuzi na uzoefu wa kutosha na mwenye UWEZO WA KUSOMA RAMANI NA MICHORO na kuitafsiri kwa USAHIHI.

Wakati wa Utekelezaji wa Mradi Mhandisi wa PROCURING ENTITY anatakiwa kuwepo kwenye hatua zote muhimu kama
1. Wakati wa kuseti msingi
2. Kumwaga jamvi
3. Kuseti ukuta
4. Kwenye concrete zote
5. Kuseti paa n.k

Ukiangalia kwa Uhalisia Utaratibu wa Force account ni mzuri SHIDA NI WASIMAMIZI KUTANGULIZA MASLAHI BINAFSI KULIKO MASLAHI YA UMMAH.

Kununuliwa milango mibovu FUNDI ANAHUSIKA VIPI? Hapa maana yake Wasimamizi wametaka kitu cha bei RAHISI ili wapige HELA!!!!

Kwani MAJUMBA yetu hatujengi kwa kuwatumia hawa MAFUNDI????

UNATAKA KUNIAMBIA KILA NYUMBA NZURI ILIYOJENGWA MTAANI AMETUMIKA MHANDISI ALIYESAJILIWA EQRB, ARB, ERB, NCC n.k?
Mbona Miradi yetu Binafsi hatuweki milango ya hivyo? Au kwenye miradi ya Ujenzi ya UMMA HUWA WATAALAM WETU WANAGEUKA WATU TOFAUTI????

Ninachokiona ni KUENDELEA KUMOMONYOKA KWA UZALENDO MIONGONI WA WATUMISHI WA UMMA NA KUTANGULIZA ZAIDI MASLAHI BINAFSI.

NI KWELI FORCE ACCOUNT inakosesha WAKANDARASI FURSA ZA KUFANYA KAZI LAKINI HATUPASWI KUWA NA USHABIKI HASA KWENYE JAMBO LA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA TAIFA LETU..

Lakini kwa upande wa Wakandarasi nao ni vilevile Kwani tunashuhudia
1. Miundombinu inajengwa na baadhi ya WAKANDARASI ikiwa haina viwango...
2. Gharama kubwa mno za Ujenzi wa miundombinu

Ifike wakati tutatoa TATIZO NA SII KUKWEPA ILI TUENDELEE KULINDA MASLAHI YETU BINAFSI.
Asante sana kwa ufafanuzi.
Nchi hii itapona pale tu pale kitengo cha manunuzi na ugavi, procurement and supply unit, kitakaporejeshwa kwenye mikono safi ya wananchi.

Hiki kitengo, kinaitafuna nchi.
 
Umeongea kisiasa na kishabiki zaidi kuliko kitaalamu!!!

Muundo wa FORCE AACOUNT unataka Ujenzi ufanyike kwa kusimamiwa na Kamati za Ujenzi wa mradi; yaani
1. Kamati ya Ujenzi/Kamati ya usimamizi
2. Kamati ya Manunuzi
3. Kamati ya UKAGUZI na mapokezi.

Aidha best practices ni PROCURING ENTITIES kufanya screening za mafundi Wazuri na kuwaajiri kwenye kazi ya Ujenzi chini ya usimamizi wa Mhandisi wa PROCURING ENTITY....

Fundi anatakiwa kuwa na ujuzi na uzoefu wa kutosha na mwenye UWEZO WA KUSOMA RAMANI NA MICHORO na kuitafsiri kwa USAHIHI.

Wakati wa Utekelezaji wa Mradi Mhandisi wa PROCURING ENTITY anatakiwa kuwepo kwenye hatua zote muhimu kama
1. Wakati wa kuseti msingi
2. Kumwaga jamvi
3. Kuseti ukuta
4. Kwenye concrete zote
5. Kuseti paa n.k

Ukiangalia kwa Uhalisia Utaratibu wa Force account ni mzuri SHIDA NI WASIMAMIZI KUTANGULIZA MASLAHI BINAFSI KULIKO MASLAHI YA UMMAH.

Kununuliwa milango mibovu FUNDI ANAHUSIKA VIPI? Hapa maana yake Wasimamizi wametaka kitu cha bei RAHISI ili wapige HELA!!!!

Kwani MAJUMBA yetu hatujengi kwa kuwatumia hawa MAFUNDI????

UNATAKA KUNIAMBIA KILA NYUMBA NZURI ILIYOJENGWA MTAANI AMETUMIKA MHANDISI ALIYESAJILIWA EQRB, ARB, ERB, NCC n.k?
Mbona Miradi yetu Binafsi hatuweki milango ya hivyo? Au kwenye miradi ya Ujenzi ya UMMA HUWA WATAALAM WETU WANAGEUKA WATU TOFAUTI????

Ninachokiona ni KUENDELEA KUMOMONYOKA KWA UZALENDO MIONGONI WA WATUMISHI WA UMMA NA KUTANGULIZA ZAIDI MASLAHI BINAFSI.

NI KWELI FORCE ACCOUNT inakosesha WAKANDARASI FURSA ZA KUFANYA KAZI LAKINI HATUPASWI KUWA NA USHABIKI HASA KWENYE JAMBO LA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA TAIFA LETU..

Lakini kwa upande wa Wakandarasi nao ni vilevile Kwani tunashuhudia
1. Miundombinu inajengwa na baadhi ya WAKANDARASI ikiwa haina viwango...
2. Gharama kubwa mno za Ujenzi wa miundombinu

Ifike wakati tutatoa TATIZO NA SII KUKWEPA ILI TUENDELEE KULINDA MASLAHI YETU BINAFSI.
Kweli mkuu mbona hizi nyumba zetu zinajengwa na hao hao anaowaita fundi maiko na zina viwango. Ikiwa unampa fundi material za kiwango duni unategemea afanye miujiza jengo lipate ubora wa hali ya juu. Maana katika hali ya kawaida, hao maafisa hawawezi kuokota tu mtu mtaani ambaye hajui lolote kuhusu ujenzi akafanye ujenzi kwenye jengo la umma na bila kuwa na ukaguzi na usimamizi wowote, tuongee mambo in a balanced way. Inawezekana nyie makandarasi mliisababishia serikali changamoto ndo maana ikaanza kutumia hizi njia za force account ili mambo yaende haraka na kwa wakati badala ya kubaki na urasimu na upigaji wa wakandarasi huku miradi ikiwa haifanyiki au inachelewa kukamilika.​
 
Umeongea kisiasa na kishabiki zaidi kuliko kitaalamu!!!

Muundo wa FORCE AACOUNT unataka Ujenzi ufanyike kwa kusimamiwa na Kamati za Ujenzi wa mradi; yaani
1. Kamati ya Ujenzi/Kamati ya usimamizi
2. Kamati ya Manunuzi
3. Kamati ya UKAGUZI na mapokezi.

Aidha best practices ni PROCURING ENTITIES kufanya screening za mafundi Wazuri na kuwaajiri kwenye kazi ya Ujenzi chini ya usimamizi wa Mhandisi wa PROCURING ENTITY....

Fundi anatakiwa kuwa na ujuzi na uzoefu wa kutosha na mwenye UWEZO WA KUSOMA RAMANI NA MICHORO na kuitafsiri kwa USAHIHI.

Wakati wa Utekelezaji wa Mradi Mhandisi wa PROCURING ENTITY anatakiwa kuwepo kwenye hatua zote muhimu kama
1. Wakati wa kuseti msingi
2. Kumwaga jamvi
3. Kuseti ukuta
4. Kwenye concrete zote
5. Kuseti paa n.k

Ukiangalia kwa Uhalisia Utaratibu wa Force account ni mzuri SHIDA NI WASIMAMIZI KUTANGULIZA MASLAHI BINAFSI KULIKO MASLAHI YA UMMAH.

Kununuliwa milango mibovu FUNDI ANAHUSIKA VIPI? Hapa maana yake Wasimamizi wametaka kitu cha bei RAHISI ili wapige HELA!!!!

Kwani MAJUMBA yetu hatujengi kwa kuwatumia hawa MAFUNDI????

UNATAKA KUNIAMBIA KILA NYUMBA NZURI ILIYOJENGWA MTAANI AMETUMIKA MHANDISI ALIYESAJILIWA EQRB, ARB, ERB, NCC n.k?
Mbona Miradi yetu Binafsi hatuweki milango ya hivyo? Au kwenye miradi ya Ujenzi ya UMMA HUWA WATAALAM WETU WANAGEUKA WATU TOFAUTI????

Ninachokiona ni KUENDELEA KUMOMONYOKA KWA UZALENDO MIONGONI WA WATUMISHI WA UMMA NA KUTANGULIZA ZAIDI MASLAHI BINAFSI.

NI KWELI FORCE ACCOUNT inakosesha WAKANDARASI FURSA ZA KUFANYA KAZI LAKINI HATUPASWI KUWA NA USHABIKI HASA KWENYE JAMBO LA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA TAIFA LETU..

Lakini kwa upande wa Wakandarasi nao ni vilevile Kwani tunashuhudia
1. Miundombinu inajengwa na baadhi ya WAKANDARASI ikiwa haina viwango...
2. Gharama kubwa mno za Ujenzi wa miundombinu

Ifike wakati tutatoa TATIZO NA SII KUKWEPA ILI TUENDELEE KULINDA MASLAHI YETU BINAFSI.
We kweli bolizozo.
Hizo ni kamati za kisiasa au za kitaalam?
Na tuekele hasa, kamati ya miradi imesajiliwa na Bodi ipi ya kitaalam?
 
Umejaribu kufafanua kitu ambacho hakitekelezeki Kwa kizazi hiki Cha Tanzania. Hizo kamati za ujenzi, manunuzi na mapokezi haziko na wataalam wa ujenzi bali zimeundwa na watumishi ambao hawana utaalam wowote wa ujenzi. Mfumo wa Force account unataka wahusika wawe na uzalendo na je huo uzalendo upo? Kumbuka hao wajumbe hawalipwi chochote eti watangulize maslahi ya nchi mbele seriously? Ndo maana wanaamua kujilipa Kwa njia hiyo. Ni Bora mpe mkandarasi mwenye utaalam kazi huku ukiweka sheria za nchi vizuri ili akikosea awajibishwe kuliko hii kitu ambayo ni ujenzi wa hovyo kabisa kutokana na wahusika kutokuwa na ujuzi wa kutosha.

Binafsi nimeshiriki katika ujenzi wa majengo mengi Kwa mfumo huu wa force account kama mjumbe kwenye kamati ya ujenzi na manunuzi. Nakwambia bora mfumo wa kumtumia mkandarasi kuliko huu. Yaani kitu kinachouzwa elfu 50 watu wanaenda kununua laki 2 kumbe wamenunua laki hamsin ya mwenye duka Ili awaandikie rist fekina wao wanabaki na laki. Kujenga majengo Kwa kutegemea eti wahusika watangulize uzalendo Kwa Tanzania hii ni sawa na kuota ndoto umekuwa rais wa urusi.
Kila kitu kipo kwenye BOQ, upigaji hapo labda wa 10% , mfano siment, bati, tofali, nondo, rangi, gypsum, tiles, bei zake zinajulikana kabisa hapo mtu anapigaje nje ya bei?
 
Umeongea kisiasa na kishabiki zaidi kuliko kitaalamu!!!

Muundo wa FORCE AACOUNT unataka Ujenzi ufanyike kwa kusimamiwa na Kamati za Ujenzi wa mradi; yaani
1. Kamati ya Ujenzi/Kamati ya usimamizi
2. Kamati ya Manunuzi
3. Kamati ya UKAGUZI na mapokezi.

Aidha best practices ni PROCURING ENTITIES kufanya screening za mafundi Wazuri na kuwaajiri kwenye kazi ya Ujenzi chini ya usimamizi wa Mhandisi wa PROCURING ENTITY....

Fundi anatakiwa kuwa na ujuzi na uzoefu wa kutosha na mwenye UWEZO WA KUSOMA RAMANI NA MICHORO na kuitafsiri kwa USAHIHI.

Wakati wa Utekelezaji wa Mradi Mhandisi wa PROCURING ENTITY anatakiwa kuwepo kwenye hatua zote muhimu kama
1. Wakati wa kuseti msingi
2. Kumwaga jamvi
3. Kuseti ukuta
4. Kwenye concrete zote
5. Kuseti paa n.k

Ukiangalia kwa Uhalisia Utaratibu wa Force account ni mzuri SHIDA NI WASIMAMIZI KUTANGULIZA MASLAHI BINAFSI KULIKO MASLAHI YA UMMAH.

Kununuliwa milango mibovu FUNDI ANAHUSIKA VIPI? Hapa maana yake Wasimamizi wametaka kitu cha bei RAHISI ili wapige HELA!!!!

Kwani MAJUMBA yetu hatujengi kwa kuwatumia hawa MAFUNDI????

UNATAKA KUNIAMBIA KILA NYUMBA NZURI ILIYOJENGWA MTAANI AMETUMIKA MHANDISI ALIYESAJILIWA EQRB, ARB, ERB, NCC n.k?
Mbona Miradi yetu Binafsi hatuweki milango ya hivyo? Au kwenye miradi ya Ujenzi ya UMMA HUWA WATAALAM WETU WANAGEUKA WATU TOFAUTI????

Ninachokiona ni KUENDELEA KUMOMONYOKA KWA UZALENDO MIONGONI WA WATUMISHI WA UMMA NA KUTANGULIZA ZAIDI MASLAHI BINAFSI.

NI KWELI FORCE ACCOUNT inakosesha WAKANDARASI FURSA ZA KUFANYA KAZI LAKINI HATUPASWI KUWA NA USHABIKI HASA KWENYE JAMBO LA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA TAIFA LETU..

Lakini kwa upande wa Wakandarasi nao ni vilevile Kwani tunashuhudia
1. Miundombinu inajengwa na baadhi ya WAKANDARASI ikiwa haina viwango...
2. Gharama kubwa mno za Ujenzi wa miundombinu

Ifike wakati tutatoa TATIZO NA SII KUKWEPA ILI TUENDELEE KULINDA MASLAHI YETU BINAFSI.

Kitendo cha CCM kupora chaguzi na kuua nguvu yaa wananchi kuhoji, haya ndio matokeo yake. Kwa sasa unakuta waziri mkuu anatembelea miradi anakuta Madudu, anachukua hatua yeye wakati taasisi zote za usimamizi zipo. Na watu wanamchora tu maana wanajua hata yeye yuko madarakani kwa wizi wa kura. Viongozi wakianza kuingia madarakani kwa njia halali, wengine wa chini watafuata sheria na kuwa waadilifu.
 
We kweli bolizozo.
Hizo ni kamati za kisiasa au za kitaalam?
Na tuekele hasa, kamati ya miradi imesajiliwa na Bodi ipi ya kitaalam?
Hujitambui...

Kamati ya Ujenzi katibu wake ni ENGINEER na kama ni NGAZI ya vituo vya kutolea huduma basi ENGINEER ni mshauri na anawaongoza!!!

Manunuzi kadhalika!!!!

Hawa watu wamesajiliwa na bodi zao
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kweli mkuu mbona hizi nyumba zetu zinajengwa na hao hao anaowaita fundi maiko na zina viwango. Ikiwa unampa fundi material za kiwango duni unategemea afanye miujiza jengo lipate ubora wa hali ya juu. Maana katika hali ya kawaida, hao maafisa hawawezi kuokota tu mtu mtaani ambaye hajui lolote kuhusu ujenzi akafanye ujenzi kwenye jengo la umma na bila kuwa na ukaguzi na usimamizi wowote, tuongee mambo in a balanced way. Inawezekana nyie makandarasi mliisababishia serikali changamoto ndo maana ikaanza kutumia hizi njia za force account ili mambo yaende haraka na kwa wakati badala ya kubaki na urasimu na upigaji wa wakandarasi huku miradi ikiwa haifanyiki au inachelewa kukamilika.​
Sahihi kabisa!!!

Leo tuna miradi mingapi ilijengwa na WAKANDARASI na haina kiwango??? Au gharama zake ni za juu sana?

Uhakika ni kuwa ipo mingi sana...
 
  • Thanks
Reactions: Cyb

Acha kuingiza uharo wako wa kisiasa katika mamba ya kitaalam.
Ujuzi mdogo ulio nao utumie kwa akilina hekima.
Construction philosophy, systems, methods na management zime evolve over hundreds of years na hazikuanza ninyi kupata videgree vya vyuo feki.
Leo nikikutaka utueleze kwa nini miradi ya SGR, Nyerere Hydropower-Stiegkers na mingine haijengwi ka Force Account, utabwabwaja hadi mtondogoo!
Level of thinking ikiishia kwenye bei ya kitasa, basi ujijue huna nafasi kichwani kufikiria construction methods and system.

Ni wale watu wajunga wajinga tu huwa wanafikiri mkandarasi is an end into construction methods and systems.
Huwa hamjui kuwa katika ujenzi vile vile kuna Designers/Architects, Quantity Surveyors, Design Engineers na katika usimamizi kuna Supervision Resident Engineers au Clerk of Works.
Hawa wote wanafanya azi ya kumsuoervise Mkandarasi.

Sasa mtu mjinga mjinga anaondoa hao wote anakuja na fundi Maiko na eti Kamati ya Mradi....!

Huu ujinga utaisha lini, ona sasa Waziri Mkuu inabidi tembelea miradi na TAKUKURU!
Tanzania is falling into stupidity before our eyes!
Issue ni UNAONGEA kishabiki....

ndiyo maana watu kama wewe hujiona wasomi kumbe practically umebeba THEORIES ambazo huwezi kuzitumia kwenye UHALISIA!!!

KASOME mwongozo wa UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA NJIA YA FORCE ACCOUNT WA PPRA...

Utaelewa ili PROCURING ENTITY IWE QUALIFIED KUTEKELEZA MIRADI KWA NJIA YA FORCE ACCOUNT inatakiwa kuwa na sifa ZIPI???

Tujifunze kusoma kabla ya kubwabwaja. UKISHASOMA HUO MWONGOZO NDIYO UJE UTOE HOJA HAPA
 
Hujitambui...

Kamati ya Ujenzi katibu wake ni ENGINEER na kama ni NGAZI ya vituo vya kutolea huduma basi ENGINEER ni mshauri na anawaongoza!!!

Manunuzi kadhalika!!!!

Hawa watu wamesajiliwa na bodi zao
Kawaida yenu kuingiza wanasiasa kwenye miradi ili mpate uhalali wa kupora.
Katibu wa kamati ya Miradi ni Enginee? au siyo.
Una maana wale ma Engineer wa Halmashauri ambao ni clerical engineer?
Kwa taarifa yako hakuna maengineer wanaodharaulika katika fani hii ya ujenzi kama hao clerical engineers wa Halmashauri, wanao endeshwa na madiwani kwa faida ya ulaji.

Inaelekea hata swali langu hukulielewa maana yake.
Kwa hiyo kwenye hiyo Kamati ya Mradi, hawa ma Clerical Engineers wenu wanasajiliwa kama Engineers wa mradi?
Kama ni muelewa wa miradi utalijibu hili kwa ufasaha.
Halafu baada ya hapo tupe majukumu ya rchitect na Design ngineers hapo wanaingiaje.
 
Issue ni UNAONGEA kishabiki....

ndiyo maana watu kama wewe hujiona wasomi kumbe practically umebeba THEORIES ambazo huwezi kuzitumia kwenye UHALISIA!!!

KASOME mwongozo wa UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA NJIA YA FORCE ACCOUNT WA PPRA...

Utaelewa ili PROCURING ENTITY IWE QUALIFIED KUTEKELEZA MIRADI KWA NJIA YA FORCE ACCOUNT inatakiwa kuwa na sifa ZIPI???

Tujifunze kusoma kabla ya kubwabwaja. UKISHASOMA HUO MWONGOZO NDIYO UJE UTOE HOJA HAPA
 
Issue ni UNAONGEA kishabiki....

ndiyo maana watu kama wewe hujiona wasomi kumbe practically umebeba THEORIES ambazo huwezi kuzitumia kwenye UHALISIA!!!

KASOME mwongozo wa UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA NJIA YA FORCE ACCOUNT WA PPRA...

Utaelewa ili PROCURING ENTITY IWE QUALIFIED KUTEKELEZA MIRADI KWA NJIA YA FORCE ACCOUNT inatakiwa kuwa na sifa ZIPI???

Tujifunze kusoma kabla ya kubwabwaja. UKISHASOMA HUO MWONGOZO NDIYO UJE UTOE HOJA HAPA
Nyie manguini mnamatatizo sana.
Force Account ni kwa ajili ya miradi midogo sana na mainly repair na maintainance oriented.
Mmeamua kula fedha za wananchi na kumwaga fedha kwa mabilioni ati kumtumia fundi Maiko.
Umeulizwa hapo nyuma kuwa hiyo system yenu Force Acccount inayotumiwa kijinga, mbona hamuitumii kujenga SGR?
 
Nchi hii ina tatizo la usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya serikali.

Tatizo la msingi ni viongozi na watendaji tulionao katika nafasi mbalimbali za umma .

Tabia ya kupeana vyeo, na ajira kiudugu na kimchongo na kuwapa ujira mdogo huku ukiwapa wajibu wa kusimamia miradi ya mamilioni ya pesa . Hapa ndo anguko la taifa linaanzia.

Njaa ni Kali sana kwa maofisa na watendaji wa serikali - hivyo inakua ngumu sana sana kukwepa mtego wa rushwa na wizi.

Ili tufike mbali Iko haja ya kubadiri mfumo wa utumishi wa umma na taratibu za usimamizi miradi ya umma
 
Umeongea kisiasa na kishabiki zaidi kuliko kitaalamu!!!

Muundo wa FORCE AACOUNT unataka Ujenzi ufanyike kwa kusimamiwa na Kamati za Ujenzi wa mradi; yaani
1. Kamati ya Ujenzi/Kamati ya usimamizi
2. Kamati ya Manunuzi
3. Kamati ya UKAGUZI na mapokezi.

Aidha best practices ni PROCURING ENTITIES kufanya screening za mafundi Wazuri na kuwaajiri kwenye kazi ya Ujenzi chini ya usimamizi wa Mhandisi wa PROCURING ENTITY....

Fundi anatakiwa kuwa na ujuzi na uzoefu wa kutosha na mwenye UWEZO WA KUSOMA RAMANI NA MICHORO na kuitafsiri kwa USAHIHI.

Wakati wa Utekelezaji wa Mradi Mhandisi wa PROCURING ENTITY anatakiwa kuwepo kwenye hatua zote muhimu kama
1. Wakati wa kuseti msingi
2. Kumwaga jamvi
3. Kuseti ukuta
4. Kwenye concrete zote
5. Kuseti paa n.k

Ukiangalia kwa Uhalisia Utaratibu wa Force account ni mzuri SHIDA NI WASIMAMIZI KUTANGULIZA MASLAHI BINAFSI KULIKO MASLAHI YA UMMAH.

Kununuliwa milango mibovu FUNDI ANAHUSIKA VIPI? Hapa maana yake Wasimamizi wametaka kitu cha bei RAHISI ili wapige HELA!!!!

Kwani MAJUMBA yetu hatujengi kwa kuwatumia hawa MAFUNDI????

UNATAKA KUNIAMBIA KILA NYUMBA NZURI ILIYOJENGWA MTAANI AMETUMIKA MHANDISI ALIYESAJILIWA EQRB, ARB, ERB, NCC n.k?
Mbona Miradi yetu Binafsi hatuweki milango ya hivyo? Au kwenye miradi ya Ujenzi ya UMMA HUWA WATAALAM WETU WANAGEUKA WATU TOFAUTI????

Ninachokiona ni KUENDELEA KUMOMONYOKA KWA UZALENDO MIONGONI WA WATUMISHI WA UMMA NA KUTANGULIZA ZAIDI MASLAHI BINAFSI.

NI KWELI FORCE ACCOUNT inakosesha WAKANDARASI FURSA ZA KUFANYA KAZI LAKINI HATUPASWI KUWA NA USHABIKI HASA KWENYE JAMBO LA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA TAIFA LETU..

Lakini kwa upande wa Wakandarasi nao ni vilevile Kwani tunashuhudia
1. Miundombinu inajengwa na baadhi ya WAKANDARASI ikiwa haina viwango...
2. Gharama kubwa mno za Ujenzi wa miundombinu

Ifike wakati tutatoa TATIZO NA SII KUKWEPA ILI TUENDELEE KULINDA MASLAHI YETU BINAFSI.
Nakuunga mkono mkuu. Kama tukiwa wazalendo kweli huu mfumo ni mzuri na unatufaa sana kama siasa ikiwekwa kando na uzalendo kutangulizwa. Pia kufanyia mayoress vitu vidogo vidogo
 
Nchi hii ina tatizo la usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya serikali.

Tatizo la msingi ni viongozi na watendaji tulionao katika nafasi mbalimbali za umma .

Tabia ya kupeana vyeo, na ajira kiudugu na kimchongo na kuwapa ujira mdogo huku ukiwapa wajibu wa kusimamia miradi ya mamilioni ya pesa . Hapa ndo anguko la taifa linaanzia.

Njaa ni Kali sana kwa maofisa na watendaji wa serikali - hivyo inakua ngumu sana sana kukwepa mtego wa rushwa na wizi.

Ili tufike mbali Iko haja ya kubadiri mfumo wa utumishi wa umma na taratibu za usimamizi miradi ya umma
Halafu anatokea mtu mjinga wa kiasi, anatetea miradi kusimamiwa na wanasiasa.
Inakera.
By the way mbona Bodi za serikali, zenye watu weledi ziko kimya juu ya hili swala.
Kuna NCC -National Construction Council
ERB -Engineers Registration Board
AQRB -Architects and Quantity Surveyors Registration Board
CRB -Contractors Registration Board

Wizara ya Ujenzi na Bodi hizi ziko kimya utafikiri hazipo.
Kazi ya TAKUKURU ilipaswa ifanywe na Bodi hizi.
 
Back
Top Bottom