Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
MTAFITI MUELEWA KWANZA HULITENDEI HAKI JINA LAKO,MTAFITI GANI UNAKUWA MVIVU WA KUSOMA ,MASWALI ULIYOULIZA MAJIBU YAPO NDANI YA UZI NA COMMENTS ZA WADAU ,NAKUSHAURI USIKURUPUKE SOMA,HUU UZI NI TOFAUTI NA NYUZI ZINGINE,SOMA SOMA SOMA BILA KUJA NANI KATUPIA COMMENTS
 
Ni Ontario boss.

Watu wazembe kama wewe mtakuja kunisumbua darasani na kunichafulia jina. Uzi una post 2600 unashindwa kusoma, utaweza kumaliza page 660 ya Bible of a trader?!

Nilishatoka kwenye 300, nipo kwenye 150.

Kila mwenye nia ya kujifunza na kubadili knowledge into reality ndio watakaopata fursa ya kunijoin. Sitaki kuwa kama syllabus za Kibongo mtu anasoma miaka 17-20 lkn akitoka shule hajui nini kinafata. I want real traders - na real traders mpk sasa atakua anajua ABC kuhusu forex. Hakuna nafasi nitakazotoa kama sanda kalawe - watoto wenye akili za kiInstagram hii kitu haitawahusu, I need serious people who know what life means.

Pili haya mafunzo hayatakuwa ya batch 1, nitakua sijafanya kitu - sawa na kusema nitakua nimetengeza tu gap kati ya have and have not. Hiki kitu ni continuous, baada ya batch ya kwanza itakuja ya 2, ya 3, ya 4... mpaka tunafika batch 10 hivi by mwisho wa mwaka - lkn hawa itabidi wachangie ela ya AC na umeme.

Na kama alivyopendekeza ndugu yangu Bavaria, wanafunzi wa batch za mwanzo mwanzo nataka tuanze as soon as possible ili hadi kufika Dec tupange trip ya kwenda Capetown au Durban, yani tunabook SA Airways yote, tunaenda vacation kujipongeza (I'm only happy when the whole team is winning). Tukifika hatua hiyo nahisi watu wataelewa nini namaanisha. Kuanzia mwakani sasa kila kichwa kitakua kinalipia ada kama ya CPA au school of law. Ndipo tutakapoweza kufungua branch Mwanza, Arusha, Mbeya, Dodoma nk.
Inabidi baadae ufanyike usaili ili wajulikane waliokuwa serious na wasiokuwa serious...
Hayo ni mawazo yangu tu, na cha kuongezea nadhani branch zingine zikianza kufunguliwa basi walimu na wasimamizi watatoka kwenye hao hao wanafunzi wa mwanzo..
Count me in Boss.
 
Asante sana mkuu Ontario,nimefatilia uzi wako tokea day 1 na nimeisha a za kuzijua ABC za Forex,Mie naishi Zanzibar,na nikwambie ukweli kuwa Watu waliopo huku zenji na waofatilia jamiiforum hasa Uzi huu (nawafahamu wachache) tunatamani sana uje zenji japo kwa darasa la siku 1 tu,Tupo tayari kuchangia gharama bro,naomba kuwasilisha ombi letu
Watu wa Zenji tupo pamoja sana...

Unajua Zenji ni kama my 3rd home, nikihitaji ku_relax na kumeditate hua nakuja Zenji sehemu 1 inaitwa Prison Island, nililipa kama 40,000 kutoka stone town kwa private boat kama dakika 25 hivi. Huko ni patamu sana sana kurelax, ni kama miami fulani hivi.

Kama Zenji mkijikusanya mkafika at least 50 naweza kupanga na mentors wangu tuje weekend 1 kupiga story nanyi hapo Prison island. Siku 2 haziwezi kutosha kwa training hasa ukizingatia ni weekend, coz hua market imefungwa. Mkiweza kujimobilize zaidi tunaweza kuja kupiga kambi ya wiki 1 huko.

Baadae kdg labda in Aug tutaanza kuzunguka kwenye mikoa ya Mbali mbali km mwamko utakua mzr. Mfn Bukoba, tunaeza kuongea na uongozi wa shule km Rugambwa au Ihungo tufanye evening classes na watu wa B.K, lkn itategemea nitakua ninaweza kuwalipa mentors wangapi... Najua ndani ya Hii project naweza kupata wanafunzi makini na wenye motisha ya kusaidia watu, tuwe tunazunguka kuwafikia wanaume wa mikoani.
 
Ni Ontario boss.

Watu wazembe kama wewe mtakuja kunisumbua darasani na kunichafulia jina. Uzi una post 2600 unashindwa kusoma, utaweza kumaliza page 660 ya Bible of a trader?!

Nilishatoka kwenye 300, nipo kwenye 150.

Kila mwenye nia ya kujifunza na kubadili knowledge into reality ndio watakaopata fursa ya kunijoin. Sitaki kuwa kama syllabus za Kibongo mtu anasoma miaka 17-20 lkn akitoka shule hajui nini kinafata. I want real traders - na real traders mpk sasa atakua anajua ABC kuhusu forex. Hakuna nafasi nitakazotoa kama sanda kalawe - watoto wenye akili za kiInstagram hii kitu haitawahusu, I need serious people who know what life means.

Pili haya mafunzo hayatakuwa ya batch 1, nitakua sijafanya kitu - sawa na kusema nitakua nimetengeza tu gap kati ya have and have not. Hiki kitu ni continuous, baada ya batch ya kwanza itakuja ya 2, ya 3, ya 4... mpaka tunafika batch 10 hivi by mwisho wa mwaka - lkn hawa itabidi wachangie ela ya AC na umeme.

Na kama alivyopendekeza ndugu yangu Bavaria, wanafunzi wa batch za mwanzo mwanzo nataka tuanze as soon as possible ili hadi kufika Dec tupange trip ya kwenda Capetown au Durban, yani tunabook SA Airways yote, tunaenda vacation kujipongeza (I'm only happy when the whole team is winning). Tukifika hatua hiyo nahisi watu wataelewa nini namaanisha. Kuanzia mwakani sasa kila kichwa kitakua kinalipia ada kama ya CPA au school of law. Ndipo tutakapoweza kufungua branch Mwanza, Arusha, Mbeya, Dodoma nk.
Mkuu God bless u sana.. Napata nguvu sana nnapoona una moyo na vijana wa kitanzania tusonge mbele!! You're so visionary and so am i.. Ulivosema mambo ya kukodi ndege ts like nlijiona niko ndani teyar yan tunaelekea SA hahaa.. Kwa hii nguvu nliopata wacha nkaendelee na Dolan mzee wa Dummies huku nkisubiri good news from you brother!!
 
Ni kweli kabisa Prison Island ni sehemu nzuri sana kurelax,Mie ni tour guide hapa Zanzibar kwa hiyo huwa nawatembeza watalii kwenda sehemu mbali mbali za kisiwa hiki kuona vivutio vilivyopo,na prison island ni sehemu nzuri sana,nitajitahidi sana kulifanyia kazi suala la kumobilize watu ili tuweze kunufaika, Asante sana kwa moyo uliouonyesha hadi sasa wa kutaka kuwasaidia na kuwaelimisha watu juu ya Forex,Kama ukitaka kuja zenji ktk shughuli zako za kikazi au kibinafsi unaweza kuwasiliana na mimi,I will a great help to you ktk mambo madogo madogo hapa kisiwani,you can count on me hapa zenji,Ngoja nianze kazi ya kumobilize watu,Ubarikiwe katika jina la Bwana
 
Ni Ontario boss.

Watu wazembe kama wewe mtakuja kunisumbua darasani na kunichafulia jina. Uzi una post 2600 unashindwa kusoma, utaweza kumaliza page 660 ya Bible of a trader?!

Nilishatoka kwenye 300, nipo kwenye 150.

Kila mwenye nia ya kujifunza na kubadili knowledge into reality ndio watakaopata fursa ya kunijoin. Sitaki kuwa kama syllabus za Kibongo mtu anasoma miaka 17-20 lkn akitoka shule hajui nini kinafata. I want real traders - na real traders mpk sasa atakua anajua ABC kuhusu forex. Hakuna nafasi nitakazotoa kama sanda kalawe - watoto wenye akili za kiInstagram hii kitu haitawahusu, I need serious people who know what life means.

Pili haya mafunzo hayatakuwa ya batch 1, nitakua sijafanya kitu - sawa na kusema nitakua nimetengeza tu gap kati ya have and have not. Hiki kitu ni continuous, baada ya batch ya kwanza itakuja ya 2, ya 3, ya 4... mpaka tunafika batch 10 hivi by mwisho wa mwaka - lkn hawa itabidi wachangie ela ya AC na umeme.

Na kama alivyopendekeza ndugu yangu Bavaria, wanafunzi wa batch za mwanzo mwanzo nataka tuanze as soon as possible ili hadi kufika Dec tupange trip ya kwenda Capetown au Durban, yani tunabook SA Airways yote, tunaenda vacation kujipongeza (I'm only happy when the whole team is winning). Tukifika hatua hiyo nahisi watu wataelewa nini namaanisha. Kuanzia mwakani sasa kila kichwa kitakua kinalipia ada kama ya CPA au school of law. Ndipo tutakapoweza kufungua branch Mwanza, Arusha, Mbeya, Dodoma nk.
Mr.[HASHTAG]#ONTARIO[/HASHTAG], I salute you and i wish you well.
Hakika unajua ninin unafanya na ni ninaimani mwaka huu ukiisha utakua hatua kubwa sana nipo begakwabega na huu uzi japo nimekuwa sichangii sana hii ni kwa sababu nipo komaa na vitabu ili nipate nondo za kutosha ili nikihizuria darasa niwe tayari ina concept za kutosha juu ya hii mambo.
 
2a864461572e085bc78e29f6052560ba.jpg
 
Watu wa Zenji tupo pamoja sana...

Unajua Zenji ni kama my 3rd home, nikihitaji ku_relax na kumeditate hua nakuja Zenji sehemu 1 inaitwa Prison Island, nililipa kama 40,000 kutoka stone town kwa private boat kama dakika 25 hivi. Huko ni patamu sana sana kurelax, ni kama miami fulani hivi.

Kama Zenji mkijikusanya mkafika at least 50 naweza kupanga na mentors wangu tuje weekend 1 kupiga story nanyi hapo Prison island. Siku 2 haziwezi kutosha kwa training hasa ukizingatia ni weekend, coz hua market imefungwa. Mkiweza kujimobilize zaidi tunaweza kuja kupiga kambi ya wiki 1 huko.

Baadae kdg labda in Aug tutaanza kuzunguka kwenye mikoa ya Mbali mbali km mwamko utakua mzr. Mfn Bukoba, tunaeza kuongea na uongozi wa shule km Rugambwa au Ihungo tufanye evening classes na watu wa B.K, lkn itategemea nitakua ninaweza kuwalipa mentors wangapi... Najua ndani ya Hii project naweza kupata wanafunzi makini na wenye motisha ya kusaidia watu, tuwe tunazunguka kuwafikia wanaume wa mikoani.

Hii sasa inaanza kutupa matumaini ata sisi wanaume wa mikoani kama tukikosa hiyo nafasi ya bure ya 150 basi tunaweza hata kufaidika na hiyo ziara ya kulipia ya mikoani.
 
Hii sasa inaanza kutupa matumaini ata sisi wanaume wa mikoani kama tukikosa hiyo nafasi ya bure ya 150 basi tunaweza hata kufaidika na hiyo ziara ya kulipia ya mikoani.
Mm nadhani wanaume wa mikoani km mtu unawz kujipanga ukahudhuria sio mby,nadhani flexibility tu hapa,tukomae wanaume wa mikoani tusipitwe na hili.
 
Naanza somo kesho
Nalipia course ili nielewe
Ontario akianza ikitokea nitakuwa nimeelewa.
Nitamtumia yeye kama mentor
 
Jamini mimi sitaki kuelewa ONTARIO anataka watu wangapi wakuanzia nachoangalia hapa ni lini darasa linaanza nakujipanga kutoka huku nilipo haraka na mapema nitakua kituoni kusubiri usahili wa watakao takiwa kuanza .. Siamini kama Ontario atakua na roho mbaya kiasi hicho cha kunizuia kuingia darasani,, tena nikiwa nimetokea mkoani.. Naeendelea kufaatitia naamini cjachelewa.
 
Jaman Nani alishawahi kutumia binary option ie IQ OPTION maana mm nmeliwa dola Kama 80 hadi Sasa.


HV hzi binary nazo ni nzuri kujifunzia@ONTARIO and others who are legends
 
Ni Ontario boss.

Watu wazembe kama wewe mtakuja kunisumbua darasani na kunichafulia jina. Uzi una post 2600 unashindwa kusoma, utaweza kumaliza page 660 ya Bible of a trader?!

Nilishatoka kwenye 300, nipo kwenye 150.

Kila mwenye nia ya kujifunza na kubadili knowledge into reality ndio watakaopata fursa ya kunijoin. Sitaki kuwa kama syllabus za Kibongo mtu anasoma miaka 17-20 lkn akitoka shule hajui nini kinafata. I want real traders - na real traders mpk sasa atakua anajua ABC kuhusu forex. Hakuna nafasi nitakazotoa kama sanda kalawe - watoto wenye akili za kiInstagram hii kitu haitawahusu, I need serious people who know what life means.

Pili haya mafunzo hayatakuwa ya batch 1, nitakua sijafanya kitu - sawa na kusema nitakua nimetengeza tu gap kati ya have and have not. Hiki kitu ni continuous, baada ya batch ya kwanza itakuja ya 2, ya 3, ya 4... mpaka tunafika batch 10 hivi by mwisho wa mwaka - lkn hawa itabidi wachangie ela ya AC na umeme.

Na kama alivyopendekeza ndugu yangu Bavaria, wanafunzi wa batch za mwanzo mwanzo nataka tuanze as soon as possible ili hadi kufika Dec tupange trip ya kwenda Capetown au Durban, yani tunabook SA Airways yote, tunaenda vacation kujipongeza (I'm only happy when the whole team is winning). Tukifika hatua hiyo nahisi watu wataelewa nini namaanisha. Kuanzia mwakani sasa kila kichwa kitakua kinalipia ada kama ya CPA au school of law. Ndipo tutakapoweza kufungua branch Mwanza, Arusha, Mbeya, Dodoma nk.

Neno la faraja sana kwangu wakati nikivuta pumzi ili kuivaa subtopic ya momentum oscillators ambayo kwa mujibu wa wengi wanasema ndo moyo na engine ya forex. Pamoja sana
 
Hope kuna maelezo kwenye hizo candlestick.
Au unataka kujua nini hasa?

Nilikuwa nahitaji kujua kama kuna specialitu yoyote inayowatofautisha hao jamaa katika application zao. Maana nikiangalia tabia zao, naona kama zinafanana na zinakaribiana.

halafu in addition, Nimeanza hapa kusoma momentum oscillator, Wanasema inakuwa displayed in a small window at the bottom of charting systems. Sasa nikicheki MT4 system yangu naona bilabila hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom