Tatigha
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 1,957
- 2,027
Ndio wakati wa kuongezea sasa sio kusema tu then, unaishia juu juuBado kuna elimu flani iv imemiss mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wakati wa kuongezea sasa sio kusema tu then, unaishia juu juuBado kuna elimu flani iv imemiss mkuu
Boss! Great minds discuss ideas not people. Boss let's discuss ideas. Boss huyu ana waumini mil 20 duniani kote, wote hao ni wapuuzi kumfata?! Again kwa mafanikio aliyonayo ni jambo la ajabu sana akose maadui, na kitu maadui wanaweza kumfanya SB ni kumchafua jina.
Kwa mwanzo kabisa hao watu watatusamehe kwakweli, lkn naamini with time tunaweza kutrain mentors ambao watatoa special classes kwa hiyo group. Haishindikaniki boss.Mkuu sasa kama mtu hajui lugha unamsaidiaje? Na ukizingatia watz wengi hawajui lugha ya malaika?
Swali makini sana!Mkuu asante kwa darasa lako..
Mkuu naomba kuuliza..je video za YouTube ni nzuri kwa kujifunzia?
Na kama beginer nianze na dola ngap?