Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Forex unalipa na inaingizia bank faida kubwa baada ya mikopo hata watu wengine wanafanya black market.
 
Mkuu usinipite kwa hao 300 niwe next from mtu wa mwisho kutoka sasa
 
Hala hala, msije mkatepeliana tuu huko whatsapp na kulishana matango pori. Maana naona kasi ya kudisclose namba za simu kwa ajili ya whatsapp imepamba moto.
taadhari ni muhimu maana humu muhusika Otario hakusema kuundwe group la watsup au kuwe na group mambo yote yatakuwa exposed hapahapa jukwaani sasa mkitapeliwa huko msije kuchafua watu humu. tusiwe na papala 1 step at a time..
 
Hiyo ni app gani?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…