Inabidi baadae ufanyike usaili ili wajulikane waliokuwa serious na wasiokuwa serious...Ni Ontario boss.
Watu wazembe kama wewe mtakuja kunisumbua darasani na kunichafulia jina. Uzi una post 2600 unashindwa kusoma, utaweza kumaliza page 660 ya Bible of a trader?!
Nilishatoka kwenye 300, nipo kwenye 150.
Kila mwenye nia ya kujifunza na kubadili knowledge into reality ndio watakaopata fursa ya kunijoin. Sitaki kuwa kama syllabus za Kibongo mtu anasoma miaka 17-20 lkn akitoka shule hajui nini kinafata. I want real traders - na real traders mpk sasa atakua anajua ABC kuhusu forex. Hakuna nafasi nitakazotoa kama sanda kalawe - watoto wenye akili za kiInstagram hii kitu haitawahusu, I need serious people who know what life means.
Pili haya mafunzo hayatakuwa ya batch 1, nitakua sijafanya kitu - sawa na kusema nitakua nimetengeza tu gap kati ya have and have not. Hiki kitu ni continuous, baada ya batch ya kwanza itakuja ya 2, ya 3, ya 4... mpaka tunafika batch 10 hivi by mwisho wa mwaka - lkn hawa itabidi wachangie ela ya AC na umeme.
Na kama alivyopendekeza ndugu yangu Bavaria, wanafunzi wa batch za mwanzo mwanzo nataka tuanze as soon as possible ili hadi kufika Dec tupange trip ya kwenda Capetown au Durban, yani tunabook SA Airways yote, tunaenda vacation kujipongeza (I'm only happy when the whole team is winning). Tukifika hatua hiyo nahisi watu wataelewa nini namaanisha. Kuanzia mwakani sasa kila kichwa kitakua kinalipia ada kama ya CPA au school of law. Ndipo tutakapoweza kufungua branch Mwanza, Arusha, Mbeya, Dodoma nk.
Watu wa Zenji tupo pamoja sana...Asante sana mkuu Ontario,nimefatilia uzi wako tokea day 1 na nimeisha a za kuzijua ABC za Forex,Mie naishi Zanzibar,na nikwambie ukweli kuwa Watu waliopo huku zenji na waofatilia jamiiforum hasa Uzi huu (nawafahamu wachache) tunatamani sana uje zenji japo kwa darasa la siku 1 tu,Tupo tayari kuchangia gharama bro,naomba kuwasilisha ombi letu
Mkuu God bless u sana.. Napata nguvu sana nnapoona una moyo na vijana wa kitanzania tusonge mbele!! You're so visionary and so am i.. Ulivosema mambo ya kukodi ndege ts like nlijiona niko ndani teyar yan tunaelekea SA hahaa.. Kwa hii nguvu nliopata wacha nkaendelee na Dolan mzee wa Dummies huku nkisubiri good news from you brother!!Ni Ontario boss.
Watu wazembe kama wewe mtakuja kunisumbua darasani na kunichafulia jina. Uzi una post 2600 unashindwa kusoma, utaweza kumaliza page 660 ya Bible of a trader?!
Nilishatoka kwenye 300, nipo kwenye 150.
Kila mwenye nia ya kujifunza na kubadili knowledge into reality ndio watakaopata fursa ya kunijoin. Sitaki kuwa kama syllabus za Kibongo mtu anasoma miaka 17-20 lkn akitoka shule hajui nini kinafata. I want real traders - na real traders mpk sasa atakua anajua ABC kuhusu forex. Hakuna nafasi nitakazotoa kama sanda kalawe - watoto wenye akili za kiInstagram hii kitu haitawahusu, I need serious people who know what life means.
Pili haya mafunzo hayatakuwa ya batch 1, nitakua sijafanya kitu - sawa na kusema nitakua nimetengeza tu gap kati ya have and have not. Hiki kitu ni continuous, baada ya batch ya kwanza itakuja ya 2, ya 3, ya 4... mpaka tunafika batch 10 hivi by mwisho wa mwaka - lkn hawa itabidi wachangie ela ya AC na umeme.
Na kama alivyopendekeza ndugu yangu Bavaria, wanafunzi wa batch za mwanzo mwanzo nataka tuanze as soon as possible ili hadi kufika Dec tupange trip ya kwenda Capetown au Durban, yani tunabook SA Airways yote, tunaenda vacation kujipongeza (I'm only happy when the whole team is winning). Tukifika hatua hiyo nahisi watu wataelewa nini namaanisha. Kuanzia mwakani sasa kila kichwa kitakua kinalipia ada kama ya CPA au school of law. Ndipo tutakapoweza kufungua branch Mwanza, Arusha, Mbeya, Dodoma nk.
Mr.[HASHTAG]#ONTARIO[/HASHTAG], I salute you and i wish you well.Ni Ontario boss.
Watu wazembe kama wewe mtakuja kunisumbua darasani na kunichafulia jina. Uzi una post 2600 unashindwa kusoma, utaweza kumaliza page 660 ya Bible of a trader?!
Nilishatoka kwenye 300, nipo kwenye 150.
Kila mwenye nia ya kujifunza na kubadili knowledge into reality ndio watakaopata fursa ya kunijoin. Sitaki kuwa kama syllabus za Kibongo mtu anasoma miaka 17-20 lkn akitoka shule hajui nini kinafata. I want real traders - na real traders mpk sasa atakua anajua ABC kuhusu forex. Hakuna nafasi nitakazotoa kama sanda kalawe - watoto wenye akili za kiInstagram hii kitu haitawahusu, I need serious people who know what life means.
Pili haya mafunzo hayatakuwa ya batch 1, nitakua sijafanya kitu - sawa na kusema nitakua nimetengeza tu gap kati ya have and have not. Hiki kitu ni continuous, baada ya batch ya kwanza itakuja ya 2, ya 3, ya 4... mpaka tunafika batch 10 hivi by mwisho wa mwaka - lkn hawa itabidi wachangie ela ya AC na umeme.
Na kama alivyopendekeza ndugu yangu Bavaria, wanafunzi wa batch za mwanzo mwanzo nataka tuanze as soon as possible ili hadi kufika Dec tupange trip ya kwenda Capetown au Durban, yani tunabook SA Airways yote, tunaenda vacation kujipongeza (I'm only happy when the whole team is winning). Tukifika hatua hiyo nahisi watu wataelewa nini namaanisha. Kuanzia mwakani sasa kila kichwa kitakua kinalipia ada kama ya CPA au school of law. Ndipo tutakapoweza kufungua branch Mwanza, Arusha, Mbeya, Dodoma nk.
Karibu moshi mkuu.Ni kweli mkuu...pia hata Moshi ufungue manake juzi nimepata uhamisho kikazi naelekea Kilimanjaro kesho..hivyo siyo mbaya Moshi tukawa na branch huko..nitakuwakilisha vizuri sana kule.
Watu wa Zenji tupo pamoja sana...
Unajua Zenji ni kama my 3rd home, nikihitaji ku_relax na kumeditate hua nakuja Zenji sehemu 1 inaitwa Prison Island, nililipa kama 40,000 kutoka stone town kwa private boat kama dakika 25 hivi. Huko ni patamu sana sana kurelax, ni kama miami fulani hivi.
Kama Zenji mkijikusanya mkafika at least 50 naweza kupanga na mentors wangu tuje weekend 1 kupiga story nanyi hapo Prison island. Siku 2 haziwezi kutosha kwa training hasa ukizingatia ni weekend, coz hua market imefungwa. Mkiweza kujimobilize zaidi tunaweza kuja kupiga kambi ya wiki 1 huko.
Baadae kdg labda in Aug tutaanza kuzunguka kwenye mikoa ya Mbali mbali km mwamko utakua mzr. Mfn Bukoba, tunaeza kuongea na uongozi wa shule km Rugambwa au Ihungo tufanye evening classes na watu wa B.K, lkn itategemea nitakua ninaweza kuwalipa mentors wangapi... Najua ndani ya Hii project naweza kupata wanafunzi makini na wenye motisha ya kusaidia watu, tuwe tunazunguka kuwafikia wanaume wa mikoani.
Mm nadhani wanaume wa mikoani km mtu unawz kujipanga ukahudhuria sio mby,nadhani flexibility tu hapa,tukomae wanaume wa mikoani tusipitwe na hili.Hii sasa inaanza kutupa matumaini ata sisi wanaume wa mikoani kama tukikosa hiyo nafasi ya bure ya 150 basi tunaweza hata kufaidika na hiyo ziara ya kulipia ya mikoani.
Naanza somo kesho
Nalipia course ili nielewe
Ontario akianza ikitokea nitakuwa nimeelewa.
Nitamtumia yeye kama mentor
Jaman Nani alishawahi kutumia binary option ie IQ OPTION maana mm nmeliwa dola Kama 80 hadi Sasa.
HV hzi binary nazo ni nzuri kujifunzia@ONTARIO and others who are legends
Ni Ontario boss.
Watu wazembe kama wewe mtakuja kunisumbua darasani na kunichafulia jina. Uzi una post 2600 unashindwa kusoma, utaweza kumaliza page 660 ya Bible of a trader?!
Nilishatoka kwenye 300, nipo kwenye 150.
Kila mwenye nia ya kujifunza na kubadili knowledge into reality ndio watakaopata fursa ya kunijoin. Sitaki kuwa kama syllabus za Kibongo mtu anasoma miaka 17-20 lkn akitoka shule hajui nini kinafata. I want real traders - na real traders mpk sasa atakua anajua ABC kuhusu forex. Hakuna nafasi nitakazotoa kama sanda kalawe - watoto wenye akili za kiInstagram hii kitu haitawahusu, I need serious people who know what life means.
Pili haya mafunzo hayatakuwa ya batch 1, nitakua sijafanya kitu - sawa na kusema nitakua nimetengeza tu gap kati ya have and have not. Hiki kitu ni continuous, baada ya batch ya kwanza itakuja ya 2, ya 3, ya 4... mpaka tunafika batch 10 hivi by mwisho wa mwaka - lkn hawa itabidi wachangie ela ya AC na umeme.
Na kama alivyopendekeza ndugu yangu Bavaria, wanafunzi wa batch za mwanzo mwanzo nataka tuanze as soon as possible ili hadi kufika Dec tupange trip ya kwenda Capetown au Durban, yani tunabook SA Airways yote, tunaenda vacation kujipongeza (I'm only happy when the whole team is winning). Tukifika hatua hiyo nahisi watu wataelewa nini namaanisha. Kuanzia mwakani sasa kila kichwa kitakua kinalipia ada kama ya CPA au school of law. Ndipo tutakapoweza kufungua branch Mwanza, Arusha, Mbeya, Dodoma nk.
Hope kuna maelezo kwenye hizo candlestick.
Au unataka kujua nini hasa?
Unasoma kitabu gani ndugu?Neno la faraja sana kwangu wakati nikivuta pumzi ili kuivaa subtopic ya momentum oscillators ambayo kwa mujibu wa wengi wanasema ndo moyo na engine ya forex. Pamoja sana
Unasoma kitabu gani ndugu?