Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.

Hiyo no 2 watz tuna maneno duh
 



I see a short time sell setup before a strong bullish pattern..

Bado trend ina test the resistance line..

Kutakuwa na correction wave then ndo kuwe na strong bullish pattern..
 
una profile kubwa Haters wasikupe headache Bro
sina shaka na wewe japo sijawahi hata kukuona ILA uzi wako wa FX ndio uliniteka baada ya kuusoma na kukumbuka nilishawahi kuwaza sana trading

naamini you are going to leave legacy kubwa kwa watanzania.
 
Lodrick Thomas

Ahsante kwa ushauri
Naendelea kupekua mtandao.
Can you please recommend the Best book to start with.
Kuna hiki kinaitwa forex trade for dummies na kipya kimewekwa humu..hiki ndio ningekushauri kiko simple and straight!! Sikumbuki jina ila kipo humu!!
mwl. ict tunaomba msaada kile kitab kipya
 
With time i hope i ll be better. So far nimepitia MACD, RSI, Stochastic, EMA, SMA na DMA.

Hizo ichimoku, Bolinger ndo nazivutia kasi hapa weekend hii nikomae nazo, naona ndo zinafuata katika next chapter ya hiki kitabu nnachosoma.
Kitabu gani mkuu
 


GBPAUD shows a very strong bearish setup..

It will have some correction waves then moving 200 pips lower and will correct again because it is a resistance level and dip 500 pips lower..

This is a probability, move your stop loss after every 50 pips..
 


XAGUSD shows a temprary bearish setup. It can break the resistance line and dip to the 15.660 price or to 13.773 price then will show a very bullish setup.

OR The trend will not break, it will show a very strong bullish setup from the current price.
 

Attachments

  • XAGUSD.PNG
    9.6 KB · Views: 67

Aisee very important giving back to society in need. 100% thumbs up
 
Forex traders
Naombeni mnisaidie kiufahamu.
Nimefungua accounts 2 za demo, moja nliset $50 pia nikachagua leverage ya 1:200, account balance ikasoma $10,000 (kwa maana $50 *200)
Account ya pili nimeset $100 na leverage nikachagua 1:50, BUT account balance inasoma $100
HUU UTOFAUTI WA ACCOUNT BALANCE UNAKUAJE?
Sielewi elewi mwananchi mimi.
 
View attachment 526685

A very easy sell setup.


Mkuu Bavaria kwa nyie wenye real account kama mmetrade USD/JPY buy tangia soko lifunguliwe mtakuwa mmpiga mkwanja wa maana sana.

Sijui nitupie namba yangu hata unitumie za bia Mkuu..... maana?

Thanks God naanza kuielewa hii Biashara sasa...sijamaliza kusoma hata Kitabu kimoja ila naona nuru kubwaaaa mbeleni..

Asante kwa Mara nyingine Mkuu ONTARIO kwa moyo wako wa dhahabu.
 
Piga shule hahaha..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…