Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu Ontario thank so muh Bro. Mi nimefanikiwa kusoma Uchumi na nilipofika mwaka wa 3 nilikutana na hili subject ya FX MARKET sikudanganyi mkuu, nilivutiwa sana na hii topic na nilianza kufwatilia kuona nawezaje kujiendeleza zaidi na ikiwezekana niisomee Masters kabisa lkb sikufanikiwa.... Mkuu nimefurahi sana kuona kuwa bado ile knowledge naweza nikaitumia...
Please Mkuu hii ndio namba yangu 0713 088017 niunge kwa WhatsApp group
Na kwenye list ya 300 please mkuu nitafurahi nikiwa mmoja wao.....Thank you so Much
 

Asante kwa taarifa Njema Na pole kwa kupungukiwa kwa muda Mkuu.

Kwa maendeleo uliyo fikia sasa unaturuhusu kupita ofisini Na kufahamiana zaidi?
 
Bro jana nimekuuliza swali naona kimya mpk dk hz
 

Ontario, naamini umeona njia nzuri Na bora zaidi ya kuweza kutuleta sote karibu. Hata walioko nje ya Dar Na Tanzania kwa ujumla. Muhimu hapo itakuwa Ni bidii ya mtu mmoja mmoja kufuatilia Na kushiriki kwa maswali Na aliyo yapitia. Hivyo Ni matumaini yangu kuwa wazo lako litafanya kazi kubwa hata kwa wale ambao hawata kuwa darasani ktk awamu Za kwanza bila kujiona wameachwa nyuma. Binafsi nakuunga mkono Na kukuombea dhamira yako itimie.
 
Bro jana nimekuuliza swali naona kimya mpk dk hz
Nilikujibu jana ileile brother,unless kuna swali sijaliona.Angalia quote notification au nenda page 119 post number 2377 na page 122 post#2440 Natumia FXCM DEMO kwenye MT4..
 
Mkuu hata mie natumia FXCM na nliulizaa sikupata jibu....

Nilimjibu hii kitu mkuu bahati mbaya hakuiona, angalia post#2377 page 119 na page 122 post#2440 inaweza kukusaidia kama bado hujapata solution.Natumia FXCM DEMO kwenye MT4.
 
Na mimi naomba darasa likianza niwemo. Asante kwa kutushirikisha. ubarikiwe
 
Me hii MT4 mpk leo naona inanisumbua cjui nakwama wapi, kila nkijaribu inaleta invld S/L or T/P, unahisi nipo wrong sehemu gn mkuu?, halafu nkiangalia A/C history naona kila kitu kipo zero pale. Msaada pliz.
binafsi situmii platform ya mt4 ila nahisi huzingatii jinsi unavyoweka SL TP zako..

ni hivi,unapoingia position:long USD/JPY @1.2050,TP hapa inakusaidia kutengeneza faida bila kuingiza hasara..TP yako katika hii pair itakuwa kuuza hiyo pair kwa pesa nyingi kuliko current market price ambayo kwa huu mfano ni 1.2050..hivyo,Take Profit yako itakuwa juu:tuchukulie (1.2070)=(+20pips)

kama position yako ulikuwa short,TP bado ni kwa ajili ya kufungia faida..mfano USD/JPY @50.70. hii inamaanisha unakusudia kununua kwa pesa kidogo kuliko current market price..hivyo,TP yako itakuwa chini ya 50.70 mfano (50.50)=(-20pips)

kwa maneno mengine,TP inakusaidia kufungia faida uliyotengeneza tayari kama soko litakugeuka na mambo yakaenda upogo..


kwa upande mwingine,SL ni order inayokusaidia kuepuka hasara kwa kufunga positions zinazopoteza hela wakati soko likikugeuka..mfano,uko in a position ambayo ni long kwa pair kama GBP/USD@1.4580.
SL yako hapa itakuwa kuuza hiyo pair lakini kwa bei iliyo chini ya kiwango cha muda huo(current price)mfano,(1.4560)=(-20pips)

kama position yako ilikuwa short,SL yako itakuwa kununua hiyo pair lakini kwa kiwango cha juu kuliko current market price.mfano(1.4600)=(+20pips)

kifupi,SL inakusaidia kupunguza hasara lakini lazima utapata hasara kiasi fulani...

cc:yetote
 
sio huyo Sandile mkuu....au unafikiri ni Sandile tu alietajirika kwa FOREX TRADE? South Africa wapo wengi tu wametajirika kwa hii biashara.....nimemsahau jina dogo yuko jela sasa hivi kwa kumuua mpenzi wake
oscar pistorius
 
Mkuu shukrani sana, but nahisi niki fail pale kwenye buy limit ndipo nikipopigigia hz calculation za orders, ngoja nkitulia ntajaribu maelekezo nione kama itanikubalia, karibu futari muungwana.
 
tupo pamoj mkuuu
itakuw vzuli zaid kam ukntag n mm katka upadate
 
Wakuu, kuna web based platform pia (nadhani ni discretion ya brokers). So kama unataka kufanya zako ma-fibonacci kwa kompyuta si lazima uwe/au ubebe laptop. Na kama pia mwajiri wako ni mnokou (au huwezi kuinstall programs) all you have to do is just minimizing a window 🙂
 

Attachments

  • Capture.PNG
    1.4 MB · Views: 89
Samahan unaweza kunisaidia material ya technical analysis yaliyokusaidia kupata mwanga..ukinipa link nitashukuru
Knowledge kubwa nimeipata kwenye kitabu cha naked forex. Natumia hasa price action na kuangalia trend ya currency kwa masaa kadhaa nyuma to make any decisions. Kitabu hiki kimo kwenye threads humu sijui ipi ila ngoja niweke hapa
 

Attachments


Mkuu nnachanganya sana hapao kwenye long and short
 
Knowledge kubwa nimeipata kwenye kitabu cha naked forex. Natumia hasa price action na kuangalia trend ya currency kwa masaa kadhaa nyuma to make any decisions. Kitabu hiki kimo kwenye threads humu sijui ipi ila ngoja niweke hapa
Hii ndo syllabuss nimekiadd kwenye ratiba zangu....1hours per day
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…