Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kunamchizi aliwai kunielezea mwakajuzi hapa A town bt nilchukuliapoa cos niliona mambo yakizungu namimi sijui kizungu fresh bro kesho naenda kulipa ada kwa ras simba naamini baada ya miezi mitatu minawewe tutuwsiliana kumbe kunamadini yaainanyingi duniani tht why wanatubania elimu
 
in real Scenario, katika soko halisi, Buy ni kwenda Long na Sell ni kwenda short.
Hii kitu bado inanichanganya kidogo, hivi unaweza kupata faida kwa ku buy pair currency pekee na utaipataje? ama ni mpaka u sell ndio uione profit?
 
Observation yangu ni kwamba asilimia 99 hapa hawatafanikiwa. Na sababu ni moja tu kukosa umakini katika maamuzi na kukurupuka kufanya major decisions. There is money inForex but you have to be ready to stretch your brain to earn it. Sio pata potea tu... Watu wapo na ile illusion ya kupiga pesa ndefu tu they don't care much about mchakato. Kuna watu wakakimbilia kufungua accounts za dummy haraka haraka. Mwingine anasema haelewi elewi yaani kajikuta ana dola 50000 kwenye demo. Sasa mtu kama huyu akiweka hela si ataliwa kirahisi tu maana anaingia kwa kubahatisha. Asilimia 99 hapa watacheza hii kama kamari hapo ndo watalia badala ya kujifunza nini cha kufanya..
 
Nimepitia comment za watu i real excieted kwamba mwamuko wa watu upo ila watuu waache pupa tuuu kwrnyr maisha hujawahi wala hujachelewa bahati ya mtu iko pale pale no matter ni katika umri gani a.k.a forgner the don.
 
Observation yangu ni kwamba asilimia 99 hapa hawatafanikiwa. Na sababu ni moja tu kukosa umakini katika maamuzi na kukurupuka kufanya major decisions. There is money inForex but you have to be ready to stretch your brain to earn it. Sio pata potea tu... Watu wapo na ile illusion ya kupiga pesa ndefu tu they don't care much about mchakato. Kuna watu wakakimbilia kufungua accounts za dummy haraka haraka. Mwingine anasema haelewi elewi yaani kajikuta ana dola 50000 kwenye demo. Sasa mtu kama huyu akiweka hela si ataliwa kirahisi tu maana anaingia kwa kubahatisha. Asilimia 99 hapa watacheza hii kama kamari hapo ndo watalia badala ya kujifunza nini cha kufanya..
Mkuu labda niseme wewe ndio una pupa, maana umeshindwa kutambua kua asilimia 99 ya wachangiaji bado ni infants yani wanajifunza. Ukiwa mwalimu, kisha mwanafunzi wako analeta homework 1+1=11, hauwezi ukasema kua hawezi kufanikiwa kwa kosa ambalo ni very obvious kwa mwanafunzi.

Mimi kwasababu nimepita wanapopita 99% ya wachangiaji, naeza sema most of these guys will turn into profitable traders. Naamini wakimaliza vitabu, then wakaja training, then tukaanza kutrade live sidhani kama msemo wako wa 'asilimia 99 hawatafanikiwa' utakua na uhalisia. Wapo stage ya awali kabisa ya kujifunza - huu uzi hauna ht nusu mwezu, kuangaika na demo, kuopen na kuclose positions bila msaada, ni curiosity yao na ni dalili nzuri ya mwanafunzi makini. Hakuna mtu aliyeweza kuwa profitable trader kwa trade yake ya kwanza tena bila mentor - hata wall street huyo mtu hayupo.

Ndio forex si rahisi, but you only need 2 things 1. Right information 2. Right mentors.

Tuwape muda boss.
 
What is leverage?
It is a simplest form,leverage is dept.To use leverage means to use borrowed funds to reap a greater gain than is otherwise possible.When a company or an investiment uses leverage.It means it takes an dept to achieve a goal faster than it is able to with equit capital alone.
(Kwa ufupi ni mkopo unao uchukua then unautumia kupata faida zaidi kwa mabenki yetu hayo ndo kile alichokisema mtaalamu mwenyewe Antonio kuwa wanatumia fixed account zetu sisi tunao wapa pesa then wanaitumia kupiga pesa zaidi.
 
Umesema vyema this is not get rich scheme wewe fikiria benki inakuwa na super computer na alogarithm za kutosha bado wanachemsha ni vyema ukaweka psych yako vizuri sana kabla ujafanya hii kitu nina uzoefu kama nilivyosema wa miaka kumi so ninajua kwa kiasi fulani nini ninazungumza hii ni one of my projection software ninayoitumia angalia trade katika timeframe tofauti halafu fikiria ungechukua hizo ingikuwaje kuna ambazo zimetengeneza loss ila ukweli faida lazima iwe kubwa kuliko loss na nyingine hazikutrigger ingawa indicator ilionyesha. Ontario unda hata meeting group hata la skype tuwe tunafundisha online kwa wakati ambao sio busy kama saa hizi kwa saa moja kwa watu wanataka kujifunza naomba tuchague tufanye skype au google hangout ngoja nikaangalie zile headphone za kutangazia kwenye ndege kwanza.
EUR usd 4 hours.JPG
Eurjpy 5 minutes.JPG
GBP usd one hour.JPG
usdjpy  5 minutes.JPG



Observation yangu ni kwamba asilimia 99 hapa hawatafanikiwa. Na sababu ni moja tu kukosa umakini katika maamuzi na kukurupuka kufanya major decisions. There is money inForex but you have to be ready to stretch your brain to earn it. Sio pata potea tu... Watu wapo na ile illusion ya kupiga pesa ndefu tu they don't care much about mchakato. Kuna watu wakakimbilia kufungua accounts za dummy haraka haraka. Mwingine anasema haelewi elewi yaani kajikuta ana dola 50000 kwenye demo. Sasa mtu kama huyu akiweka hela si ataliwa kirahisi tu maana anaingia kwa kubahatisha. Asilimia 99 hapa watacheza hii kama kamari hapo ndo watalia badala ya kujifunza nini cha kufanya..
 
Please wakuu list ya vitabu ambavyo tunatakiwa tusome kwaajili ya hii kitu forex
 
Mkuu labda niseme wewe ndio una pupa, maana umeshindwa kutambua kua asilimia 99 ya wachangiaji bado ni infants yani wanajifunza. Ukiwa mwalimu, kisha mwanafunzi wako analeta homework 1+1=11, hauwezi ukasema kua hawezi kufanikiwa kwa kosa ambalo ni very obvious kwa mwanafunzi.

Mimi kwasababu nimepita wanapopita 99% ya wachangiaji, naeza sema most of these guys will turn into profitable traders. Naamini wakimaliza vitabu, then wakaja training, then tukaanza kutrade live sidhani kama msemo wako wa 'asilimia 99 hawatafanikiwa' utakua na uhalisia. Wapo stage ya awali kabisa, hakuna mtu aliyeweza kuwa profitable trader kwa trade yake ya kwanza tena bila mentor - hata wall street huyo mtu hayupo.

Ndio forex si rahisi, but you only need 2 things 1. Right information 2. Right mentors.

Tuwape muda boss.
Haya all the best na harakati zako. Wewe unajua kila kitu sisi viazi ngoja tunyamaze tukuache wewe mwenye akili kutuzidi uongee.
 
Ndio nasoma kitabu .....Eeh Mungu nichague mwenyewe kwenye watu 150 wa mwanzo
 
Haya all the best na harakati zako. Wewe unajua kila kitu sisi viazi ngoja tunyamaze tukuache wewe mwenye akili kutuzidi uongee.
Bro kama unakwenda mbali vile. Challenges hazikosekani kwenye jambo lolote lile, hapo mmetofautiana mitazamo tu maana everybody perceive things from own perspective. Binafsi nimependa conclusion yake "Tuwape Muda".
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom