I can't recommend exactly.asante kwa ufafanuzi japo broker nnayemtumia kwenye demo account yangu anatumia currency instead of pips kuonyesha trailing stop. (forgive my ignorance) so sijakupata kikamilifu ila nashukuru.
can you recommend a good broker for an amateur like me?
Pips na currencies ni the same tu mkuu.muda mwingine SL huwa inaanzia mbali sana for eg inaweza anzia -20usd, why does this happen mate?
nawasilisha
thanks alot, nitaleta mrejesho wengine pia waelewe.Pips na currencies ni the same tu mkuu.
Mwingine anaweza kukwambia lot size ni $100,000. Au $400,000. Ukizoea huo mfumo itakuwa rahisi kujua hiyo ni lot ya ngapi.
Fanya mazoezi ujue hiyo ni lot ya ngapi..
Sometimes ni necessary kutokana na maono yako.SL na TP nimeshazimaster vizuri mkuu Bavaria , so trailing stop sio necessary?
Mungu akubariki ndugu, so trailing stop is an automatic adjustment while SL is manual.. na hiyo imenitokea majuzi kwenye OIL ilipanda live result ikaingia kwenye profit ila nikaingiwa na tamaa nikapandisha TP nikijua itapanda baadae inaniletea notification eti imeshuka imegonga stop loss.. I had to reset the accountSometimes ni necessary kutokana na maono yako.
Tuseme umeweka SL ya -20 na TP ya 100.
Baada ya muda trade yako imefika labda pips 87 baada ya muda ukagundua kwamba umetega kwenye consolidation zone.
Ikageuka hadi ika hit SL yako ya -20. Lazima ujilaumi kwasababu ulikuwa una uwezo wa kusogeza SL yako hadi 80 ukawa umetengeneza Profit ya 80 pips then hata ikigeuka hutakuwa na hasara..
aisee ni kweli ila demo ni demoHabari wana jamvi!
Sitaki kutia maneno mengi maana kila kitu kinaonekana kwa picha!! KWA KIFUPI NI DEMO ACCOUNT NOT REAL!
Nilichojifunza lazima uwe msomaji mzuri wa graphs na uwe mtulivu na ujue kuhimili mihemko yako!!
Kingine ni kwamba....EUR/USA nimeikubali sanaaaa!!
Kitu nnajiuliza kama ndani ya siku moja nimeingiza huo mshiko je ndani ya mwaka au mwezi ntakua wapi???
Initial deposity ilikua 1m dola. Assume ningekua na dola 1000 cash kwenye real account, maana hapo faida ingekua dola 111.5 ndani ya siku moja!!
Haya 111.5 tukiipeleka kwenye Tsh inakua kama laki mbili unusu hivi!! Hii ni ndani ya SIKU MOJA TU!! Sijatoka jasho ila presha ya kupanda na kushuka ilinihusu hahahaaa!!
Kwa mwezi almost itachezea wastani wa 7mil !!! Duuh nimekumbuka magu alisema analipwa 9mil japo mpaka leo hajatoa salary slip yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1]
Sasa nna maswala machache hapa!!
Je ni benki gani wanaweza nifaaa kwenye hii forex??? BENKI GANI HAWANA USUMBUFU??
This thing is real wakuu!!
KARIBUNI TUENDELEE KUJIFUNZA!!
Pandisha TP na SL at the same time. Hata ikirudi unakuwa umelock profit yako..Mungu akubariki ndugu, so trailing stop is an automatic adjustment while SL is manual.. na hiyo imenitokea majuzi kwenye OIL ilipanda live result ikaingia kwenye profit ila nikaingiwa na tamaa nikapandisha TP nikijua itapanda baadae inaniletea notification eti imeshuka imegonga stop loss.. I had to reset the account
Bavaria we unae mentor?!Kuwa na mentor ni sawa na mama ako anapokushika mkono unapojaribu kusimama na kuanza kutembea.. Kwahiyo, yeye anakuongoza kwenye kila kitu kwenye forex.
Broker hawezi kufanya hiyo biashara ya kukukopesha hela hata siku moja..
Naona mkuu unafanya scalping moja ya hatari hahahaaa.....sijui kwenye trades inakuaje, ila kimahesabu, ukifanya scalping 20 kwa lot size ya 0.05, kuna tofauti gani na ukiweka standard lot?Psychology ni kitu muhimu zaidi ktk forex, tamaa, pupa, overconfidence na hofu havijawahi kumwacha mtu salama katika forex. Kitu ambacho mentor wako atakusaidia ni kukupa hints kuhusu jinsi ya kujicontrol kisaikolojia. Mfn wiki iliyopita yote nilikua busy sana lkn bado nikawa ninatrade, nikaongea na mentor wangu akanishauri nisifanye tena huo ujing@, ni vzr mtu atrade akiwa ameconcentrate kwa zaidi ya asilimia 99.
So, alichonishauri alinambia "Ontario km hauwezi kukaa bila kutrade, basi cha kufanya usitumia account yako kubwa, fungua account nyingine, amisha pesa kidg kwenye hiyo account ndogo kisha utrade huko, hata kama nikifanya makosa basi nitakua nimepoteza pesa ndogo. J3 nikafungua account nikaeka kama mil 2 Tsh, jana nikaanza kuitrade, percent ya nikichokipata ni tofauti kbs na ile ambayo nilikua napata nikiwa na account kubwaHii ni jana 06/06/2017 nikiweka 958 nikagonga km 320, saa 7 mchana tu nimefunga ofisi, nina uhakika wa wese la mwezi mzm.
Swali la 2: nimeona watu wengi wakisema broker anakopesa... hicho kitu hakipo!! Broker akukopeshe kwa misingi ipi?! Kinachotokea ni kwamba kuna kitu kinaitwa leverage, au tuseme lot size - yani hiki ni unit fulani inayokuwezesha kutrade pesa kiasi kikubwa cha pesa hata kama account yako ina pesa ndogo. Kadri unavyotumia lot size kubwa ndio faida/hasara inakua kubwa zaidi. Mimi natua standard account kwa lot ambayo haizidi 1. Mfano, kwenye hiyo screen shot km ningetembea na lot size ya 0.2 basi ningeweza kuwa na faida ya $1000 in less than 3 hours.
Hii elimu ni rahisi sana kama upo na mtu anayekuongoza, unamuona anavyoelezea nk... But all in all forex ni kitu fulani hivi kitamu sana ukiwa unaelewa
Mimi hua nasema financial market sio duka la mama'ngu au baba'ngu. Soko lina namna yake ya kuBehave kama kuku aliyekatwa kichwa, so sishoboki kuingia kichwa kichwa.Mungu akubariki ndugu, so trailing stop is an automatic adjustment while SL is manual.. na hiyo imenitokea majuzi kwenye OIL ilipanda live result ikaingia kwenye profit ila nikaingiwa na tamaa nikapandisha TP nikijua itapanda baadae inaniletea notification eti imeshuka imegonga stop loss.. I had to reset the account
WELL SAID BROO, NIMEJARIBU SANA KUELEWA ILA MENTOR NI MUHIMUPsychology ni kitu muhimu zaidi ktk forex, tamaa, pupa, overconfidence na hofu havijawahi kumwacha mtu salama katika forex. Kitu ambacho mentor wako atakusaidia ni kukupa hints kuhusu jinsi ya kujicontrol kisaikolojia. Mfn wiki iliyopita yote nilikua busy sana lkn bado nikawa ninatrade, nikaongea na mentor wangu akanishauri nisifanye tena huo ujing@, ni vzr mtu atrade akiwa ameconcentrate kwa zaidi ya asilimia 99.
So, alichonishauri alinambia "Ontario km hauwezi kukaa bila kutrade, basi cha kufanya usitumia account yako kubwa, fungua account nyingine, amisha pesa kidg kwenye hiyo account ndogo kisha utrade huko, hata kama nikifanya makosa basi nitakua nimepoteza pesa ndogo. J3 nikafungua account nikaeka kama mil 2 Tsh, jana nikaanza kuitrade, percent ya nikichokipata ni tofauti kbs na ile ambayo nilikua napata nikiwa na account kubwaHii ni jana 06/06/2017 nikiweka 958 nikagonga km 320, saa 7 mchana tu nimefunga ofisi, nina uhakika wa wese la mwezi mzm.
Swali la 2: nimeona watu wengi wakisema broker anakopesa... hicho kitu hakipo!! Broker akukopeshe kwa misingi ipi?! Kinachotokea ni kwamba kuna kitu kinaitwa leverage, au tuseme lot size - yani hiki ni unit fulani inayokuwezesha kutrade pesa kiasi kikubwa cha pesa hata kama account yako ina pesa ndogo. Kadri unavyotumia lot size kubwa ndio faida/hasara inakua kubwa zaidi. Mimi natua standard account kwa lot ambayo haizidi 1. Mfano, kwenye hiyo screen shot km ningetembea na lot size ya 0.2 basi ningeweza kuwa na faida ya $1000 in less than 3 hours.
Hii elimu ni rahisi sana kama upo na mtu anayekuongoza, unamuona anavyoelezea nk... But all in all forex ni kitu fulani hivi kitamu sana ukiwa unaelewa
VERY WRONG JAPO NDIO NAANZA TRAINING KWA AJILI YA TRADING, KUNA MAHALI NIMESOMA BETTING (GAMBLING) NI TOFAUTI NA TRADING KWA KUWA TRADING INA RISK MANAGEMENT, PROFIT/LOSS CALCULATION na KIKUBWA TRADING INA ETHICS ZAKE.Forex Trading haina Tofauti sana Na Betting Company . Maana We Assume that May be EURO will Raise Against Dollar then Tunaweka Hela....
Jana South Africa wametoa ripoti ya uchumi ikionesha umepungua kwa 0.7%.Kesho Thursday naona ni nafasi nzuri kwa sisi ma-Newbie kuona live jinsi Markets zinavyoweza kuathiriwa na News/ Events/ Election. Kesho ni nafasi nzuri ya kufanya FUNDAMENTAL analyisis na kuona price zitakavyotrend. Coz kuna Three major events ambazo ni: 1. Britain general Election 2. European Central Bank policy decision 3. Testimony by former FBI Director James Comey. Wakuu ONTARIO na Bavaria ni kwa kiasi gani mnatumia Fundamental analysis kwenye Trading Plan zenu? or are you more of a TECHNICAL traders?
Ndio ninaye..Bavaria we unae mentor?!