Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
wazo la tatu
Nikiwa Pretoria nilipata bahati ya kusali kanisa la 1 kati ya manabii maarufu zaidi hapa duniani Shepherd Bushiri Major 1. Ukiachilia mbali kua ni nabii lkn yuko mbali sana sana kibiashara, hata kama wewe ni Islam utakinzana nae kiimani lkn atakumotivate nje ya imani ktk mambo ya biashara na Ujasiriamali.
a6e5f30c2cecabb9be5fae79884e0439.jpg


Na kwa watu wanaohisi forex ni kamali au niseme gambling, hii ni tofauti kabisa. Ni kitu ambacho hata biblia imezungumzia, nilipata kua na uelewa mpana ktk hili baada ya kusoma kitabu cha Bushiri alivyoeleza kuhusu forex na kwa kiasi gani forex imempa utajiri mkubwa sana.
0318485055c9f0d4554bbc3fe4b75955.jpg
Bushiri ni huyu wa kati.
Nimejaribu kujiunga katika hiyo forex as a demo account nimeona kuna usumbufu ,nasema hvyo kwasababu ukiandika nchi kama TANZANIA Wanasema use English letter inakaaje hapo mkuu kuna support agent anasema ukiwa Tanzania huwez kujiunga na Huduma ya forex
 
Nimeshikwa na ukakasi na hii contribution yako hadi nimeguswa kukuuliza jambo....hivi unaijua vizuri forex trading ni nini hadi uconclude kuwa kwa Tanzania haiwezekani? Hivi kwa nini kama kitu hukijui usinyamaze usubiri werevu waje watuelimishe? hiyo dd & ss ya unayozungumzia lazima iwe na "market place" yenye buyers and sellers na "commodity" inayouzwa. aliyekwambia hilo soko ni soko la ndani ya TZ ni nani? aliyekwambia bidhaa inayouzwa iko kwenye hiyo "virtual market" iko TZ ni nani? aliyekwambia participants wa hiyo market ni watz pekee ni nani kwamba kusipokwepo na dd from Tanzanians means soko litakufa.....kama huna majibu ya hayo maswali please nyamaza.

Kabla ya kunikaripia na kutamani kunipiga konzi naomba ungerudia kusoma nilichoandika; I'm quoting myself again: "AlichosemaONTARIO si kipya na kadadvua vizuri, ila mimi nikasema kwa sasa hapa Tz hakiwezekani labda kizazi kijacho."
 
Ndo kwanzaaa naanza chapter 3... hivi ni mimi tu ndo nina speed ya kobe?, doh
 
Kuna mtu mmoja aliwahi kuulizwa ukipewa hii nchi kipaumbele chako cha kwanza, cha pili na cha tatu ni kipi?

Majibu yake yalikuwa yakufurahisha lakini yanayohitaji tafakari ya kina;
1. ELIMU
2. ELIMU
3. ELIMU

Have you ever seen a cat trying to catch its own tail??
 
Kilichoendelea baada ya hapa ni hiki, as i predicted ukiangalia GBP/USD ilikuwa inatafuta new resistance/ceiling level na kweli kwa sasa naona imepatikana mpaka muda huu na rate inatrend around hapo. Ila With right take profit na stop loss mpaka sasa ningekuwa nishachukua faida yangu. Pia ninachoona katika hii support/floor level mpya imatengenezwa, na nahisi mpaka uchaguzi wa uingereza kuishakutakuwa na double bottom.

cc Ontario, Bavaria.

View attachment 521046

Kama hujawahi kabisa kufanya forex na hii ndo mara yako ya kwanza, basi ujue upo kwenye right track.
You are catching up very fast. I give you my word kwa hii speed yako, mwezi wa 8 unaweza kuanza live na kupata dola za bia. Watu kama nyie mnatia moyo sana, hata mentor wako anafurahi unavyopiga hatua kwa kasi hivi.
Good student.
 
Kilichoendelea baada ya hapa ni hiki, as i predicted ukiangalia GBP/USD ilikuwa inatafuta new resistance/ceiling level na kweli kwa sasa naona imepatikana mpaka muda huu na rate inatrend around hapo. Ila With right take profit na stop loss mpaka sasa ningekuwa nishachukua faida yangu. Pia ninachoona katika hii support/floor level mpya imatengenezwa, na nahisi mpaka uchaguzi wa uingereza kuishakutakuwa na double bottom.

cc Ontario, Bavaria.

View attachment 521046

Likely, price might go up after breaking the resistance.
 
Good morning traders

Napambana, tunapambana na mwisho lengo litimie... Naona mwanga, kwangu na kwenu pia - kuna baadhi ya wanafunzi wangu humu, kamwe siwezi kuwaacha, wanachokifanya so far kinanipa matumaini sana kua tunaweza kuwa na traders makini watakaoweza kubamiza market na kubadili maisha yao na ya wale wanaowazunguka. Progress ambayo baadhi yenu mnafanya inanipa nguvu sana, tuendelee kusoma na kusoma na kuelewa mambo... Tukija darasani tunafundishana kudownload pesa tu.

Kwa upande wangu naona mambo yanaiva... Pesa inanipukutika kama vapour, lkn kwakua najua nikitulia week 1 tu narudisha gharama zote, basi nakua sina presha. Ofisi iko sawa, hata kesho tunaeza kuanza, lkn bado nashughulikia papers... tufanye vitu ambavyo kihalali na kisheria, tulipe kodi, tulipe blah blah, yani tusiwe na shida na watawala. Mwanga nauona, obstruction zipo lkn tunapambana mpk kieleweke.

Tuvute subira, wakati huo tunajifua zaidi... sisi wote ni winners, when you win I also win. When you lose I also lose - but we are all destined for greatness.

Yani naamka asubui najikuta sina pesa ya kunipush kumalizia hii week, so nnachofanya ni kuingia kwa forex account yangu na kuvuta pound kadhaa - mshahara wa daktari mwenye degree ya miaka 6 (no disrespect). Ndio raha ya FX lkn bado kuna watakaosema ni betting, hahaha!! Acha tuendelee kubet
fabf04972b857bd4f6febb6bda00748b.jpg
 
Good morning traders

Napambana, tunapambana na mwisho lengo litimie... Naona mwanga, kwangu na kwenu pia - kuna baadhi ya wanafunzi wangu humu, kamwe siwezi kuwaacha, wanachokifanya so far kinanipa matumaini sana kua tunaweza kuwa na traders makini watakaoweza kubamiza market na kubadili maisha yao na ya wale wanaowazunguka. Progress ambayo baadhi yenu mnafanya inanipa nguvu sana, tuendelee kusoma na kusoma na kuelewa mambo... Tukija darasani tunafundishana kudownload pesa tu.

Kwa upande wangu naona mambo yanaiva... Pesa inanipukutika kama vapour, lkn kwakua najua nikitulia week 1 tu narudisha gharama zote, basi nakua sina presha. Ofisi iko sawa, hata kesho tunaeza kuanza, lkn bado nashughulikia papers... tufanye vitu ambavyo kihalali na kisheria, tulipe kodi, tulipe blah blah, yani tusiwe na shida na watawala. Mwanga nauona, obstruction zipo lkn tunapambana mpk kieleweke.

Tuvute subira, wakati huo tunajifua zaidi... sisi wote ni winners, when you win I also win. When you lose I also lose - but we are all destined for greatness.

Yani naamka asubui najikuta sina pesa ya kunipush kumalizia hii week, so nnachofanya ni kuingia kwa forex account yangu na kuvuta pound kadhaa - mshahara wa daktari mwenye degree ya miaka 6 (no disrespect). Ndio raha ya FX lkn bado kuna watakaosema ni betting, hahaha!! Acha tuendelee kubet
6877c404e6eb719bb4f119783ba3b4af.jpg

Together we can. Tupo nyuma yako tunafuata unapopita. Ukifika mwisho naamini nasi tutakuwa tumefika mwisho.
 
Kama hujawahi kabisa kufanya forex na hii ndo mara yako ya kwanza, basi ujue upo kwenye right track.
You are catching up very fast. I give you my word kwa hii speed yako, mwezi wa 8 unaweza kuanza live na kupata dola 50 za bia.
Good student.

Shukrani boss. Day one najua hii kitu ni siku ontario anapost hii kitu, siku ya kwanza naanza kutafuta mwanga juu ya hii kitu ni siku boss ontario anatoa recomendation ya kitabu cha kuanza kusoma.

Hope tutafika pamoja.
 
Shukrani boss. Day one najua hii kitu ni siku ontario anapost hii kitu, siku ya kwanza naanza kutafuta mwanga juu ya hii kitu ni siku boss ontario anatoa recomendation ya kitabu cha kuanza kusoma.

Hope tutafika pamoja.
Safi sana.
Mi sikuwa na speed kali kama yako. Niliifahamu forex 2012 ila nilianza kutrade 2015. Nikachoma account kadhaa, nikasimama 2016 nimekuja kuanza tena 2017.
Ila i give you my word, hata kama ukishaanza kula hela za forex. Endelea kusoma na kujifunza zaidi.
Forex ni msitu ambao hata hao maguru hawajaujua vizuri huo msitu.
Usibweteke.
 
Good morning traders

Napambana, tunapambana na mwisho lengo litimie... Naona mwanga, kwangu na kwenu pia - kuna baadhi ya wanafunzi wangu humu, kamwe siwezi kuwaacha, wanachokifanya so far kinanipa matumaini sana kua tunaweza kuwa na traders makini watakaoweza kubamiza market na kubadili maisha yao na ya wale wanaowazunguka. Progress ambayo baadhi yenu mnafanya inanipa nguvu sana, tuendelee kusoma na kusoma na kuelewa mambo... Tukija darasani tunafundishana kudownload pesa tu.

Kwa upande wangu naona mambo yanaiva... Pesa inanipukutika kama vapour, lkn kwakua najua nikitulia week 1 tu narudisha gharama zote, basi nakua sina presha. Ofisi iko sawa, hata kesho tunaeza kuanza, lkn bado nashughulikia papers... tufanye vitu ambavyo kihalali na kisheria, tulipe kodi, tulipe blah blah, yani tusiwe na shida na watawala. Mwanga nauona, obstruction zipo lkn tunapambana mpk kieleweke.

Tuvute subira, wakati huo tunajifua zaidi... sisi wote ni winners, when you win I also win. When you lose I also lose - but we are all destined for greatness.

Yani naamka asubui najikuta sina pesa ya kunipush kumalizia hii week, so nnachofanya ni kuingia kwa forex account yangu na kuvuta pound kadhaa - mshahara wa daktari mwenye degree ya miaka 6 (no disrespect). Ndio raha ya FX lkn bado kuna watakaosema ni betting, hahaha!! Acha tuendelee kubet
fabf04972b857bd4f6febb6bda00748b.jpg
Kaka ONTARIO ninamunkali na hii kitu usipime. Napiga mdogo mdogo na lot size za sisimizi kama ulivyofanya juzi kati. Nimesoma vitabu mpaka kichwa kinachemka yaani. I am so determined, masaa ya kulala kwangu yamepungua tangu niliposoma thread hii. No msuli kisha napiga demo kuona vp.

I salute you[emoji120] [emoji120] [emoji120]

Check hiyo hapa
Screenshot_20170608-105022.png
 
Good morning traders

Napambana, tunapambana na mwisho lengo litimie... Naona mwanga, kwangu na kwenu pia - kuna baadhi ya wanafunzi wangu humu, kamwe siwezi kuwaacha, wanachokifanya so far kinanipa matumaini sana kua tunaweza kuwa na traders makini watakaoweza kubamiza market na kubadili maisha yao na ya wale wanaowazunguka. Progress ambayo baadhi yenu mnafanya inanipa nguvu sana, tuendelee kusoma na kusoma na kuelewa mambo... Tukija darasani tunafundishana kudownload pesa tu.

Kwa upande wangu naona mambo yanaiva... Pesa inanipukutika kama vapour, lkn kwakua najua nikitulia week 1 tu narudisha gharama zote, basi nakua sina presha. Ofisi iko sawa, hata kesho tunaeza kuanza, lkn bado nashughulikia papers... tufanye vitu ambavyo kihalali na kisheria, tulipe kodi, tulipe blah blah, yani tusiwe na shida na watawala. Mwanga nauona, obstruction zipo lkn tunapambana mpk kieleweke.

Tuvute subira, wakati huo tunajifua zaidi... sisi wote ni winners, when you win I also win. When you lose I also lose - but we are all destined for greatness.

Yani naamka asubui najikuta sina pesa ya kunipush kumalizia hii week, so nnachofanya ni kuingia kwa forex account yangu na kuvuta pound kadhaa - mshahara wa daktari mwenye degree ya miaka 6 (no disrespect). Ndio raha ya FX lkn bado kuna watakaosema ni betting, hahaha!! Acha tuendelee kubet
fabf04972b857bd4f6febb6bda00748b.jpg

Yani nafsi zote hizi za watu zilizo nyuma yako zikiomba usiku na mchana ufanikishe lazima utafanikiwa tu.

Naona ile ahadi yako ya June inatimia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom