mariah clement
Member
- Mar 28, 2017
- 14
- 17
Hellow habar kama naweza pata msaada kutoka kwako plzMkuu hata mie natumia FXCM na nliulizaa sikupata jibu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hellow habar kama naweza pata msaada kutoka kwako plzMkuu hata mie natumia FXCM na nliulizaa sikupata jibu....
Why not!Boss na wewe ni mdau katika haya.? thanks, ngoja niweke hizo video katika download list zangu
Welcome diaHellow habar kama naweza pata msaada kutoka kwako plz
Nimejaribu kujiunga katika hiyo forex as a demo account nimeona kuna usumbufu ,nasema hvyo kwasababu ukiandika nchi kama TANZANIA Wanasema use English letter inakaaje hapo mkuu kuna support agent anasema ukiwa Tanzania huwez kujiunga na Huduma ya forexwazo la tatu
Nikiwa Pretoria nilipata bahati ya kusali kanisa la 1 kati ya manabii maarufu zaidi hapa duniani Shepherd Bushiri Major 1. Ukiachilia mbali kua ni nabii lkn yuko mbali sana sana kibiashara, hata kama wewe ni Islam utakinzana nae kiimani lkn atakumotivate nje ya imani ktk mambo ya biashara na Ujasiriamali.![]()
Na kwa watu wanaohisi forex ni kamali au niseme gambling, hii ni tofauti kabisa. Ni kitu ambacho hata biblia imezungumzia, nilipata kua na uelewa mpana ktk hili baada ya kusoma kitabu cha Bushiri alivyoeleza kuhusu forex na kwa kiasi gani forex imempa utajiri mkubwa sana.Bushiri ni huyu wa kati.![]()
Nimeshikwa na ukakasi na hii contribution yako hadi nimeguswa kukuuliza jambo....hivi unaijua vizuri forex trading ni nini hadi uconclude kuwa kwa Tanzania haiwezekani? Hivi kwa nini kama kitu hukijui usinyamaze usubiri werevu waje watuelimishe? hiyo dd & ss ya unayozungumzia lazima iwe na "market place" yenye buyers and sellers na "commodity" inayouzwa. aliyekwambia hilo soko ni soko la ndani ya TZ ni nani? aliyekwambia bidhaa inayouzwa iko kwenye hiyo "virtual market" iko TZ ni nani? aliyekwambia participants wa hiyo market ni watz pekee ni nani kwamba kusipokwepo na dd from Tanzanians means soko litakufa.....kama huna majibu ya hayo maswali please nyamaza.
Kuna mtu mmoja aliwahi kuulizwa ukipewa hii nchi kipaumbele chako cha kwanza, cha pili na cha tatu ni kipi?
Majibu yake yalikuwa yakufurahisha lakini yanayohitaji tafakari ya kina;
1. ELIMU
2. ELIMU
3. ELIMU
Kilichoendelea baada ya hapa ni hiki, as i predicted ukiangalia GBP/USD ilikuwa inatafuta new resistance/ceiling level na kweli kwa sasa naona imepatikana mpaka muda huu na rate inatrend around hapo. Ila With right take profit na stop loss mpaka sasa ningekuwa nishachukua faida yangu. Pia ninachoona katika hii support/floor level mpya imatengenezwa, na nahisi mpaka uchaguzi wa uingereza kuishakutakuwa na double bottom.
cc Ontario, Bavaria.
View attachment 521046
Yupo poaMi nimesajili demo account na TDMarket ndo nataka nianze kufanya demo exercise, lakin cjui sijajua kama broker huyu yuko poa. Wadau msaada
Kilichoendelea baada ya hapa ni hiki, as i predicted ukiangalia GBP/USD ilikuwa inatafuta new resistance/ceiling level na kweli kwa sasa naona imepatikana mpaka muda huu na rate inatrend around hapo. Ila With right take profit na stop loss mpaka sasa ningekuwa nishachukua faida yangu. Pia ninachoona katika hii support/floor level mpya imatengenezwa, na nahisi mpaka uchaguzi wa uingereza kuishakutakuwa na double bottom.
cc Ontario, Bavaria.
View attachment 521046
huyu ni mwenzangu huku kazini..subiri nitakujibu baada ya kujua kutoka kwakeNaweza nikawa connected na huyo mzoefu?
Good morning traders
Napambana, tunapambana na mwisho lengo litimie... Naona mwanga, kwangu na kwenu pia - kuna baadhi ya wanafunzi wangu humu, kamwe siwezi kuwaacha, wanachokifanya so far kinanipa matumaini sana kua tunaweza kuwa na traders makini watakaoweza kubamiza market na kubadili maisha yao na ya wale wanaowazunguka. Progress ambayo baadhi yenu mnafanya inanipa nguvu sana, tuendelee kusoma na kusoma na kuelewa mambo... Tukija darasani tunafundishana kudownload pesa tu.
Kwa upande wangu naona mambo yanaiva... Pesa inanipukutika kama vapour, lkn kwakua najua nikitulia week 1 tu narudisha gharama zote, basi nakua sina presha. Ofisi iko sawa, hata kesho tunaeza kuanza, lkn bado nashughulikia papers... tufanye vitu ambavyo kihalali na kisheria, tulipe kodi, tulipe blah blah, yani tusiwe na shida na watawala. Mwanga nauona, obstruction zipo lkn tunapambana mpk kieleweke.
Tuvute subira, wakati huo tunajifua zaidi... sisi wote ni winners, when you win I also win. When you lose I also lose - but we are all destined for greatness.
Yani naamka asubui najikuta sina pesa ya kunipush kumalizia hii week, so nnachofanya ni kuingia kwa forex account yangu na kuvuta pound kadhaa - mshahara wa daktari mwenye degree ya miaka 6 (no disrespect). Ndio raha ya FX lkn bado kuna watakaosema ni betting, hahaha!! Acha tuendelee kubet![]()
Kama hujawahi kabisa kufanya forex na hii ndo mara yako ya kwanza, basi ujue upo kwenye right track.
You are catching up very fast. I give you my word kwa hii speed yako, mwezi wa 8 unaweza kuanza live na kupata dola 50 za bia.
Good student.
Likely, price might go up after breaking the resistance.
Safi sana.Shukrani boss. Day one najua hii kitu ni siku ontario anapost hii kitu, siku ya kwanza naanza kutafuta mwanga juu ya hii kitu ni siku boss ontario anatoa recomendation ya kitabu cha kuanza kusoma.
Hope tutafika pamoja.
Kaka ONTARIO ninamunkali na hii kitu usipime. Napiga mdogo mdogo na lot size za sisimizi kama ulivyofanya juzi kati. Nimesoma vitabu mpaka kichwa kinachemka yaani. I am so determined, masaa ya kulala kwangu yamepungua tangu niliposoma thread hii. No msuli kisha napiga demo kuona vp.Good morning traders
Napambana, tunapambana na mwisho lengo litimie... Naona mwanga, kwangu na kwenu pia - kuna baadhi ya wanafunzi wangu humu, kamwe siwezi kuwaacha, wanachokifanya so far kinanipa matumaini sana kua tunaweza kuwa na traders makini watakaoweza kubamiza market na kubadili maisha yao na ya wale wanaowazunguka. Progress ambayo baadhi yenu mnafanya inanipa nguvu sana, tuendelee kusoma na kusoma na kuelewa mambo... Tukija darasani tunafundishana kudownload pesa tu.
Kwa upande wangu naona mambo yanaiva... Pesa inanipukutika kama vapour, lkn kwakua najua nikitulia week 1 tu narudisha gharama zote, basi nakua sina presha. Ofisi iko sawa, hata kesho tunaeza kuanza, lkn bado nashughulikia papers... tufanye vitu ambavyo kihalali na kisheria, tulipe kodi, tulipe blah blah, yani tusiwe na shida na watawala. Mwanga nauona, obstruction zipo lkn tunapambana mpk kieleweke.
Tuvute subira, wakati huo tunajifua zaidi... sisi wote ni winners, when you win I also win. When you lose I also lose - but we are all destined for greatness.
Yani naamka asubui najikuta sina pesa ya kunipush kumalizia hii week, so nnachofanya ni kuingia kwa forex account yangu na kuvuta pound kadhaa - mshahara wa daktari mwenye degree ya miaka 6 (no disrespect). Ndio raha ya FX lkn bado kuna watakaosema ni betting, hahaha!! Acha tuendelee kubet
![]()
Mkuu hebu add namba hii kwa WhatsApp ili tujifunze pamoja FOREXTumeunda study group,tunasoma kitabu kwa pamoja whatsapp
Good morning traders
Napambana, tunapambana na mwisho lengo litimie... Naona mwanga, kwangu na kwenu pia - kuna baadhi ya wanafunzi wangu humu, kamwe siwezi kuwaacha, wanachokifanya so far kinanipa matumaini sana kua tunaweza kuwa na traders makini watakaoweza kubamiza market na kubadili maisha yao na ya wale wanaowazunguka. Progress ambayo baadhi yenu mnafanya inanipa nguvu sana, tuendelee kusoma na kusoma na kuelewa mambo... Tukija darasani tunafundishana kudownload pesa tu.
Kwa upande wangu naona mambo yanaiva... Pesa inanipukutika kama vapour, lkn kwakua najua nikitulia week 1 tu narudisha gharama zote, basi nakua sina presha. Ofisi iko sawa, hata kesho tunaeza kuanza, lkn bado nashughulikia papers... tufanye vitu ambavyo kihalali na kisheria, tulipe kodi, tulipe blah blah, yani tusiwe na shida na watawala. Mwanga nauona, obstruction zipo lkn tunapambana mpk kieleweke.
Tuvute subira, wakati huo tunajifua zaidi... sisi wote ni winners, when you win I also win. When you lose I also lose - but we are all destined for greatness.
Yani naamka asubui najikuta sina pesa ya kunipush kumalizia hii week, so nnachofanya ni kuingia kwa forex account yangu na kuvuta pound kadhaa - mshahara wa daktari mwenye degree ya miaka 6 (no disrespect). Ndio raha ya FX lkn bado kuna watakaosema ni betting, hahaha!! Acha tuendelee kubet
![]()