ommyjr
Member
- Sep 23, 2015
- 85
- 85
Do you have them?Ziko poa sana na ofcourse hata hao mentors watakuwa wanadukua kule kidogo
Ila unalipia 21000 kwa course nzima na video ziko poa
Pia mnafanya live trading
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Do you have them?Ziko poa sana na ofcourse hata hao mentors watakuwa wanadukua kule kidogo
Ila unalipia 21000 kwa course nzima na video ziko poa
Pia mnafanya live trading
Itakua poa sana tukiendelea kutoana tongo tongo mkuu ili wote tunene kwa lugha mojavipi wangwanaa?..nmebahatika kupatana na mzoefu wa haya masekta majuzi haya..wacha nizidi kufaidi maujanja...ila bado kauzi nakafatilia kwa makini..tuzidi kwenda mbelee..
Shavu kwako mkuu
21??? Please mkuu ebu dadavua vzr tujue tunaanzaje na tunawezaje fanikisha coz cost ni affordable mkuuZiko poa sana na ofcourse hata hao mentors watakuwa wanadukua kule kidogo
Ila unalipia 21000 kwa course nzima na video ziko poa
Pia mnafanya live trading
Nalo nenotuzidi kuhimizana wenzangu!..
ziko nyingine mkuu, angalia XM forex, MT5 , MT4 wote wana demo tena rahisi tuBroo unatumia Demo account gan mi hii ya FXCM ina nipa shida kidogo kuna some feuters nadhan sizioni au sijui ni mm mwenyewe bado sijaikalia chin vizuri coz kule FXCM proggram sioni hii SL na TP, instead huku kuna stop na limit, any comment BENNICK
mimi bado napiga mihatua ya kutamanika mkuu....naendelea na vitabu huku nikipractice kwa demo account..nimebahatika kupatana na jamaa fulani ana uzoefu wa kutosha hivyo anazidi kunielekeza..leo nmekuwa nikijaribu kutumia different orders na matokeo yake ni safi kabisa..nina imani tutafika tu...Nalo neno
Ila sema hatua zako mkuu naziona mbali saana
Click hii link na ujaze particulars zako Open a MetaTrader demo account | FOREX.comJamani nimeuliza maswali mengi lakini sipewi ushirikiano. Kuna watu wana accounts tayari lakini sielwi kwann wanashindwa kunisaidia
Base currency unatumia USD or GBP?mimi bado napiga mihatua ya kutamanika mkuu....naendelea na vitabu huku nikipractice kwa demo account..nimebahatika kupatana na jamaa fulani ana uzoefu wa kutosha hivyo anazidi kunielekeza..leo nmekuwa nikijaribu kutumia different orders na matokeo yake ni safi kabisa..nina imani tutafika tu...
napiga usd mkuuBase currency unatumia USD or GBP?
Unajua kuwa kwa kawaida huwa una buy kwa ask price na ku- sell kwa bid price???napiga usd mkuu
nafahamu hilo mkuu..Unajua kuwa kwa kawaida huwa una buy kwa ask price na ku- sell kwa bid price???
Yes, its is stable, lakini bado haijakubalika sana kwenye ulimwengu huu wa sasa...unajua mazoea hujenga tabia. Ni kama ilivyokuwa kwenye transition ya windows XP na Windows 7, watu wengi waligoma kwenda kwenye windows 7, lakini mbona sasa hivi ni wachache sana ambao bado wako rigid na window XP...Mbona iko stable... iko poa kuliko MT4
Wakuu naweza endela kupiga zoezi na hii au niende MT5?
Umakini hapo uko sahihHii kitu sio rahisi wadau msikimbilie sana mtapoteza pesa bure kuna mdau kashauri vema huko juu.
Mfano unaweza kudhamilia kupata Dora 6 tu ambayo dhamani take inazidishwa inakuwa sio Dora sita tena ni 600 sasa ikitokea usiipate hiyo inamaana umepoteza Dora 600 kwa muda mfupi sana.Inahitaji umakini wa juu sana so sio kila RAIA anaweza fa ya forex.