Force Account inawamaliza mabosi wa Serikali, Waziri Mkuu anashuhudia madudu ya kutisha

Force Account inawamaliza mabosi wa Serikali, Waziri Mkuu anashuhudia madudu ya kutisha

Umeongea kisiasa na kishabiki zaidi kuliko kitaalamu!!!

Muundo wa FORCE AACOUNT unataka Ujenzi ufanyike kwa kusimamiwa na Kamati za Ujenzi wa mradi; yaani
1. Kamati ya Ujenzi/Kamati ya usimamizi
2. Kamati ya Manunuzi
3. Kamati ya UKAGUZI na mapokezi.

Aidha best practices ni PROCURING ENTITIES kufanya screening za mafundi Wazuri na kuwaajiri kwenye kazi ya Ujenzi chini ya usimamizi wa Mhandisi wa PROCURING ENTITY....

Fundi anatakiwa kuwa na ujuzi na uzoefu wa kutosha na mwenye UWEZO WA KUSOMA RAMANI NA MICHORO na kuitafsiri kwa USAHIHI.

Wakati wa Utekelezaji wa Mradi Mhandisi wa PROCURING ENTITY anatakiwa kuwepo kwenye hatua zote muhimu kama
1. Wakati wa kuseti msingi
2. Kumwaga jamvi
3. Kuseti ukuta
4. Kwenye concrete zote
5. Kuseti paa n.k

Ukiangalia kwa Uhalisia Utaratibu wa Force account ni mzuri SHIDA NI WASIMAMIZI KUTANGULIZA MASLAHI BINAFSI KULIKO MASLAHI YA UMMAH.

Kununuliwa milango mibovu FUNDI ANAHUSIKA VIPI? Hapa maana yake Wasimamizi wametaka kitu cha bei RAHISI ili wapige HELA!!!!

Kwani MAJUMBA yetu hatujengi kwa kuwatumia hawa MAFUNDI????

UNATAKA KUNIAMBIA KILA NYUMBA NZURI ILIYOJENGWA MTAANI AMETUMIKA MHANDISI ALIYESAJILIWA EQRB, ARB, ERB, NCC n.k?
Mbona Miradi yetu Binafsi hatuweki milango ya hivyo? Au kwenye miradi ya Ujenzi ya UMMA HUWA WATAALAM WETU WANAGEUKA WATU TOFAUTI????

Ninachokiona ni KUENDELEA KUMOMONYOKA KWA UZALENDO MIONGONI WA WATUMISHI WA UMMA NA KUTANGULIZA ZAIDI MASLAHI BINAFSI.

NI KWELI FORCE ACCOUNT inakosesha WAKANDARASI FURSA ZA KUFANYA KAZI LAKINI HATUPASWI KUWA NA USHABIKI HASA KWENYE JAMBO LA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA TAIFA LETU..

Lakini kwa upande wa Wakandarasi nao ni vilevile Kwani tunashuhudia
1. Miundombinu inajengwa na baadhi ya WAKANDARASI ikiwa haina viwango...
2. Gharama kubwa mno za Ujenzi wa miundombinu

Ifike wakati tutatoa TATIZO NA SII KUKWEPA ILI TUENDELEE KULINDA MASLAHI YETU BINAFSI.
Safi sana ulivyoidadavua, lakini ulichoongea ni hewa tupu.
Unawezaje kujenga kwa Force Account mradi hadi wa bilioni 10 kwa kumtumia Afisa manunuzi, fundi Maiko na wasimamizi Kamati ya Ulinzi na Usalama.

Halafu leo tunashangaa TAKUKURU wanaitwa kila mradi wa Force Account!
Tunaona makosa lakini hatuelewi!!

Huu ndio ujinga usiokifani watu kujijengea uhalali wa kusimamia fedha za miradi ambapo sasa tunampa Waziri Mkuu kutembelea miradi akiambatana na TAKUKURU badala ya kusimamia proffessionals wa Project Management na Supervision.

Kwa hii hoja hata ukiamua kujitengenezea utaratibu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama kusimamia urukaji wa ndege ni sawa tu maana wanajitengenezea ulaji.

Kwa kifupi hoja hii haina mantiki wala uhalali.
 
Force account imejenga miradi mingi sana ya zahanati nchi nzima
umeelewa kilichoandikwa ? hatuzungumzii namba tunazungumzia ubora? kwanini kuna sheria ya manunuzi? aliyeleta/ruhusu matumizi ya force account ni mpumbavu mmoja aliyekuwa anajidai kujua kila kitu. ni kweli force Account imo kwenye sheria lakini si kuna sababu na mazingira ya kuitumia?
hongera kwa kuwa mjinga kwa kiasi chako
 
umeelewa kilichoandikwa ? hatuzungumzii namba tunazungumzia ubora? kwanini kuna sheria ya manunuzi? aliyeleta/ruhusu matumizi ya force account ni mpumbavu mmoja aliyekuwa anajidai kujua kila kitu. ni kweli force Account imo kwenye sheria lakini si kuna sababu na mazingira ya kuitumia?
hongera kwa kuwa mjinga kwa kiasi chako
Ha ha ha!
Asante mkuu, kuna watu kuelewa kitu , toka utotoni mwao ni kwa viboko tu!
 
Siye wajuvi wa masuala ya ujenzi tulionya na kuonya, tukaambiwa tunatetea ulaji wetu.
Kuna wawakilishi wetu tuliwatuma hadi Bungeni kupinga Force Accout , lakini walibezwa kuwa makandarasi ni mafisadi wa fedhe za umma.

Sasa kazi nyingi zilifanywa kwa spidi kubwa kwa kumtumia fundi Maiko.
Madudu sasa yanaonekana wazi kwa kupata kazi iliyo chini sana katika viwango, na fedha kuliwa vibaya na wasimamizi na mabosi, kuanzia ma DED hadi Madaktari na waalimu.
Kuna waliofungwa, kama yule mwalimu huko Musoma, na wengine kesi zao ziko Mahakamani na ingine kuendelea kuchunguzwa na TAKUKURU.

Tatizo kubwa ni wansiasa kujifikiria wana akili kubwa kuzidi time tested project administration methods na procedures.

Sasa hela za serikali zimeliwa na wajanja kwa vile supervision systems za kifedha na kiujenzi ni very very poor!

Sasa hivi hata Waziri Mkuu kachoka, anatembelea miradi na TAKUKURU ikiwepo, kila mradi ni mdudu ya kutosha.

-Waziri Mkuu alitembelea mradi wa hospitali huko Songea. milango ilikuwa haifungi-fundi Maiko huyo na daktari kachukuliwa na TAKUKURU
-Huko Tabora , VETA, jengo la mlinzi milioni 11, msimamizi kachukuliwa na TAKUKURU
-Huko Katavi juzi nyaraka zimechomwa moto kuficha ulaji baada ya kumtumia fundi Maiko, TAKUKURU wamepewa kibarua
-Huko Tanga Mkuu wa Mkoa kawapiga wanted ma DED wawili kwa kufanya kazi na fundi Maiko na jengo likawa ndivyo sivyo, TAKUKURU wameitwa
-Huko Ruangwa, kazi ya fundi Maiko, jengo halina madirisha wala milango, Ths 75 million imaeliwa, TAKUKURU wamepewa kazi
-Huko Ikungi fundi Maiko kajenga jengo la Tsha 500milion ndivyo sivyo, DC kawapeleka TAKUKURU
-Huko Mwanza Mkuu wa Mkoa kawaita TAKUKURU, jengo la abiria, uwanja wa ndege kujengwa chini ya viwango na kusua kusua, hela imeliwa, fundi Maiko anachekelea

Kwa sababu hata hawa wanasiasa wetu haawajui waende wapi wa kukiuka taratibu za ujenzi, inabidi wakumbushwe kuwa TAKUKURU hawana muarobaini wa namna ya kurekebisha taratibu zilizopindwa katika ujenzi

Na kosa kubwa ni hao hao wanasiasa.

Force Account kwa kumtumia fundi Maiko imeleta hasara kubwa sana kwa Taifa.


Tunaiomba serikali, hasa wanasiasa, wadhibitiwe na sheria zinazohusu sekta hii ya ujenzi.
Bodi husika za Wizara ya Ujenzi, CRB. AQRB, ERB, NCC zina kazi kubwa kuwaelimisha wanasiasa wanaoingilia kiutendaji uendeshaji wa sekta ya ujenzi.
Je hawa NCC wanaweza kujenga chumba cha darasa kwa 20mil ikatosha? Nijibu kwanza ndio tuendelee.

Usijeneralize kwamba kila halmashauri wanakunywa pesa za umma.

Sipingi tabia za wanasiasa kujiona wajuaji.

Sipingi serikali kupenda bei chee, chee ambayo inalighalimu taifa hasara katika sekta ya ujenzi kitaalam.
 
FORCE ACCOUNT ili fail hata kabla ya kuanza. Sasa hivi ndiyo matokeo yake yanaanza kuonekana kwa walio wengi
Vyama huru vya kitaaluma, ACET, -Association of Consilring Engineers, AAT-Association of Architecs, Associstion of Quantity Surveyors, na hata vya kikandarsi CATA, ACCT, TACECA na vyama vingine vilipaza sauti kupinga Force Account katika sekta ya Ujenzi.
Serikali sikivu ikaweka pamba kwenye masikio.

Sasa tunavuna kile tulikiwa tuna onya, masikini Waziri Mkuu ziara zake zote anaambatana na TAKUKURU.
Masikini TAUKIRU hawana la kufanya zaidi ya kuwafunga watuhumiwa wa wizi kwa mfumo mbaya wa Force Account
 
Vyama huru vya kitaaluma, ACET, -Association of Consilring Engineers, AAT-Association of Architecs, Associstion of Quantity Surveyors, na hata vya kikandarsi CATA, ACCT, TACECA na vyama vingine vilipaza sauti kupinga Force Account katika sekta ya Ujenzi.
Serikali sikivu ikaweka pamba kwenye masikio.

Sasa tunavuna kile tulikiwa tuna onya, masikini Waziri Mkuu ziara zake zote anaambatana na TAKUKURU.
Masikini TAUKIRU hawana la kufanya zaidi ya kuwafunga watuhumiwa wa wizi kwa mfumo mbaya wa Force Account
Watamalizwa hao watumishi kwa makosa yawazi kabisa. Kitendo cha ku implement hiyo force account kilikuwa ni suicidal mission kwa upande wao.
Tulishakosea kama inchi. Tuachane nao na tuanze upya kwa kulitoa hilo pepo la Force Account. Ingelikuwa ni ajabu sana kama FORCE ACCOUNT ingelileta sustainable results.
Watumishi wataishia kusimamishwa na kuchunguzwa hivyo kutapelekea ombwe la watumishi na kuyumba kwa huduma za kijamii.
Hili dude tulishalikosea, ni kosa la inchi siyo lawatumishi tena. Tuanze upya
 
Umeongea kisiasa na kishabiki zaidi kuliko kitaalamu!!!

Muundo wa FORCE AACOUNT unataka Ujenzi ufanyike kwa kusimamiwa na Kamati za Ujenzi wa mradi; yaani
1. Kamati ya Ujenzi/Kamati ya usimamizi
2. Kamati ya Manunuzi
3. Kamati ya UKAGUZI na mapokezi.

Aidha best practices ni PROCURING ENTITIES kufanya screening za mafundi Wazuri na kuwaajiri kwenye kazi ya Ujenzi chini ya usimamizi wa Mhandisi wa PROCURING ENTITY....

Fundi anatakiwa kuwa na ujuzi na uzoefu wa kutosha na mwenye UWEZO WA KUSOMA RAMANI NA MICHORO na kuitafsiri kwa USAHIHI.

Wakati wa Utekelezaji wa Mradi Mhandisi wa PROCURING ENTITY anatakiwa kuwepo kwenye hatua zote muhimu kama
1. Wakati wa kuseti msingi
2. Kumwaga jamvi
3. Kuseti ukuta
4. Kwenye concrete zote
5. Kuseti paa n.k

Ukiangalia kwa Uhalisia Utaratibu wa Force account ni mzuri SHIDA NI WASIMAMIZI KUTANGULIZA MASLAHI BINAFSI KULIKO MASLAHI YA UMMAH.

Kununuliwa milango mibovu FUNDI ANAHUSIKA VIPI? Hapa maana yake Wasimamizi wametaka kitu cha bei RAHISI ili wapige HELA!!!!

Kwani MAJUMBA yetu hatujengi kwa kuwatumia hawa MAFUNDI????

UNATAKA KUNIAMBIA KILA NYUMBA NZURI ILIYOJENGWA MTAANI AMETUMIKA MHANDISI ALIYESAJILIWA EQRB, ARB, ERB, NCC n.k?
Mbona Miradi yetu Binafsi hatuweki milango ya hivyo? Au kwenye miradi ya Ujenzi ya UMMA HUWA WATAALAM WETU WANAGEUKA WATU TOFAUTI????

Ninachokiona ni KUENDELEA KUMOMONYOKA KWA UZALENDO MIONGONI WA WATUMISHI WA UMMA NA KUTANGULIZA ZAIDI MASLAHI BINAFSI.

NI KWELI FORCE ACCOUNT inakosesha WAKANDARASI FURSA ZA KUFANYA KAZI LAKINI HATUPASWI KUWA NA USHABIKI HASA KWENYE JAMBO LA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA TAIFA LETU..

Lakini kwa upande wa Wakandarasi nao ni vilevile Kwani tunashuhudia
1. Miundombinu inajengwa na baadhi ya WAKANDARASI ikiwa haina viwango...
2. Gharama kubwa mno za Ujenzi wa miundombinu

Ifike wakati tutatoa TATIZO NA SII KUKWEPA ILI TUENDELEE KULINDA MASLAHI YETU BINAFSI.
Umejaribu kufafanua kitu ambacho hakitekelezeki Kwa kizazi hiki Cha Tanzania. Hizo kamati za ujenzi, manunuzi na mapokezi haziko na wataalam wa ujenzi bali zimeundwa na watumishi ambao hawana utaalam wowote wa ujenzi. Mfumo wa Force account unataka wahusika wawe na uzalendo na je huo uzalendo upo? Kumbuka hao wajumbe hawalipwi chochote eti watangulize maslahi ya nchi mbele seriously? Ndo maana wanaamua kujilipa Kwa njia hiyo. Ni Bora mpe mkandarasi mwenye utaalam kazi huku ukiweka sheria za nchi vizuri ili akikosea awajibishwe kuliko hii kitu ambayo ni ujenzi wa hovyo kabisa kutokana na wahusika kutokuwa na ujuzi wa kutosha.

Binafsi nimeshiriki katika ujenzi wa majengo mengi Kwa mfumo huu wa force account kama mjumbe kwenye kamati ya ujenzi na manunuzi. Nakwambia bora mfumo wa kumtumia mkandarasi kuliko huu. Yaani kitu kinachouzwa elfu 50 watu wanaenda kununua laki 2 kumbe wamenunua laki hamsin ya mwenye duka Ili awaandikie rist fekina wao wanabaki na laki. Kujenga majengo Kwa kutegemea eti wahusika watangulize uzalendo Kwa Tanzania hii ni sawa na kuota ndoto umekuwa rais wa urusi.
 
Umejaribu kufafanua kitu ambacho hakitekelezeki Kwa kizazi hiki Cha Tanzania. Hizo kamati za ujenzi, manunuzi na mapokezi haziko na wataalam wa ujenzi bali zimeundwa na watumishi ambao hawana utaalam wowote wa ujenzi. Mfumo wa Force account unataka wahusika wawe na uzalendo na je huo uzalendo upo? Kumbuka hao wajumbe hawalipwi chochote eti watangulize maslahi ya nchi mbele seriously? Ndo maana wanaamua kujilipa Kwa njia hiyo. Ni Bora mpe mkandarasi mwenye utaalam kazi huku ukiweka sheria za nchi vizuri ili akikosea awajibishwe kuliko hii kitu ambayo ni ujenzi wa hovyo kabisa kutokana na wahusika kutokuwa na ujuzi wa kutosha.

Binafsi nimeshiriki katika ujenzi wa majengo mengi Kwa mfumo huu wa force account kama mjumbe kwenye kamati ya ujenzi na manunuzi. Nakwambia bora mfumo wa kumtumia mkandarasi kuliko huu. Yaani kitu kinachouzwa elfu 50 watu wanaenda kununua laki 2 kumbe wamenunua laki hamsin ya mwenye duka Ili awaandikie rist fekina wao wanabaki na laki. Kujenga majengo Kwa kutegemea eti wahusika watangulize uzalendo Kwa Tanzania hii ni sawa na kuota ndoto umekuwa rais wa urusi.
Mkuu huyo alitoa maoni ni mwanasiasa.
Tatizo kubwa watu alimradi wamechaguliwa basi wanajiona wana akili za ziada.
Watu kwenye hii fani ya ujenzi wan usomi hadi kiwango cha PhD lakini wanasiasa wanadharau ushaur wao kitaalm.

Hii force Account matke yake bado hatujayaona.
Philosophy ya Construction ni Economy, Method, Durability, Safety na Quality.
Sasa ita Kamati ya Ulizi na Usalama ili iyadadavue na tupate jumba au daraja lenye tija nchini.
 
Umejaribu kufafanua kitu ambacho hakitekelezeki Kwa kizazi hiki Cha Tanzania. Hizo kamati za ujenzi, manunuzi na mapokezi haziko na wataalam wa ujenzi bali zimeundwa na watumishi ambao hawana utaalam wowote wa ujenzi. Mfumo wa Force account unataka wahusika wawe na uzalendo na je huo uzalendo upo? Kumbuka hao wajumbe hawalipwi chochote eti watangulize maslahi ya nchi mbele seriously? Ndo maana wanaamua kujilipa Kwa njia hiyo. Ni Bora mpe mkandarasi mwenye utaalam kazi huku ukiweka sheria za nchi vizuri ili akikosea awajibishwe kuliko hii kitu ambayo ni ujenzi wa hovyo kabisa kutokana na wahusika kutokuwa na ujuzi wa kutosha.

Binafsi nimeshiriki katika ujenzi wa majengo mengi Kwa mfumo huu wa force account kama mjumbe kwenye kamati ya ujenzi na manunuzi. Nakwambia bora mfumo wa kumtumia mkandarasi kuliko huu. Yaani kitu kinachouzwa elfu 50 watu wanaenda kununua laki 2 kumbe wamenunua laki hamsin ya mwenye duka Ili awaandikie rist fekina wao wanabaki na laki. Kujenga majengo Kwa kutegemea eti wahusika watangulize uzalendo Kwa Tanzania hii ni sawa na kuota ndoto umekuwa rais wa urusi.
Kumtumia Mkandarasi si ndiyo hayo ya kibanda cha mabati 15m? NI LAZIMA TUJENGE UZALENDO....

PROCURING ENTITIES zina Wataalam wa mipango, fedha, Manunuzi, sheria, uhandisi.... je ni kipi ambacho kinashindikana kwenye Force Account?

Kamati ya usimamizi ipo chini ya ushauri wa MHANDISI wa PROCURING ENTITY wakati mwingine YEYE ndiye katibu wa kamati

Manunuzi wanashauriwa na AFISA MANUNUZI wa PROCURING ENTITY wakati mwingine YEYE ndiye katibu wa kamati

Kamati ya UKAGUZI na mapokezi wanashauriwa na Mjandisi [technical specifications] na AFISA Manunuzi [nyaraka na raratibu] na wakati wataalam hawa ni wajumbe wa hizi kamati..

Shida siyo KAMATI KUKOSA UELEWA, SHIDA NI UPIGAJI NA KUKOSA UZALENDO!!!!

Mbona majengo BINAFSI WANAJENGO tena mtu moja bila Kamati???? Hatujiulizi hili???

Hata tukitumia Kampuni ni YALE YALE TU!!! Panapohitajika condo 18mm mtakubaliana mnaweka 12mm, panapohitaji condo 5 mtaweka 3, Paso OP ohitaji clearing, cut an feel mtaeeka imefanyika!!!

All in all bila kudhibiti UPIGAJI NA KUJENGA UZALENDO HAKUNA KITU....
 
Kumtumia Mkandarasi si ndiyo hayo ya kibanda cha mabati 15m? NI LAZIMA TUJENGE UZALENDO....

PROCURING ENTITIES zina Wataalam wa mipango, fedha, Manunuzi, sheria, uhandisi.... je ni kipi ambacho kinashindikana kwenye Force Account?

Kamati ya usimamizi ipo chini ya ushauri wa MHANDISI wa PROCURING ENTITY wakati mwingine YEYE ndiye katibu wa kamati

Manunuzi wanashauriwa na AFISA MANUNUZI wa PROCURING ENTITY wakati mwingine YEYE ndiye katibu wa kamati

Kamati ya UKAGUZI na mapokezi wanashauriwa na Mjandisi [technical specifications] na AFISA Manunuzi [nyaraka na raratibu] na wakati wataalam hawa ni wajumbe wa hizi kamati..

Shida siyo KAMATI KUKOSA UELEWA, SHIDA NI UPIGAJI NA KUKOSA UZALENDO!!!!

Mbona majengo BINAFSI WANAJENGO tena mtu moja bila Kamati???? Hatujiulizi hili???

Hata tukitumia Kampuni ni YALE YALE TU!!! Panapohitajika condo 18mm mtakubaliana mnaweka 12mm, panapohitaji condo 5 mtaweka 3, Paso OP ohitaji clearing, cut an feel mtaeeka imefanyika!!!

All in all bila kudhibiti UPIGAJI NA KUJENGA UZALENDO HAKUNA KITU....
Force account haina shida, shida ni WATU KUKOSA UZALENDO.....
 
Safi sana ulivyoidadavua, lakini ulichoongea ni hewa tupu.
Unawezaje kujenga kwa Force Account mradi hadi wa bilioni 10 kwa kumtumia Afisa manunuzi, fundi Maiko na wasimamizi Kamati ya Ulinzi na Usalama.

Halafu leo tunashangaa TAKUKURU wanaitwa kila mradi wa Force Account!
Tunaona makosa lakini hatuelewi!!

Huu ndio ujinga usiokifani watu kujijengea uhalali wa kusimamia fedha za miradi ambapo sasa tunampa Waziri Mkuu kutembelea miradi akiambatana na TAKUKURU badala ya kusimamia proffessionals wa Project Management na Supervision.

Kwa hii hoja hata ukiamua kujitengenezea utaratibu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama kusimamia urukaji wa ndege ni sawa tu maana wanajitengenezea ulaji.

Kwa kifupi hoja hii haina mantiki wala uhalali.
Kamati za mradi na sii kamati ya ULINZI na USALAMA!!!!!

Kwani ukitumia Mkandarasi wanaoandaa nyaraka za Manunuzi Michoro, BOQ na Mikataba si ndiyo hao hao WATAALAM unaosema HAWAWEZI KUSIMAMIA?

Si ndiyo tender Documents ambazo zinatengenezwa zikiwa na MAPUNGUFU MAKUSUDI ili kila SIKU ZIZALISHE MAVARIATIONS ILI KAMPUNI NA WAHUSIKA MPIGE HELA!!!????

Ili Mkandarasi aandikiwe CERTIFICATE na Alipwe, au akabidhi mradi ni LAZIMA HAO WATAALAM WA PROCURING ENTITY wakakague, Je UKISEMA hawawezi kusimamia Force Account wataweza kumsimamia Mkandarasi mwenye utaalamu wake?

HOJA SIYO FORCE ACCOUNT, HAPA HOJA NI NYOYO ZA WIZI NA UPIGAJI!!!

BOQ inasema kitasa kiwe UNION au ORLANDO halafu wanaenda kununua MAVITASA YA OVYO HALAFU MNAKUJA KUMSINGIZIA FUNDI MAIKO; HAMUONI AIBU????

BOQ inasema hard Wood nyie mnaweka mimbao ya ovyo HALAFU MNASINGIZIA FORCE ACCOUNT!!!!!! Ovyo Kabisa!!!!!

Mnajificha kwenye shamba la karanga!!!!

Kama hoja ni kukosa maarifa na ujuzi mbonaikifika kujenga MAJUMBA YENU MNAJUA VIZURI NA VIBAYA? MNAJUA MOAKA NA RATIOS!!!!

Sheria zetu za kukabiliana na vitendo vya RUSHWA na UHUJUMU MCHUMI xina mapungufu.... kelele nyingi za force ACCOUNT ni feki na wala siyo HALISIA. .

wanasema tutumie WAKANDARASI, Shwali ni Je Mkandarasi huyu asiye MALAIKA atasimamiwa na nani ili akidhi ubora wa mradi? Mtasema tuajiri CONSULTANT amsimamie, Na huyu CONSULTANT akicollude na contractor si ndiyo TUTALIA???? maana mpaka wanasheria nguli wanao......

Jamani shida ni WATU WAMEKUWA WABINAFSI SANA.... hata ukitumia contractor watapiga tu UNLESS we rectify the core causes!!!!
 
Kamati za mradi na sii kamati ya ULINZI na USALAMA!!!!!

Kwani ukitumia Mkandarasi wanaoandaa nyaraka za Manunuzi Michoro, BOQ na Mikataba si ndiyo hao hao WATAALAM unaosema HAWAWEZI KUSIMAMIA?

Si ndiyo tender Documents ambazo zinatengenezwa zikiwa na MAPUNGUFU MAKUSUDI ili kila SIKU ZIZALISHE MAVARIATIONS ILI KAMPUNI NA WAHUSIKA MPIGE HELA!!!????

Ili Mkandarasi aandikiwe CERTIFICATE na Alipwe, au akabidhi mradi ni LAZIMA HAO WATAALAM WA PROCURING ENTITY wakakague, Je UKISEMA hawawezi kusimamia Force Account wataweza kumsimamia Mkandarasi mwenye utaalamu wake?

HOJA SIYO FORCE ACCOUNT, HAPA HOJA NI NYOYO ZA WIZI NA UPIGAJI!!!

BOQ inasema kitasa kiwe UNION au ORLANDO halafu wanaenda kununua MAVITASA YA OVYO HALAFU MNAKUJA KUMSINGIZIA FUNDI MAIKO; HAMUONI AIBU????

BOQ inasema hard Wood nyie mnaweka mimbao ya ovyo HALAFU MNASINGIZIA FORCE ACCOUNT!!!!!! Ovyo Kabisa!!!!!

Mnajificha kwenye shamba la karanga!!!!

Kama hoja ni kukosa maarifa na ujuzi mbonaikifika kujenga MAJUMBA YENU MNAJUA VIZURI NA VIBAYA? MNAJUA MOAKA NA RATIOS!!!!

Sheria zetu za kukabiliana na vitendo vya RUSHWA na UHUJUMU MCHUMI xina mapungufu.... kelele nyingi za force ACCOUNT ni feki na wala siyo HALISIA. .

wanasema tutumie WAKANDARASI, Shwali ni Je Mkandarasi huyu asiye MALAIKA atasimamiwa na nani ili akidhi ubora wa mradi? Mtasema tuajiri CONSULTANT amsimamie, Na huyu CONSULTANT akicollude na contractor si ndiyo TUTALIA???? maana mpaka wanasheria nguli wanao......

Jamani shida ni WATU WAMEKUWA WABINAFSI SANA.... hata ukitumia contractor watapiga tu UNLESS we rectify the core causes!!
 
Kamati za mradi na sii kamati ya ULINZI na USALAMA!!!!!

Kwani ukitumia Mkandarasi wanaoandaa nyaraka za Manunuzi Michoro, BOQ na Mikataba si ndiyo hao hao WATAALAM unaosema HAWAWEZI KUSIMAMIA?

Si ndiyo tender Documents ambazo zinatengenezwa zikiwa na MAPUNGUFU MAKUSUDI ili kila SIKU ZIZALISHE MAVARIATIONS ILI KAMPUNI NA WAHUSIKA MPIGE HELA!!!????

Ili Mkandarasi aandikiwe CERTIFICATE na Alipwe, au akabidhi mradi ni LAZIMA HAO WATAALAM WA PROCURING ENTITY wakakague, Je UKISEMA hawawezi kusimamia Force Account wataweza kumsimamia Mkandarasi mwenye utaalamu wake?

HOJA SIYO FORCE ACCOUNT, HAPA HOJA NI NYOYO ZA WIZI NA UPIGAJI!!!

BOQ inasema kitasa kiwe UNION au ORLANDO halafu wanaenda kununua MAVITASA YA OVYO HALAFU MNAKUJA KUMSINGIZIA FUNDI MAIKO; HAMUONI AIBU????

BOQ inasema hard Wood nyie mnaweka mimbao ya ovyo HALAFU MNASINGIZIA FORCE ACCOUNT!!!!!! Ovyo Kabisa!!!!!

Mnajificha kwenye shamba la karanga!!!!

Kama hoja ni kukosa maarifa na ujuzi mbonaikifika kujenga MAJUMBA YENU MNAJUA VIZURI NA VIBAYA? MNAJUA MOAKA NA RATIOS!!!!

Sheria zetu za kukabiliana na vitendo vya RUSHWA na UHUJUMU MCHUMI xina mapungufu.... kelele nyingi za force ACCOUNT ni feki na wala siyo HALISIA. .

wanasema tutumie WAKANDARASI, Shwali ni Je Mkandarasi huyu asiye MALAIKA atasimamiwa na nani ili akidhi ubora wa mradi? Mtasema tuajiri CONSULTANT amsimamie, Na huyu CONSULTANT akicollude na contractor si ndiyo TUTALIA???? maana mpaka wanasheria nguli wanao......

Jamani shida ni WATU WAMEKUWA WABINAFSI SANA.... hata ukitumia contractor watapiga tu UNLESS we rectify the core causes!!!!
Tumeyaona mengi HATA KWA KUWATUMIA WAKANDARASI,,

rates anazoqoute Mkandarasi ni rate za juu kuzidi market rates, tender Documents zinaandaliwa na mapungufu makusudi ili hela zipigwe, wakati wa utekelezaji ratios zinachakachuliwa, vifaa kama nondo badala ya kuweka mfano 18mm inayouzwa 50k plus zinawekwa 12mm zinazouzwa 20k plus, badala ya kuweka nondo 4 zinawekwa 3 na madudu mengine mengiii.....

Tusimamie MALI ZETU WATANZANIA VINGINEVYO HAKUNA SUNGU SUNGU WAKUTULINDIA MALI ZETU....
 
Back
Top Bottom