Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Wazo la nne
Si hata wazo la msingi sana, hahaa. Sijui niandike nini, lkn nachotaka kumaanisha ni usiwe mchoyo, kama kuna rafiki yako wa faida unahisi inabidi aone huu uzi usisite kumtag.

Ni bora tukaepuka kuQuote huu uzi, ni mrefu sana sana, yani ukiquote unatusumbua sana ambao tunatumia simu na gadgets zingine ndogo ndogo.

Karibuni kwaaliji ya ku discuss.

uwe unanishtua mkuu
 
Yah, uzuri ni kuwa baadhi ya masomo tutayaskip. Somo kama la kuhandle pressure ya kuchoma account hili tayari tuna experience ya kutosha toka upande ule.

Heeeehhehe.

Hahahah mimi nishachoma sana account
Yaani kuhusu stress mie zishaniishaga zamani labda
 
Mkuu hao 300 wanapatikanaje au ndo utatoa mwaliko baadae?
 
Nimeisikia issue ya forex muda, nilitambulishwa na jamaa yangu mmoja ila nilikuwa mvivu wa kusoma na kufata zile protocal zake nikaona njia fupi ni betting.
Ila kwenye forex nitakuunga mkono ikitokea nikawa mmoja wa hao 300 nadhani kuna mengi nitajifunza

Kuna jamaa mmoja anatrade tulipanga enda Bondeni kwenye semina ila akazingua natumai kwenye hii yako sitakosa
 
ONTARIO Mungu azidi kukubariki, kukuongezea maarifa na hekima kwa kutushirikisha elimu na maarifa haya bure. Kazi zako zifanikiwe na akupe nguvu za kushinda changamoto unazopambana nazo.

Pili, kama hautajali sana, naomba majina ya vile vitabu sita ulivyopewa na MLU.

Ubarikiwe
 
ONTARIO count me IN SIR....Nimekua nikijitahidi kusoma hiii biashara lakini bado sijapata mwanga, i nee ur help....am a fighter...

please let me know how to apply for this.
 
Mi ombi langu nikuwa among of that member ambao wataandaliwa ili kupata mafunzo na then wakayaeneze mafunzo ... Amin

But Thanks a lot for your subject Bro always you inspired me a lot Bro , God bless you
 
Hivi wote tukikimbilia kufanya biashara ya Forex atanunua nani? Isitoshe sijaona nadharia ya kufanya biashara hii hapa kwetu Tz penye uchumi dhaifu usiokuwa na transactions nying za pesa za kigeni. S. Africa wana maviwanda (I doubt if they're not neuclear power) hivyo na mzunguko wake ni babu kubwa. Pale OR Tambo International airport kuna ndege zirukazo na kutua every passing minute from big cities all over the world. Huku kwetu angalia hata London kwenyewe huwezi kwenda moja kwa moja lazima uunganishe sehemu nyingine, hiyo biashara ya forex waachie wajukuu zenu, nyie kwanza fikirieni kulima chakula cha kuwatosha, tuwe na umeme wa uhakika, maji matibabu nk.
Sio bureau de change bali forex
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom