Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
ONTARIO....still waiting brother..na shauku ya kujua zaidi about this
 

uwe unanishtua mkuu
 
Yah, uzuri ni kuwa baadhi ya masomo tutayaskip. Somo kama la kuhandle pressure ya kuchoma account hili tayari tuna experience ya kutosha toka upande ule.

Heeeehhehe.

Hahahah mimi nishachoma sana account
Yaani kuhusu stress mie zishaniishaga zamani labda
 
Mkuu hao 300 wanapatikanaje au ndo utatoa mwaliko baadae?
 
Nimeisikia issue ya forex muda, nilitambulishwa na jamaa yangu mmoja ila nilikuwa mvivu wa kusoma na kufata zile protocal zake nikaona njia fupi ni betting.
Ila kwenye forex nitakuunga mkono ikitokea nikawa mmoja wa hao 300 nadhani kuna mengi nitajifunza

Kuna jamaa mmoja anatrade tulipanga enda Bondeni kwenye semina ila akazingua natumai kwenye hii yako sitakosa
 
ONTARIO Mungu azidi kukubariki, kukuongezea maarifa na hekima kwa kutushirikisha elimu na maarifa haya bure. Kazi zako zifanikiwe na akupe nguvu za kushinda changamoto unazopambana nazo.

Pili, kama hautajali sana, naomba majina ya vile vitabu sita ulivyopewa na MLU.

Ubarikiwe
 
ONTARIO count me IN SIR....Nimekua nikijitahidi kusoma hiii biashara lakini bado sijapata mwanga, i nee ur help....am a fighter...

please let me know how to apply for this.
 
Mi ombi langu nikuwa among of that member ambao wataandaliwa ili kupata mafunzo na then wakayaeneze mafunzo ... Amin

But Thanks a lot for your subject Bro always you inspired me a lot Bro , God bless you
 
Sio bureau de change bali forex
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…