Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Jaman nimesoma kitabu ingawaje sijamaliza Ila nmejaribu kupractice dooh nimekula loss mpaka basi,mwenye uelewe kidogo anisaidie au Kama kuna group la WhatsApp Naomba mni add
Tatizo lako una haraka ya kupata hela matokeo yake unaharakisha kupoteza hela, jiulize kwann umepata loss, tatizo watu wanataka kujaribu kama kweli hawataki kuujaribu ukweli. Rudia kusoma Mkuu usife moyo.
 
Hujui uingereza wanaanza uchaguzi karibuni??

Acha tuu mkuu, ukijumlisha uchaguzi na milipuko ya mabomu ya siku za karibuni. Ila ndiyo trials zenyewe hizi. Nilisoma sehemu kuwa hii pair ni most volatile of all pairs, nikataka kujiridhisha na kujaribu. aisee kilichonikuta ndo hicho. Ila ndo part ya mafunzo ya practical hiyo.
 
Ni kitu kizuri sana Kaka, MUNGU akubariki kwa moyo wako. Naomba nami kwenye hilo hiyo offer ya watu 300
 
Amesema watu 150 kwa awamu ya kwanza, darasa la washiriki 50x3. Someni na comments zingine kuna elimu kubwa san. Naona maombi ya 1st 300 hayaishi!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom