Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Sinza wana branch pia..
Shukrani mkuu!! Je base currency ya account unashauri ipi?? Na lot size ni ipi nzuri kwa kuanza??

Na ukiwa una trade ni lazima moja iishe ndio uanze ingine?? Haifai kuweka multiple trades?? Mfano na buy...then naanza ingine ya ku buy au kusell!?
 
Habari wana jamvi!

Sitaki kutia maneno mengi maana kila kitu kinaonekana kwa picha!! KWA KIFUPI NI DEMO ACCOUNT NOT REAL!

Nilichojifunza lazima uwe msomaji mzuri wa graphs na uwe mtulivu na ujue kuhimili mihemko yako!!

Kingine ni kwamba....EUR/USA nimeikubali sanaaaa!!

Kitu nnajiuliza kama ndani ya siku moja nimeingiza huo mshiko je ndani ya mwaka au mwezi ntakua wapi???

Initial deposity ilikua 1m dola. Assume ningekua na dola 1000 cash kwenye real account, maana hapo faida ingekua dola 111.5 ndani ya siku moja!!

Haya 111.5 tukiipeleka kwenye Tsh inakua kama laki mbili unusu hivi!! Hii ni ndani ya SIKU MOJA TU!! Sijatoka jasho ila presha ya kupanda na kushuka ilinihusu hahahaaa!!

Kwa mwezi almost itachezea wastani wa 7mil !!! Duuh nimekumbuka magu alisema analipwa 9mil japo mpaka leo hajatoa salary slip yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1]

Sasa nna maswala machache hapa!!

Je ni benki gani wanaweza nifaaa kwenye hii forex??? BENKI GANI HAWANA USUMBUFU??

This thing is real wakuu!!

KARIBUNI TUENDELEE KUJIFUNZA!!

36106ed262f3c00408591bb5c984dd4e.jpg

50c497ed53ea23a7481cc608518182cb.jpg
0c1a3f5100389323a7c64f3feb7546b5.jpg
App gani hiyo??
 
Binafsi natumia FNB toka 2015. Wapo vizuri. Hela yako unaipata kwa wakati..
Nataka niwajaribu na Standard Chartered nione huduma zao zipoje..
Diversifying my portifolio..
Habari mkuu. Naomba kufahamua haya.
  • Je card inatakiwa iwe kwenye TZS au USD?

  • FNB wana kadi tofauti tofauti, kati ya hizi ipi unashauri?
    - Smart Gold
    - Gold
    - Platinum
Ahsante
 
Habari mkuu. Naomba kufahamua haya.
  • Je card inatakiwa iwe kwenye TZS au USD?

  • FNB wana kadi tofauti tofauti, kati ya hizi ipi unashauri?
    - Smart Gold
    - Gold
    - Platinum
Ahsante

Card yeyote inayosupport online purchasing hata ile yako ya Bank ABC unayoweka cash. Kwa FNB hata ukiwa na Smart Gold nayo inafaa tu bila shida. Kwasababu hata ukiwa unaweka hela kwenye account yako ya kutrade unaweza tumia Skrill, Netteler au Paypal, huwa natumia hizo kwa usalama wa card yangu.
Account ikiwa ya Tsh sio mbaya.
Generally, ni kama unafanya online transactions. Wanakata hela yao ambayo wanai convert kwenda USD inapoingia kwenye account yako.
 
Shukrani mkuu!! Je base currency ya account unashauri ipi?? Na lot size ni ipi nzuri kwa kuanza??

Na ukiwa una trade ni lazima moja iishe ndio uanze ingine?? Haifai kuweka multiple trades?? Mfano na buy...then naanza ingine ya ku buy au kusell!?
Base ya currency sijakuelewa unamaanisha nini hapo..
Unaweza kuweka multiple trades kukiwa na lot size tofauti pia.
Ila kwa kuanzia anza na lot ya 0.01.. Ukiwa na trades nyingi zitakuchanganya, utashindwa kuzimanage. Ukishakuwa pro ndo uanze kuwa na trades nyingi at the same time..
Go slow bro.
 
Mkuu tafadhali ndugu yangu ONTARIO niwepo na mimi 0624 012 321

Mkuu mwingine 0762 860 416

Shukrani mkuu
 
Mkuu uko sahihi! Lakin kwa huo mkwanja ningekua na akaunt yenye dola 100 maana kwa jana ningepata 11 USD! JE NI NDOGO??

Kwa wastan wa dola 11 kwa siku maana ni 25000 tsh...kwa mwezi ni almost 750,000/=! JE KWA MTU WA KAWAIDA NI NDOGO???

Hapo ukiwa na hiyo usd 200 ina maana una 1mil +++ per month!! Bado si mbaya mkuu!

Te rule of thumb is...ukiwa na lot size kubwa unakuwa na possibility ya ku earn more!! Lakin hata kama una hiyo dola 200 uki apply leverage bado u gonna make it!!

Karibu!
Kama umepiga approximation kwamba 11USD/TSH.25,000 X SIKU 30= Tsh.750,000 profit kiuhalisia nadhani hesabu haitokuwa sahihi maana weekend FOREX market inakuwa closed so siku almost 8(2daysx4weeks of a month) hauto trade.Atleast kwa uelewa nilionao kwa sasa
 
Kama umepiga approximation kwamba 11USD/TSH.25,000 X SIKU 30= Tsh.750,000 profit kiuhalisia nadhani hesabu haitokuwa sahihi maana weekend FOREX market inakuwa closed so siku almost 8(2daysx4weeks of a month).Atleat kwa uelewa nilionao kwa sasa
Nice observation!!! Thanks kwa kunikumbisha!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom