Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Jaman nimesoma kitabu ingawaje sijamaliza Ila nmejaribu kupractice dooh nimekula loss mpaka basi,mwenye uelewe kidogo anisaidie au Kama kuna group la WhatsApp Naomba mni add
Mkuu nenda youtube mtafute Joseph Nemeth ni mchawi wa haya mambo, atakufundisha "zone recovery area" ulete mrejesho
 
Umesema vyema this is not get rich scheme wewe fikiria benki inakuwa na super computer na alogarithm za kutosha bado wanachemsha ni vyema ukaweka psych yako vizuri sana kabla ujafanya hii kitu nina uzoefu kama nilivyosema wa miaka kumi so ninajua kwa kiasi fulani nini ninazungumza hii ni one of my projection software ninayoitumia angalia trade katika timeframe tofauti halafu fikiria ungechukua hizo ingikuwaje kuna ambazo zimetengeneza loss ila ukweli faida lazima iwe kubwa kuliko loss na nyingine hazikutrigger ingawa indicator ilionyesha. Ontario unda hata meeting group hata la skype tuwe tunafundisha online kwa wakati ambao sio busy kama saa hizi kwa saa moja kwa watu wanataka kujifunza naomba tuchague tufanye skype au google hangout ngoja nikaangalie zile headphone za kutangazia kwenye ndege kwanza.View attachment 520427 View attachment 520428 View attachment 520429 View attachment 520430
Mkuu hata wewe waweza ku organize hicho kitu na kukisimamia, wapo wameanzisha whatsapp group, nawe ukibuni na kusimamia ni vyema
 
Mkuu nenda youtube mtafute Joseph Nemeth ni mchawi wa haya mambo, atakufundisha "zone recovery area" ulete mrejesho
Is this true???
"4X-DAT, Global Profit Technologies Joseph Nemeth Hi, program 4X-DAT is SCAM for money disappearing! The criminal complaint against Nemeth was in 2010 in Czech and Slovak Republic!!!! CAREFREE Arizona"

The first lecture and lesson about the usage of the software was in 2007. Since then Mr Nemeth has financially benefited from every agreed sale and open and closed agreement. It may not sound bad because the company have to make a profit and share it with its partners and sharers. The real problem was that the programme actually never brought any benefits to the shareholders; in fact it was the opposite. The shareholder, Katerina Mouralova in 2009, systematically pointed out this problem to Mr. Slavik but nothing was done to solve it. Only in 2012 was the problem openly acknowledged and recognised by Mr. Nemeth in his report and the report further stated that the problem was very costly. Why did he acknowledge this only after five years of active usage of the software? Also, where did all the money from the fees go? How can somebody, who calls himself “GURU” be, for five long years selling a unprofitable program, that made a loss for himself, despite the fact that he was aware of the programme’s problems over a long period of time. Is this the man who deserves our trust in the business? Was it, that the creation of the programme 4X MM, was supposed to only be a cover for money laundering and for taking money for a limited partnership, shares and fees for trading? Without a product there is no company. This product seemed to only be created for the purpose of taking money from the people and it is a financial scam.

Source:Ripoff Report | 4X-DAT, Global Profit Technologies Complaint Review CAREFREE, Arizona
 
Nahisi GBP/USD kesho asubuhi itaanza kushuka. Kwa nilivyostudy, trend inaonesha hivyo, Ukizingatia uchaguzi wa uingereza una power ya kuinfluence GBP kuliko hearing ya James Comey kuinfluence USD. Maana Kutokana na charts zinavyokwenda mpaka muda huu, naona chart inatafuta new resistance/ceiling level.


View attachment 520831


CC Ontario, Bavaria

Kilichoendelea baada ya hapa ni hiki, as i predicted ukiangalia GBP/USD ilikuwa inatafuta new resistance/ceiling level na kweli kwa sasa naona imepatikana mpaka muda huu na rate inatrend around hapo. Ila With right take profit na stop loss mpaka sasa ningekuwa nishachukua faida yangu. Pia ninachoona katika hii support/floor level mpya imatengenezwa, na nahisi mpaka uchaguzi wa uingereza kuishakutakuwa na double bottom.

cc Ontario, Bavaria.

Capture1.PNG
 
Hata mimi hapa pamenishinda boss!! kwa kifupi nimekwamia hapa!!

Hapo kwa mimi nilifungua XM account. Na doccuments nilizotumia kama proof of residence ni bank statement. Maana nina akaunt moja ya NBC nilijisajili na E-statement, kila mwisho wa mwezi wananitumiaga email ya bank statement katika PDF format, nami hiyohiyo PDF nikaichukua na kuwafowardia XM na wamenifungulia, na wakanipa bonus yangu ya USD 30.
 

Mkuu hiyo graph haikipi picha nzuri ya nini haswa kinaendelea katika current time kwa maana timeframe umeiweka kubwa sana. Nikiangalia hapo naona umeweka time frame iwe tokea mwezi wa pili mpaka sasa, na ndicho kinachoonekana hapo. Kwa wale wa short term high frequency traders huwezi tumia hiyo chart kama reference kwa maana itakupoteza. Hapo fanya filtering ya hiyo time frame iwe within say this week alone kisha ustudy na ndo utajua haswa recently hiyo pair imebehave vipi. Hiyo chart uliyoiweka ni suitable na preferable kwa long term traders.
 
Open position ni point ambayo mtu unaingia ili uanze ku trade, close position ni point ambayo mtu unatoka sokoni au unamaliza kufanya biashara!!

Kama huna kitabu anza kujifunza vipo humu!
It wont stop, we appreciate the knowledge
 
Hii kitu niliisoma chuoni kny international finance kumbe ndiyo tamu hivi?
Mkuu Ontario am in put me among those 300
 
Pamoja na makala nzuri ya boss hapo, ila guys huu ni ushauri wa tajiri namba 3 duniani..
17-i-never-invest-in-anything-that-i-dont-understand-warren-buffett.jpg


Vijana wengi tunajaribu kila kitu kwa tamaa tu ya kupata utajiri wa haraka.. Haya mambo ya Forex mimi binafsi nayafanya tangia 2012 na wala siwezi kumshauri mtu ambaye hana uelewa kiduchu wa Finance afanye. It's very complicated unless uache kila kitu unachofanya na udedicate muda wako kwenye hizi Forex pekee.. Ni biashara nzuri sana lakini it has higher risk.. Wengi sana wanaibiwa na Brokers kwenye hizi biashara..
Wanaibiwa kivipi hasa!
 
baada ya kupitia page ya 1 hadi ya 115 usiku huu haya ndio maoni yangu yanafanana na mdau mmoja humu.

mkuu ontario baada ya kushusha idadi ya watu kutoka 300 hadi 150,
kwa kuzingatia pia hamasa ya watu wengi, changamoto ni nani atakuwa kwenye hao 150.
kama watu watakuwa wengi kuliko kiwango kinachohitajika.
Unaweza kuandaa mtihani mwepesi based on kitabu ulichokipendekeza...
watakao fanya vizuri unawapa kipaumbele huku ambao watabaki nyuma watakuwa batch ya pili japo sijui utatumia methodology gani.

all in all big up wakuu wote humu Bavaria etc mnafanya kazi kubwa kutuondoa ujinga na kutujengea ujasiri wa kutafuta fursa za duniani.

Wadau taadhari zinazotolewa pia zizingatiwe


Ni sawa kabisa kwa ushauri wako lakini nilikuwa namshauri Ontario ajaribu kutoa chance sawa kila mkoa ili hii kitu isikute anachukua wakaazi wa eneo moja tu.
 
Broo unatumia Demo account gan mi hii ya FXCM ina nipa shida kidogo kuna some feuters nadhan sizioni au sijui ni mm mwenyewe bado sijaikalia chin vizuri coz kule FXCM proggram sioni hii SL na TP, instead huku kuna stop na limit, any comment BENNICK
Kinacho matter ni platform unayotumia rather than a broker, mimi natumia MT4 kwenye PC na nina Demo account tatu kutoka kwa brokers tofauti FXopen,FXCM na WForex na njia ya kuweka SL/TP ni ileile.Naenda sehemu ya new order,juu kushoto kisha hiyo TAB hapo juu itafunguka ndio utajaza parameters zako.
MetaTrader ECN - FXOpen nn.png
 
Mi nimesajili demo account na TDMarket ndo nataka nianze kufanya demo exercise, lakin cjui sijajua kama broker huyu yuko poa. Wadau msaada
 
Tupo hapa kufatilia nn kinaendelea wen yu get started mm nitakuwa miongon mwa watu 300 wa kwanza i cant wait to meet my success
 
Broo unatumia Demo account gan mi hii ya FXCM ina nipa shida kidogo kuna some feuters nadhan sizioni au sijui ni mm mwenyewe bado sijaikalia chin vizuri coz kule FXCM proggram sioni hii SL na TP, instead huku kuna stop na limit, any comment BENNICK
Mkuu hata mie natumia FXCM na nliulizaa sikupata jibu....
 
mimi bado napiga mihatua ya kutamanika mkuu....naendelea na vitabu huku nikipractice kwa demo account..nimebahatika kupatana na jamaa fulani ana uzoefu wa kutosha hivyo anazidi kunielekeza..leo nmekuwa nikijaribu kutumia different orders na matokeo yake ni safi kabisa..nina imani tutafika tu...

Naweza nikawa connected na huyo mzoefu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom