I mean maboreshoNakuunga mkono mkuu. Kama tukiwa wazalendo kweli huu mfumo ni mzuri na unatufaa sana kama siasa ikiwekwa kando na uzalendo kutangulizwa. Pia kufanyia mayoress vitu vidogo vidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I mean maboreshoNakuunga mkono mkuu. Kama tukiwa wazalendo kweli huu mfumo ni mzuri na unatufaa sana kama siasa ikiwekwa kando na uzalendo kutangulizwa. Pia kufanyia mayoress vitu vidogo vidogo
Yawezekana tatizo la wizi sio kubwa kama watu wanavyotaka kuliweka kuwa miradi inayotekelezwa na mfumo wa force account kuna wizi mkubwa kuliko mfumo wa kutumia wakandarasi.Siye wajuvi wa masuala ya ujenzi tulionya na kuonya, tukaambiwa tunatetea ulaji wetu.
Kuna wawakilishi wetu tuliwatuma hadi Bungeni kupinga Force Accout , lakini walibezwa kuwa makandarasi ni mafisadi wa fedhe za umma.
Sasa kazi nyingi zilifanywa kwa spidi kubwa kwa kumtumia fundi Maiko.
Madudu sasa yanaonekana wazi kwa kupata kazi iliyo chini sana katika viwango, na fedha kuliwa vibaya na wasimamizi na mabosi, kuanzia ma DED hadi Madaktari na waalimu.
Kuna waliofungwa, kama yule mwalimu huko Musoma, na wengine kesi zao ziko Mahakamani na zingine kuendelea kuchunguzwa na TAKUKURU.
Tatizo kubwa ni wanasiasa kujifikiria wana akili kubwa kuzidi zile time tested project administration methods na procedures.
Sasa hela za serikali zimeliwa na wajanja kwa vile supervision systems za kifedha na kiujenzi ni very very poor au hakuna kabisa!
Sasa hivi hata Waziri Mkuu kachoka, anatembelea miradi pamoja na TAKUKURU ikiwepo, kila mradi ni madudu ya kutosha.
Mifano michache:
-Waziri Mkuu alitembelea mradi wa hospitali huko Songea. milango ilikuwa haifungi-fundi Maiko huyo na daktari kachukuliwa na TAKUKURU
-Huko Tabora , VETA, jengo la mlinzi milioni 11, msimamizi kachukuliwa na TAKUKURU
-Huko Katavi juzi nyaraka zimechomwa moto kuficha ulaji baada ya kumtumia fundi Maiko, TAKUKURU wamepewa kibarua
-Huko Tanga Mkuu wa Mkoa kawapiga wanted ma DED wawili kwa kufanya kazi na fundi Maiko na jengo likawa ndivyo sivyo, TAKUKURU wameitwa
-Huko Ruangwa, kazi ya fundi Maiko, jengo halina madirisha wala milango, Ths 75 million imaeliwa, TAKUKURU wamepewa kazi
-Huko Ikungi fundi Maiko kajenga jengo la Tsha 500milion ndivyo sivyo, DC kawapeleka TAKUKURU
-Huko Mwanza Mkuu wa Mkoa kawaita TAKUKURU, jengo la abiria, uwanja wa ndege kujengwa chini ya viwango na kusua kusua, hela imeliwa, fundi Maiko anachekelea
Kwa sababu hata hawa wanasiasa wetu haawajui waende wapi wa kukiuka taratibu za ujenzi, inabidi wakumbushwe kuwa TAKUKURU hawana muarobaini wa namna ya kurekebisha taratibu zilizopindwa katika ujenzi
Na kosa kubwa ni hao hao wanasiasa.
Force Account kwa kumtumia fundi Maiko imeleta hasara kubwa sana kwa Taifa.
Tunaiomba serikali, hasa wanasiasa, wadhibitiwe na sheria zinazohusu sekta hii ya ujenzi.
Bodi husika za Wizara ya Ujenzi, CRB. AQRB, ERB, NCC zina kazi kubwa kuwaelimisha wanasiasa wanaoingilia kiutendaji uendeshaji wa sekta ya ujenzi.
Mkuu uelwa wako wa fani hii ya ujenzi, kama walivyo wanasiasa wengi, ni mdogo sana.Yawezekana tatizo la wizi sio kubwa kama watu wanavyotaka kuliweka kuwa miradi inayotekelezwa na mfumo wa force account kuna wizi mkubwa kuliko mfumo wa kutumia wakandarasi.
Ukweli ni kwamba Force account imepunguza/imeokoa gharama kubwa za ujenzi, kabla ya force account hakuna mkandarasi aliyekuwa anajenga darasa moja kwa milioni ishirini, hakuna mkandarasi anayeweza jenga bweni kwa milioni sabin na tano.
Yawekana tatizo ni gharama za ujenzi kupanda kulinganisha na fedha zinazotolewa kukamilisha miradi, ni ngumu kukamilisha bweni kwa asilimia 100 kwa milioni sabin na tano. Mtu anayejenga Sumbawanga gharama zake haziwezi kuwa sawa na wa Kinondoni lakini fedha za ujenzi wa madarasa zinatolewa sawa.
Hujaeleewa my point, najua kwenye ujenzi kuna QS , Architec etc.. ninacchokwambia tatizo la kutomalizika kwa miradi mingi iliyotekelezwa kwa njia ya force account kama madarasa, mabweni etc ni upungufu wa fedha zinazotolewa compared to BOQ. Hakuna QS anayeweza kutengeneza BOQ ya ujenzi wa bweni linalochukua wanafunzi 80 kwa shilingi milioni sabini na tano, hata angepewa nani hawezi.Mkuu uelwa wako wa fani hii ya ujenzi, kama walivyo wanasiasa wengi, ni mdogo sana.
Kazi ya ujenzi si mkandarasi peke yake anayeweza kuathiri gharama za ujenzi.
Ni wale wasiojua tu ndio utawaona wakikazana kumtazama mkandarasi badala ya kuitazama Team nzima ya Client, Architect/Designer, Engineer, Quantity Surveyors, Supervision Staff na wataalam wengine.
Ndiyo maana watu kama ninyi mnaulizwa kwanini mstitekeleza miradi mikubwa kama ya SGR na Bwawa la Mwalimu Nyerere, mnaaza kuhesabu nyote za mbiguni!!
Exactly.Ulaji mwingine wamesogezewa hao wanaoambia KAMATA HAO
Yaani nchi inakatwa vipande vipande na haviungiki tu
Hapo kwa kibKumtumia Mkandarasi si ndiyo hayo ya kibanda cha mabati 15m? NI LAZIMA TUJENGE UZALENDO....
PROCURING ENTITIES zina Wataalam wa mipango, fedha, Manunuzi, sheria, uhandisi.... je ni kipi ambacho kinashindikana kwenye Force Account?
Kamati ya usimamizi ipo chini ya ushauri wa MHANDISI wa PROCURING ENTITY wakati mwingine YEYE ndiye katibu wa kamati
Manunuzi wanashauriwa na AFISA MANUNUZI wa PROCURING ENTITY wakati mwingine YEYE ndiye katibu wa kamati
Kamati ya UKAGUZI na mapokezi wanashauriwa na Mjandisi [technical specifications] na AFISA Manunuzi [nyaraka na raratibu] na wakati wataalam hawa ni wajumbe wa hizi kamati..
Shida siyo KAMATI KUKOSA UELEWA, SHIDA NI UPIGAJI NA KUKOSA UZALENDO!!!!
Mbona majengo BINAFSI WANAJENGO tena mtu moja bila Kamati???? Hatujiulizi hili???
Hata tukitumia Kampuni ni YALE YALE TU!!! Panapohitajika condo 18mm mtakubaliana mnaweka 12mm, panapohitaji condo 5 mtaweka 3, Paso OP ohitaji clearing, cut an feel mtaeeka imefanyika!!!
All in all bila kudhibiti UPIGAJI NA KUJENGA UZALENDO HAKUNA KITU....
. Muu I mada mbili tofauti. Hapa tuna force accountAsante sana kwa ufafanuzi.
Nchi hii itapona pale tu pale kitengo cha manunuzi na ugavi, procurement and supply unit, kitakaporejeshwa kwenye mikono safi ya wananchi.
Hiki kitengo, kinaitafuna nchi.
Utaachaje kujadili Force Account bila kutaja Procuring entities alizotaja Ndugu Maria Nyedetse ? Hapa ni muhimu kuitazama mada kwa jicho la tatu Mkuu.Hapo kwa kib
. Muu I mada mbili tofauti. Hapa tuna force account
. MKuu hakuna nafuu. Vitu vingi viko substandard, hapo ni hesabu ya materials na fundi tu. Key staff wote pamoja na cost za usafiri zinatoka serikalini/municipal. Hakuna kodi hapo (withholding tax) wala VAT.Yawezekana tatizo la wizi sio kubwa kama watu wanavyotaka kuliweka kuwa miradi inayotekelezwa na mfumo wa force account kuna wizi mkubwa kuliko mfumo wa kutumia wakandarasi.
Ukweli ni kwamba Force account imepunguza/imeokoa gharama kubwa za ujenzi, kabla ya force account hakuna mkandarasi aliyekuwa anajenga darasa moja kwa milioni ishirini, hakuna mkandarasi anayeweza jenga bweni kwa milioni sabin na tano.
Yawekana tatizo ni gharama za ujenzi kupanda kulinganisha na fedha zinazotolewa kukamilisha miradi, ni ngumu kukamilisha bweni kwa asilimia 100 kwa milioni sabin na tano. Mtu anayejenga Sumbawanga gharama zake haziwezi kuwa sawa na wa Kinondoni lakini fedha za ujenzi wa madarasa zinatolewa sawa.
Maria analeta vitu tofauti. Hoja kubwa hapa ni force account imevuka malengo yake ya kuanzishwaUtaachaje kujadili Force Account bila kutaja Procuring entities alizotaja Ndugu Maria Nyedetse ? Hapa ni muhimu kuitazama mada kwa jicho la tatu Mkuu.
Karibu.
Force Account bila kuwa na system ya kufanya checks Ni kazi bure,kwanza majengo mengi hayakidhi viwango vya ubora..Siye wajuvi wa masuala ya ujenzi tulionya na kuonya, tukaambiwa tunatetea ulaji wetu.
Kuna wawakilishi wetu tuliwatuma hadi Bungeni kupinga Force Accout , lakini walibezwa kuwa makandarasi ni mafisadi wa fedhe za umma.
Sasa kazi nyingi zilifanywa kwa spidi kubwa kwa kumtumia fundi Maiko.
Madudu sasa yanaonekana wazi kwa kupata kazi iliyo chini sana katika viwango, na fedha kuliwa vibaya na wasimamizi na mabosi, kuanzia ma DED hadi Madaktari na waalimu.
Kuna waliofungwa, kama yule mwalimu huko Musoma, na wengine kesi zao ziko Mahakamani na zingine kuendelea kuchunguzwa na TAKUKURU.
Tatizo kubwa ni wanasiasa kujifikiria wana akili kubwa kuzidi zile time tested project administration methods na procedures.
Sasa hela za serikali zimeliwa na wajanja kwa vile supervision systems za kifedha na kiujenzi ni very very poor au hakuna kabisa!
Sasa hivi hata Waziri Mkuu kachoka, anatembelea miradi pamoja na TAKUKURU ikiwepo, kila mradi ni madudu ya kutosha.
Mifano michache:
-Waziri Mkuu alitembelea mradi wa hospitali huko Songea. milango ilikuwa haifungi-fundi Maiko huyo na daktari kachukuliwa na TAKUKURU
-Huko Tabora , VETA, jengo la mlinzi milioni 11, msimamizi kachukuliwa na TAKUKURU
-Huko Katavi juzi nyaraka zimechomwa moto kuficha ulaji baada ya kumtumia fundi Maiko, TAKUKURU wamepewa kibarua
-Huko Tanga Mkuu wa Mkoa kawapiga wanted ma DED wawili kwa kufanya kazi na fundi Maiko na jengo likawa ndivyo sivyo, TAKUKURU wameitwa
-Huko Ruangwa, kazi ya fundi Maiko, jengo halina madirisha wala milango, Ths 75 million imaeliwa, TAKUKURU wamepewa kazi
-Huko Ikungi fundi Maiko kajenga jengo la Tsha 500milion ndivyo sivyo, DC kawapeleka TAKUKURU
-Huko Mwanza Mkuu wa Mkoa kawaita TAKUKURU, jengo la abiria, uwanja wa ndege kujengwa chini ya viwango na kusua kusua, hela imeliwa, fundi Maiko anachekelea
Kwa sababu hata hawa wanasiasa wetu haawajui waende wapi wa kukiuka taratibu za ujenzi, inabidi wakumbushwe kuwa TAKUKURU hawana muarobaini wa namna ya kurekebisha taratibu zilizopindwa katika ujenzi
Na kosa kubwa ni hao hao wanasiasa.
Force Account kwa kumtumia fundi Maiko imeleta hasara kubwa sana kwa Taifa.
Tunaiomba serikali, hasa wanasiasa, wadhibitiwe na sheria zinazohusu sekta hii ya ujenzi.
Bodi husika za Wizara ya Ujenzi, CRB. AQRB, ERB, NCC zina kazi kubwa kuwaelimisha wanasiasa wanaoingilia kiutendaji uendeshaji wa sekta ya ujenzi.
Hapo ndipo mleta mada anapohoji yaani darasa litakalojengwa Wilaya ya Tanganyika liwe na cost sawa na darasa litakalojengwa Mchikichini Wilaya ya Ilala? Nabado watetezi wa force account wanaona iko sawa tuHujaeleewa my point, najua kwenye ujenzi kuna QS , Architec etc.. ninacchokwambia tatizo la kutomalizika kwa miradi mingi iliyotekelezwa kwa njia ya force account kama madarasa, mabweni etc ni upungufu wa fedha zinazotolewa compared to BOQ. Hakuna QS anayeweza kutengeneza BOQ ya ujenzi wa bweni linalochukua wanafunzi 80 kwa shilingi milioni sabini na tano, hata angepewa nani hawezi.
Serikali isipo pump pesa kwa services providers uchumi wa inchi uyumba sanaForce account sio mbaya mradi mingi imetekelezwa vizuri sana,wanakula ila sio sana kama nyie
Point ya Maria anasema Force Account haina matatizo, matatizo yapo kwenye procuring entities ambazo ni kiungo muhimu katika kusimamia account hiyo Pamoja na wasimamizi wanaotumia Force Account kutekeleza miradi.Maria
Maria analeta vitu tofauti. Hoja kubwa hapa ni force account imevuka malengo yake ya kuanzishwa
Nyie vichwa wazi mnashauriwa mkajenge SGR kwa force akaunti, mnajishaua hapa.Point ya Maria anasema Force Account haina matatizo, matatizo yapo kwenye procuring entities ambazo ni kiungo muhimu katika kusimamia account hiyo Pamoja na wasimamizi wanaotumia Force Account kutekeleza miradi.
Kwa muhitasari, nimemuelewa hivyo Maria.
Hii ni mbinu ilitengenezwa ya kuchepusha fedha za Serikali na viongozi wetu wakapelekewa uongo kwamba eti miradi inajengwa kwa gharama nafuuu kumbe ni chain ilitengenezwa ya ulaji na mwisho wa siku akosekane wa kuwajibika moja kwa moja kila mmoja anamsingizia mwenzakeSiye wajuvi wa masuala ya ujenzi tulionya na kuonya, tukaambiwa tunatetea ulaji wetu.
Kuna wawakilishi wetu tuliwatuma hadi Bungeni kupinga Force Accout , lakini walibezwa kuwa makandarasi ni mafisadi wa fedhe za umma.
Sasa kazi nyingi zilifanywa kwa spidi kubwa kwa kumtumia fundi Maiko.
Madudu sasa yanaonekana wazi kwa kupata kazi iliyo chini sana katika viwango, na fedha kuliwa vibaya na wasimamizi na mabosi, kuanzia ma DED hadi Madaktari na waalimu.
Kuna waliofungwa, kama yule mwalimu huko Musoma, na wengine kesi zao ziko Mahakamani na zingine kuendelea kuchunguzwa na TAKUKURU.
Tatizo kubwa ni wanasiasa kujifikiria wana akili kubwa kuzidi zile time tested project administration methods na procedures.
Sasa hela za serikali zimeliwa na wajanja kwa vile supervision systems za kifedha na kiujenzi ni very very poor au hakuna kabisa!
Sasa hivi hata Waziri Mkuu kachoka, anatembelea miradi pamoja na TAKUKURU ikiwepo, kila mradi ni madudu ya kutosha.
Mifano michache:
-Waziri Mkuu alitembelea mradi wa hospitali huko Songea. milango ilikuwa haifungi-fundi Maiko huyo na daktari kachukuliwa na TAKUKURU
-Huko Tabora , VETA, jengo la mlinzi milioni 11, msimamizi kachukuliwa na TAKUKURU
-Huko Katavi juzi nyaraka zimechomwa moto kuficha ulaji baada ya kumtumia fundi Maiko, TAKUKURU wamepewa kibarua
-Huko Tanga Mkuu wa Mkoa kawapiga wanted ma DED wawili kwa kufanya kazi na fundi Maiko na jengo likawa ndivyo sivyo, TAKUKURU wameitwa
-Huko Ruangwa, kazi ya fundi Maiko, jengo halina madirisha wala milango, Ths 75 million imaeliwa, TAKUKURU wamepewa kazi
-Huko Ikungi fundi Maiko kajenga jengo la Tsha 500milion ndivyo sivyo, DC kawapeleka TAKUKURU
-Huko Mwanza Mkuu wa Mkoa kawaita TAKUKURU, jengo la abiria, uwanja wa ndege kujengwa chini ya viwango na kusua kusua, hela imeliwa, fundi Maiko anachekelea
Kwa sababu hata hawa wanasiasa wetu haawajui waende wapi wa kukiuka taratibu za ujenzi, inabidi wakumbushwe kuwa TAKUKURU hawana muarobaini wa namna ya kurekebisha taratibu zilizopindwa katika ujenzi
Na kosa kubwa ni hao hao wanasiasa.
Force Account kwa kumtumia fundi Maiko imeleta hasara kubwa sana kwa Taifa.
Tunaiomba serikali, hasa wanasiasa, wadhibitiwe na sheria zinazohusu sekta hii ya ujenzi.
Bodi husika za Wizara ya Ujenzi, CRB. AQRB, ERB, NCC zina kazi kubwa kuwaelimisha wanasiasa wanaoingilia kiutendaji uendeshaji wa sekta ya ujenzi.