Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Aisee baada ya kusoma sana kitabu nikasemangoja nijipumzishe na video tutorial za Joseph Nemeth. Yaani naona kama anataka kufuta kabisa kile nilichokielewa kupitia katika kitabu. Hahahahahaaaaa.

Naona anatumbukizia tena mambo ya Heiken Ashi charts hapa, na anaita Candlesticks chart presentation ni bullshit. Ila ngoja nikomae na vyote, nitachambulia mbele ya safari
CC: Bavaria, Ontario.
 
Aisee baada ya kusoma sana kitabu nikasemangoja nijipumzishe na video tutorial za Joseph Nemeth. Yaani naona kama anataka kufuta kabisa kile nilichokielewa kupitia katika kitabu. Hahahahahaaaaa.

Naona anatumbukizia tena mambo ya Heiken Ashi charts hapa, na anaita Candlesticks chart presentation ni bullshit.

CC: Bavaria, Ontario.
Mm nilimwacha kumsikiliza pale tu aliposema usitumie stop loss hapo nilinawa mikono kabisa
 
Leo nimekaa nikawa najiuliza! INAKUAJE MTU UNACHOMA ACCOUNT?? yaani unapata hasara?!!

So far nnavyojua huwezi kuuza bila wewe mwenyewe kwa kichwa chako kubonyeza kitufe cha SELL au BUY!

Ivi kama nikiona nachezea negative red which means ni hasara....nikaacha mpaka ije ipande au ishuke irudi kwenye blue then ni excute order kwa faida...inakua kosa??

Sasa kwann mtu uuze au ununue kwa hasara?? Wakati unaweza kuacha ukashuka weee then badae ikapanda thamani ili uuze kwa faida??

Cheki huu mfano...
163746a9eb3e66923adfcc205c610c9a.jpg


Hizi ni positions kama tatu hivi na zote zina loss ...ziko kwenye red!

Kwa hapo sintauza wala kuuza mpaka thamani ipande au ishuke ili niuze kwa faida...ikiwa kwenye blue!!

Embu nielewesheni wakuu...INAKUAJE UNAPATA LOSS AU UNACHOMA ACCOUNT???

Labda nakosea...naomba mnieleweshe wadau!!
Ht mm nafanyaga hivyo,ila lot kubwa mkuu!
 
Mm nilimwacha kumsikiliza pale tu aliposema usitumie stop loss hapo nilinawa mikono kabisa

hahahahaaa, halafu anakutolea mfano kuwa Warren Buffet, George Soros and Co kuwa hawatrade the way we think.
 
Pia kabla ya kuingia online hii imekaaje kwenda pale kariakoo kununua dola alafu kwenda kuiuza huwezi kuanza hivyo?
Unaakili sana, ila inahitaji ukishanunua usubir mpaka zipande uuze upate lile ongezeko kama faida, ila zikishuka pole, so umerahisihiwa na forex kufanya yote hayo online mkuu, ila pia kumbuka Beaural de change za bongo hawakawii kukupa dola feki au zilizo expire, then baadae bi kilio. lakini pia utatrade TSH na pair nyingine
 
Mkuu kwa metatrade 4 demo standard size ni ngapi
Brokers wote na kwa platform zote standard lot ni ileile yaani 100,000 base currencies,kuhusu demo I'm not very sure ila nadhani demo account nyingi kama sio zote zinatumia hiyo standard japo ukihamia sasa kwenye Live/ Real trading acounts, brokers wengine wamerahisisha kwa kuweka kitu kinaitwa Micro/Mini accounts ambako lot imekuwa redifined na kuitwa micro Lot yaani 1,000 base currencies ili kufit matumizi ya watu wenye account hizo ndogondogo,So nikiwa nataka nicheze 100USD katika micro account nitajaza 0.1 volume badala ya kujaza 0.001.
 
Safi. Nadhani sijaweza kusoma thread yako yote, nimepitia juu juu maana mengi si mageni kwangu. Nimeona mwishoni unashauri watu wajiunge na training na kadhalika. Jambo jema na hongera kwa kuchangamkia fursa. Kwa kuanzia tu, nakushauri uanzishe angalau tovuti/blog yako iwe sehemu ya kushushia nondo. Pia, kwa wanaotaka kujifunza, kuna materials za kutosha kwenye mtandao na zinapatikana bure. Nimeona kadi ya XM hapo. Wao pia wana platform ya kujitunzia. Kuanza kujifunza kwa uharaka zaidi, nashauri anayetaka na anayeweza ajaribu pia platforms kama IQ Options, ambao wao wanafanya binary FX na options zingine ikiwemo classic stocks (such as all listed fortune500) including commodities and more. Wapo wengine pia, lakini nimewataja hao kwa kuwa nina experience nao na wanatoa free demo/practice account ya $1000, ikiisha unajaza tena bila risk yeyote. Na wana mobile apps pia. Unaweza kutumia platform yao kujifunzia ukiwa fit unaweza kuanza trading. Japo wengi watakwambia uende huku au huku, cha muhimu ni kufanya research yako na kuelewa risks. Zaidi ya hapo, fursa zipo nyingi sana cha muhimu ni kuwa wazi kujifunza, kuwa smart na kutoishi kwa mazoea. Mtoa mada na yeyote mwingine, ukihitaji utaalamu wowote wa kutengeneza tovuti yako au chochote kuhusu ICT, ni-PM.
 
Brokers wote na kwa platform zote standard lot ni ileile yaani 100,000 base currencies,kuhusu demo I'm not very sure ila nadhani demo account nyingi kama sio zote zinatumia hiyo standard japo ukihamia sasa kwenye Live/ Real trading acounts, brokers wengine wamerahisisha kwa kuweka kitu kinaitwa Micro/Mini accounts ambako lot imekuwa redifined na kuitwa micro Lot yaani 1,000 base currencies ili kufit matumizi ya watu wenye account hizo ndogondogo,So nikiwa nataka nicheze 100USD katika micro account nitajaza 0.1 volume badala ya kujaza 0.001.
Nimekuelewa vyema mkuu.... Ubarikiwe
 
hahahahaaa, halafu anakutolea mfano kuwa Warren Buffet, George Soros and Co kuwa hawatrade the way we think.
Kuna watu huwa wana trade against the trend na kadhalika. Kuna trading styles tofauti na platforms au rules tofauti kulingana na una trade nini na wapi. Ni muhimu ku-perfect trading styles zako na ujue ipi inafaa wapi, otherwise hao kina Buffet etc. wana huge and diverse portfolio, FX is probably a negligible option for them. Hawahangaiki na hizi FX trading platforms zinazozungumzwa humu.
 
Mkuu mbona nikitaka ku register kwenye mt4 wanazingua?? Yaani nikiweka ID yangu nikiweka na email inasema "registration failed"!! Nakosea nini??

Bavaria
Nilipata the same problem nilivoipakua kwa mara ya kwanza but ukienda on forex site yenyewe pale juu kulia kuna sehem imeandikwa Chat, ingia then anza mazungumzo afu then mueleze shida yako na kama unatatizo any where utamueleza, sio outomated mashine so uliza maswal hapo, afu ukimaliza kuna sehem imeandikwa take chat receipt, itaingia kwenye e-mail yako , ni lugha ya kiinglish ndio inatumika
nategemea mrejesho...........
 
Naunga mkono hoja

Class session atakazokuwa nazo ONTARIO , zirekodiwe kitaalam, ziwe edited, iwe ni package yenye somo lililokamili kwa mtu kuweza kujifunza, na CD hizo ziuzwe (ili kurudisha cost zitazotumika kuzalisha hizi CD) kwa utaratibu utakao uweka ontario na team yake.

Nina hakiki wengi watanufaika na hizi CD mahala popote atakapokuwa.
Yes. Ziuzwe. Kitu kizuri ni sharti kigharamiwe. Tunaomba CDs please
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom